International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Venezuela imeonesha mkanda wa video inayomuonesha mmoja wa askari mamluki raia wa Marekani ambaye ni miongoni mwa askari 13 waliokamatwa baada ya kushindwa kwa shambulio la kigaidi Katika video...
8 Reactions
81 Replies
10K Views
Muswada tata unaolenga kufanya iwe kosa la jinai kwa wanasiasa kudanganya wakati wa kampeni za uchaguzi nchini Wales umeibua mjadala mkali kuhusu uhuru wa kujieleza na mustakabali wa demokrasia...
0 Reactions
4 Replies
239 Views
Wakati Rais Vladimir Putin akikazia mapenzi yake kwenye vita vya Urusi nchini Ukraine, washirika wake wa kimkakati kote duniani wamebaki wakiishi kwa hisia ya kupuuzwa — au hata zaidi. Nchini...
1 Reactions
11 Replies
450 Views
Muungano wa vyama vinavyomuunga mkono Rais Patrice Talon umechukua udhibiti kamili wa Bunge la Taifa la Benin baada ya uchaguzi wa wabunge, kwa mujibu wa matokeo ya awali. Tume ya Uchaguzi ilisema...
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Serikali ya Marekani imetenga dau la $25M kwa yeyote atakayesaidia au kufanikisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro kwa makosa ya ugaidi wa dawa za kulevya(Narco- terrorism)...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
White supremacy iko kwenye DNA yake Trump hata kama akijaribu kujificha here and there...
2 Reactions
5 Replies
280 Views
IDF Katikati kusimamisha Usalama wake Leo Ndege Tatu za Kivita za “Adir” (F-35i) zimetua Katika Kambi ya Jeshi la anga la Israel huko Nevatim Msemaji wa IDF alitangaza kwamba ndege tatu mpya za...
6 Reactions
13 Replies
494 Views
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu Aitisha Mkutano wa Usalama kuhusu Iran na Gaza Pamoja na Wakuu wa Ulinzi Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu aliitisha mkutano wa usalama wa faragha uliolenga Iran na...
2 Reactions
6 Replies
312 Views
Imenifundisha Herufi tatu is trap. Ila tukaweza kua na maifa nafuu ya huru na furaha zaidi.
2 Reactions
9 Replies
269 Views
Ina maana mifumo ya Urusi haizukiziona ndege za US zikija kumdaka Maduro?.. Ndege karibia 150 zitoke US hadi Venezuela kwa masaa 4 angani ya safari mifumo ya Urusi na China isizione Kichekesho...
26 Reactions
124 Replies
3K Views
Video hii inaonesha maafisa wa shirikisho wa Marekani (federal agents) wakimvuta mwanamke kutoka kwenye gari lake kwa nguvu huko Minneapolis, huku mwanamke huyo akipaza sauti akisema kuwa ni...
2 Reactions
22 Replies
581 Views
Mahakama ya Seoul leo Januari 16 imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, kifungo cha miaka mitano jela kesi, kosa likiwa ni uamuzi wake wa kutangaza sheria ya kijeshi mwishoni...
3 Reactions
6 Replies
416 Views
We are ready to strike Israel again,' Iran’s president warns 1 hour ago Updated 8:53 AM Share A screengrab from Iranian President Masoud Pezeshkian during an interview with Al Jazeera (July 2025)...
3 Reactions
50 Replies
3K Views
Utawala wa Iran chini ya utawala wa jiislamu umewaua waandamaji zaidi ya 12,000 baada tu ya kuzima mitandao nchi nzima Hii inaonyesha ni jinsi gani utawala huo usivyo na huruma jwa watu wake...
2 Reactions
38 Replies
715 Views
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kwa mara ya kwanza ameweka wazi hadharani kuwa maelfu ya watu waliuawa wakati wa maandamano ya hivi karibuni nchini humo. Akizungumza katika hotuba...
1 Reactions
0 Replies
422 Views
Rais mbabe mbele ya Magaidi asiyecheka na wowote amesema ana mpango wa kuwasaidia Wakristo waliopo Nigeria kupambana na Magaidi. Tupate habari kamili.
2 Reactions
8 Replies
435 Views
Kundi lenye silaha katika jimbo la Kermanshah linatangaza kwamba "maasi ya silaha kote Iran yamefikia kilele chake, yako hapa sasa, na yataendelea kukua." Ni siri iliyo wazi kwamba makundi kama...
7 Reactions
28 Replies
722 Views
Trump ametishia tariff kwa mataifa yatakayofanya biashara la Iran. Sasa check pesa ya Iran Ilivokula msamba. 1USD = 998, 925 IRR Halafu kuna mshangazi unapayuka who are you!!
6 Reactions
53 Replies
1K Views
F-35 test pilots described how intense it is to fly the aircraft, The Jerusalem Post reported. "It's like an 800-pound gorilla sitting on your chest," a pilot said in a Lockheed Martin webinar...
7 Reactions
129 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…