International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Trump amesema kuwa ameshaacha WOSIA/maelekezo endapo Iran itafanikiwa kumuua. Wosia huo unawaambia jeshi la Marekani nini cha kufanya baada ya kifo cha Trump! Mikwara mingi kumbe dingi muoga...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
#HABARI Polisi wa Kiislamu katika jimbo la Kano kaskazini mwa Nigeria, wanaojulikana kama Hisbah, wamewakamata Waislamu tisa- wanaume saba na wanawake wawili kwa kosa la kula chakula hadharani...
5 Reactions
16 Replies
397 Views
Wakuu kwa yanayo endelea huko mashariki ya kati kuna dalili yoyote ya vita kati ya Marekani na Iran kushindwa kutokea au tuwe tayari kwa breaking news kubwa muda wowote kutoka sasa ? Updates na...
0 Reactions
6 Replies
620 Views
DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji na usimamizi wa mizigo inayomilikiwa na Falme za Kiarabu (UAE), imemwondoa Sultan Ahmed bin Sulayem katika nafasi ya mwenyekiti na mtendaji mkuu...
2 Reactions
98 Replies
2K Views
Marekani siku zote inalinda Maslahi yake kwa nguvu Kubwa katika kujilinda huku ameigawanya Dunia katika angle za kijographia ili kuhisisha mawasiliano na kuendelea kumiliki uchumi wa Dunia na...
0 Reactions
1 Replies
213 Views
Hio sio list ya nchi zenye vita ambazo watu wake huombea siku iishe salama hata wakikimbilia milimani. Hizi ni nchi ambazo hata kama hakuna vita ni ngumu kuishi, kujitegemea inabidi uumize sana...
6 Reactions
19 Replies
505 Views
Gavana wa Illinois, JB Pritzker, anamtaka Rais wa Marekani, Donald Trump, kuirejeshea jimbo la Illinois zaidi ya dola bilioni 8 baada ya Mahakama Kuu ya Marekani kubatilisha Ijumaa ushuru mpana wa...
1 Reactions
5 Replies
207 Views
Wanakijiji walivyokimbilia kuchimba dhahabu iliyopatikana karibu na zizi la ng'ombe Watu wengi wamekimbilia kuchimba dhahabu katika eneo la makazi duni mashariki mwa mji wa Johannesburg, Afrika...
5 Reactions
8 Replies
244 Views
Kuna wakat niliwahi kuwaambia watu huku kuwa ishu ya free palestine ni mtandao wenye kazi maalum wakabisha mno. Hadi hapo hapo walipogundua pesa inayomwagika kufadhili ugaidi kupitia mgongo wa...
4 Reactions
28 Replies
437 Views
Kiongozi mkuu wa Taliban, Hibatullah Akhundzada amesaini sheria mpya ya adhabu nchini Afghanistan ambayo inaruhusu wanaume kuwapiga wake na watoto wao, isipo kuwa vipigo hivyo havisababishi...
10 Reactions
185 Replies
3K Views
Wakuu, Maandamano makubwa yanaendelea nchini Albania ambapo raia wameingia mtaani kupinga rushwa inayohusisha viongozi wa serikali, ikiwemo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Miundombinu na...
2 Reactions
0 Replies
197 Views
Mahakama ya Juu ya Marekani imefuta ushuru mkubwa uliowekwa na Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, kwa kutumia sheria inayotumika wakati wa dharura za kitaifa. Katika uamuzi wa majaji sita...
0 Reactions
3 Replies
395 Views
Polisi wa Kiislamu nchini Nigeria wamewakamata Waislamu tisa kwa kutofunga Ramadhani. Polisi wa Kiislamu katika jimbo la kaskazini la Kano nchini Nigeria wamewakamata Waislamu tisa siku ya...
1 Reactions
5 Replies
192 Views
Mshambuliaji aliwaua watu angalau wanane na kujeruhi wengi zaidi katika shule ya upili katika mji mdogo wa mlima wa Tumbler Ridge, Canada, siku ya Jumanne. Mshukiwa ni mwanamke mwenye umri wa...
5 Reactions
90 Replies
1K Views
🔥🔥🔥🔥Taarifa ya Siri iliyofichuliwa huko Uingereza inataja zaidi ya Nchi 22 duniani zilituma magaidi kwenda Israel kwa ajili ya kuua watoto wa dogo na wanawake wasiokuwa na silaha huko GAZA...
2 Reactions
87 Replies
1K Views
Utawala wa Iran unaongozwa na serikali ya kiislamu ya Ayatollah Ali Khamenei uliza zaidi ya waandamanaji 32,000 huko Iran. Umoja wa Mataifa mashirika ya kutetea haki za Binadamu na assailant za...
1 Reactions
0 Replies
176 Views
Maduka na maduka makubwa yalifungwa, safari za ndege zilifutwa na taka zilirundikana Alhamisi huku wafanyakazi wa Argentina wakiendesha mgomo wao wa nne wa kitaifa tangu Rais Javier Milei aingie...
1 Reactions
0 Replies
101 Views
Trump Raisi wa Marekani leo amefungua rasimi baraza la Amani la Gaza, amearika maraisi wa nchi nyingi duniani kasoro wa Africa hamna Raisi wa Africa alio alikwa katika hilo baraza, hi inashiria...
2 Reactions
17 Replies
357 Views
Ripoti za uwezekano wa mzozo kati ya Marekani na Iran zinazidi kuwa ngumu kuzipuuza. Mrorongo wa ndege za Marekani tayari uko katika eneo hilo, na diplomasia inajitokeza chini ya kivuli cha...
4 Reactions
14 Replies
702 Views
  • Redirect
Kiongozi mkuu wa Taliban, Hibatullah Akhundzada amesaini sheria mpya ya adhabu nchini Afghanistan ambayo inaruhusu wanaume kuwapiga wake na watoto wao, isipo kuwa vipigo hivyo havisababishi...
6 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…