International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Katika pita pita zangu kwenye viunga vya mitandao ya kijamii Twitter, JF, Instagram n.k. kuna namna kifo cha Mzee wetu Khamenei kimewachanganya akili vibaya mno, hasa wale wenzangu wa imani...
1 Reactions
9 Replies
178 Views
Ahmedinajad ni nzima wa afya Kuna propaganda humu kuwa eti aliuliwa Uzushi umekua mwingi sana humu Netanyahu yuko wapi?Kuna tetesi kuwa ameangamizwa na makombora ya Iran yeye na Cabinet yake
0 Reactions
3 Replies
306 Views
https://www.youtube.com/watch?v=cbU3WIXJBw8 Ndege za kivita za B-2 Stealth ziko tayari kwa operesheni ya Midnight Hammer Kamanda yupo Live Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inafanya...
3 Reactions
42 Replies
1K Views
UAE na Qatar zinashawishi washirika kusaidia kumshawishi Trump 'kufikia njia ya mkato ambayo itawezesha operesheni za kijeshi za Marekani dhidi ya Iran ziwe fupi', kulingana na ripoti ya...
2 Reactions
0 Replies
229 Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
30 Reactions
1K Replies
106K Views
Kuuawa kwa kiongozi wa dini ya kiislamu pale Tehran-Iran, Grand Ayatollah Seyyed Imam AIi Hosseini Khamenei, kumeamsha hasira, chuki na uhasama usiomithilika na wenye sura mpya ya kidini ambayo...
6 Reactions
39 Replies
513 Views
Mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kama kweli amekufa au bado yuko hai. Ila, kama amekufa, basi atakuwa kafa kiboya sana sawa na wale majenerali wake walioliwa vichwa kipindi kile cha vita vya...
33 Reactions
80 Replies
2K Views
Falme za Kiarabu (UAE) na Kuwait zimesema kuwa watu wanne wameuawa na wengine 90 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (drones) kutoka Iran, kufuatia shambulio la...
1 Reactions
3 Replies
250 Views
  • Featured
Zimbabwe imekataa msaada wa afya wa Dola za Marekani milioni 367 kutoka Washington. Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa ilisema kuwa kifurushi hicho kinaweza kupunguza uhuru wa taifa na kudhibiti...
13 Reactions
25 Replies
1K Views
Ripoti zisizothibitishwa zinasema kwamba Ayatollah mpya ameuwawa katika shambulio la anga! Vyombo vya habari Iran bado havijatoa taarifa rasmi zaidi kuhusiana na kifo cha Ayatollah mpya.
10 Reactions
58 Replies
2K Views
Watu wasiopungua 169 wameuawa na kuzikwa katika kaburi la pamoja kaskazini mwa Sudan Kusini, maafisa wawili wa eneo hilo wameiambia AFP siku ya Jumatatu, huku nchi hiyo ikishuhudia ongezeko kubwa...
1 Reactions
3 Replies
204 Views
Toka Iran ipoteze kiongozi wake mkuu wa nchi, imekuwa ikishambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizo katika nchi za kiarabu kama vile Kuwait, Falme za Kiarabu na nchi zingine. -Iran imeenda...
2 Reactions
15 Replies
420 Views
Wadau, taarifa hii ni kwa mujibu wa uchambuzi wa vyanzo mbalimbali vya uhakika duniani na taarifa za ndani, hivyo uwezekano mkubwa ni alfajiri ya kuamkia jumapili tarehe 22.2.2026 kwa saa za...
13 Reactions
89 Replies
2K Views
  • Redirect
πŸπŸ“π“π‡ 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 πŽπ… 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 π’π”πŒπŒπˆπ“ The EAC Heads of State are set to convene for the 25th Ordinary Summit of the EAC Heads of State on 7th March 2026, in Arusha, United Republic of Tanzania. Theme...
0 Reactions
Replies
Views
Baada ya ya Mvua za rasharasha kunyesha huko Iran sasa hivi rasmi kabisa Mvua za Masika zimeanza kumnyeshea Ayatollah huko Tehran Iran. Kufikia asubuhi hii ameangamizwa Amir Hatami, Waziri wa...
15 Reactions
119 Replies
2K Views
Jinsi wachambuzi na wafuatiliaji wa siasa za kimataifa tuna tilia shaka juu ya uwezo wa jeshi la Urusi kuhusu performance yake huko katika vita vya Ukraine. Ni wakati sasa kuleta hoja ya kuanza...
5 Reactions
19 Replies
531 Views
Iran fires ballistic missiles at Israel, 9 dead in Beit Shemesh, 12 killed nationwide Bomb shelter struck as barrage of projectiles penetrates Israel's air defences, killing several and wounding...
1 Reactions
3 Replies
201 Views
Jeshi la Israel limesema limemuua kamanda wa ujasusi wa Hezbollah, Hussein Makled. Kwa mujibu wa jeshi hilo, Makled β€” aliyekuwa mkuu wa makao makuu ya ujasusi wa Hezbollah β€” aliuawa katika...
2 Reactions
0 Replies
200 Views
Marekani imeiomba UK kutumia airbase zake kwenye vita dhidi ya iran mara baada ya bases zote za USA kuharibiwa vibaya middle east. Waziri mkuu starmmer amethibitisha kukibali ombi hilo. Na vipi...
4 Reactions
12 Replies
640 Views
Kwenye hii vita kumejaa sana video za AI na picha za AI Unakuta kabisa mtu anakutumia video au picha ya ndani ya israel eti bomb limepiga hapa wakati kwasasa kwa muujibu wa taarifa wananchi wote...
0 Reactions
0 Replies
197 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…