Money laundering in Kenya is rampant and occurs in the formal and informal sectors, according to a new report.
Kenya has now been listed as one of the global hotbeds for money laundering due to...
South Korean ship detained for allegedly providing oil to North Korea
The ship has been held in Busan port since October. (Shutterstock/File)
SEOUL: A South Korean ship is being held at a...
Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika ataachia wadhifa wake huo Aprili 28, kabla ya kumalizika kwa muhula wake wa nne. Ameamua kuchukua hatua hiyo baada ya washirika wake wa karibu kujitenga naye...
Kusajiliwa kwa chama kikuu cha upinzani cha Agathon Rwansa, CNL, nchini Burundi katikati mwa mwezi Februari, hakukubadili chochote kwa upande wa wafausi wake ambao wanaendelea kukamatwa kwa wingi...
Pamoja na adhabu ya viboko kupigwa marufuku katika nchi kadhaa duniani, huko nchini eSwatini), mwanafunzi wa miaka 12 katika shule ya msingi Mkhuzi amejeruhiwa baada ya kucharazwa kabora 25 na...
Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika ataachia wadhifa wake huo Aprili 28, kabla ya kumalizika kwa muhula wake wa nne. Ameamua kuchukua hatua hiyo baada ya washirika wake wa karibu kujitenga naye...
Hapa ndio napoipendea TZ,yaani wabongo,wakiamua kutafuta data,hakuna wa kuwashinda.
Kwa kweli sipati shida kuelewa kwanini TZ,ilikuwa mstari wa mbele kwenye harakati za ukombozi kusini mwa...
Tatizo ni nini hapa ?
Mbona Rwanda imekuwa ni nchi yenye historia ya kukwaruzana sana na majirani zake ? Tena kibaya ni kwamba ni heri ugomvi uwe ni wa kidiplomasia tu: Kila ugomvi ambao Rwanda...
Hatimaye raisi wa nchi ya Algeria ndg. Abdelaziz Bouteflika ajiuzulu nafasi yake baada ya shinikizo kubwa alilolipata kutoka kwa jeshi la nchi hiyo na wandamanaji walioandamana kwa wiki kadhaa...
Wapalestina 33 waliokuwa miongoni mwa waandamanaji wamejeruhiwa katika vurugu zilizozuka kati ya waandamanaji na jeshi la Israel kwenye mpaka wa Gaza leo.
Hayo ni kwa mujibu wa shirika la hilali...
Nimejiuliza juu ya chokochoko zinazoendelea baina ya mataifa HAYA mawili ambayo yanatuhumiana na kutishana. Nikawaza ikitokea wanazichapa, Nani atamzidi mwenzie? Nadhani Rwanda wako vizuri zaidi...
Tunaipenda nchi yetu na africa kwa jumla ndo neno la msingi tunapaswa kusema kwa hatua mbali mbali tunazofanya juu ya nchi yetu.
Tunachukua nafasi hii kumshukuru mungu kutuwezesha kufika hapa...
Watu watatu wameuawa huku takribani wengine 50 wakitafuta hifadhi kwenye vituo vya Polisi katika mji wa Durban kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na baadhi ya raia wa Afrika Kusini, wanaopinga...
Brazil: Watu kadhaa wauawa katika shambulizi dhidi ya shule huko Suzano, karibu na Sao Paulo
Kituo cha televisheni cha GloboNews kmeripoti kwa watu 8 wameuawa, ikiwa ni pamoja na vijana wawili...
US opposition politicians and aid agencies have questioned a decision by President Donald Trump to cut off aid to three Central American states.
Mr Trump ordered the suspension of aid payments to...
KUALA LUMPUR,MALAYSIA
MWANAMKE raia wa Vietnam anaetuhumiwa kwa mauaji ya Kim Jong-nam ambaye ni kaka wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka mitatu...
Kampuni ya Boeing imetangaza mabadiliko kwenye mfumo wake wa kuzuwia ajali unaohusishwa na ajali ajali mbili za ndege zake za 737 Max zilizosababisha vifokatika kipindi cha miezi mitano.
Lakini...
India Yafanya Jaribio La Kombora Na Kufanikiwa Kutungua 'Satellite'
Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi katika hotuba yake siku ya Jumatano amesema kwamba, India imefanya jaribio la kombora lenye...
Urusi imesema wanajeshi wake wataendelea kubakia Venezuela kwa muda wote watakaohitajika kubakia na kuyapinga madai ya rais wa Marekani Donald Trump ya kuitaka iondoe wanajeshi wake katika nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.