WAdau naomba msaaa wajinsi ya kutambua mtu alipo kwakutumia namba yake ya simu maana nikimpigia hapatikani na ilifanyautapeli baada ya kukubaliana kunisaidia ku swap laini akaiswapu kwa mfumo...
Mtu mmoja mkazi wa Kitongo cha Rose kata ya Magomeni wilayani Kilosa mkoani Morogoro aliyejulikana kwa Jina la Salum Omary (37) amefariki dunia papo hapo baada ya kufukiwa na kifusi cha mchanga...
Zaidi ya watoto 9000 wanakosa haki ya kupata elimu kutokana na wazazi wao kuishi katikati ya hifadhi za misitu wilayani Chunya ambako hakuna miundombinu ya aina yoyote husani inayoweza kuwapatia...
Mwaka 1995 nilikuwa darasa la Sita shule ya Msingi Sunge, wilayani Kahama,Mimi Deogratius Kisandu nilikorofishana na Babu yangu mzaa mama Mzee Tundule a.k.a (Kipungo) ambako nilikuwa naishi...
Wanasayansi wanasema kwamba ziwa kubwa zaidi lenye maji tulivu barani Afrika Victoria linalounganisha nchi za Tanzania, Kenya na Uganda, lipo katika hatari kubwa ya kukauka.
Wanasema kwamba uvuvi...
Jeshi la polisi kwa kushirikiana na asasi za kiraia kanda ya ziwa limezindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili, huku takwimu za ripoti ya utafiti wa vitendo hivyo kwa mwaka wa 2015/2016...
Ndugu wana jamii forum Nawasalimu kwa jina la Mnyezi Mungu Muumba wetu.
Naleta maada hii kwenu ili kuwaeleza maswahibu yanayoniandama moyoni mwangu ili kama kuna yeyote aliyepitia basi tupeane...
Kikosi cha doria na udhibiti wa uvuvi haramu katika mkoa wa Kagera kimeendesha operesheni ya kushtukiza ndani ya Ziwa Victoria iliyokuwa na lengo la kupambana na vitendo vya uvuvi haramu na...
Laiti tungekuwa tunaishi milele hapa Duniani, Hata Mimi ningelazimisha kuwa Na madaraka Ashukuliwe Mungu muumba anayeweza kubadilisha majina ya walio hai wakaitwa Marehemu hatuna mji udumuo...
Licha ya Tanzania kuwa na mfumo wa Serikali za Mitaa, inaelezwa kuwa mifumo hiyo haifanyi kazi kwa uwazi jambo linalozuia umiliki wa wananchi juu ya matumizi na uendelezaji wa rasilimali zao...
Habari Zenu wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Mimi ni kijana Mtanzania nimepata tatizo la kupotelewa na cheti cha kuzaliwa. Ninaomba msaada ushauri au namna ya kuweza...
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema uchakavu wa Zahanati ya Kata ya Bujonde iliyopo Wilaya ya Kyela umetokana na uzembe wa halmashauri.
Ummy...
Wana Bodi Amani ya Bwana iwe Nanyi,
Natafuta shule ya dogo aliyezaliwa mwaka 2000 ambaye ni mjeuri, aliacha shule hajui kusoma wala kuandika [emoji10],
sasa kakumbuka shule.
Mwenye...
KWA UVCCM IMARA, MCHAGUE KHERI DENICE JAMES.
Kwa muda mrefu utendaji kazi wa Jumuiya ya umoja wa vijana CCM (UVCCM) haijaweza ama kufanikiwa kugusa matarajio ya vijana wengi nchini hususani...
Kuna waajiri huwa wanatoa sharti la kwamba muombaji alete nyaraka za mshahara aliokuwa anapokea kwa mwajiri wake wa mwisho. Binafsi hii kitu huwa inanishangaza. Mshahara wa mtu alikotoka mwajiri...