Hata wasinge ongezewa, wangepunguziwa bado wataichagua CCM... Hakuna watu wanafiki kama watumishi wa umma.Si mtaichagua CCM Tena 2020?
Hao watu wakifa kwa magonjwa, njaa na umasikini kuna faida gani ya maendeleo?Awamu ya maendeleo ya vitu siyo watu.
Kwani tuliichagua?Si mtaichagua CCM Tena 2020?
A man on top office doesn't care. Tumeshauri hadi midomo imepinda.Hao watu wakifa kwa magonjwa, njaa na umasikini kuna faida gani ya maendeleo?
Train za umeme, umeme wenyewe ni wa mgao, bombardier zinazokatwa, juzi Dar nzima ulitaka kutubiwa kwenye meli ya wa-China.
Si mtaichagua CCM Tena 2020?
Ongezeko la Tsh elfu saba kwa watumishi laki tano hutoa wastani wa Tsh bilioni 42 kwa mwaka. Hizo ni pesa nyingi kwa serikali ingawa wewe unaona kama ni ongezeko dogo.==>Wapi madaraja kupandishwa? ==> Je, watumishi wamedanganywa tena? ==>watumishi mnajisikiaje kutokupandishwa madaraja?
Uchaguzi si ni October, September atapandisha mishahara na watampigia makofi mwenyekiti wa chama.
Watasahau ikifika 2020
Kama Jk aliwasema akapandisha kimya kimyaUchaguzi si ni October, September stapandisha mishahara na watapigia makofi kwenye kiti wa chama
Vitu gani mfano?Awamu ya maendeleo ya vitu siyo watu.
Bas mama punguza jazba...Hao watu wakifa kwa magonjwa, njaa na umasikini kuna faida gani ya maendeleo?
Train za umeme, umeme wenyewe ni wa mgao, bombardier zinazokamatwa kwa madeni, juzi Dar nzima ulitaka kutibiwa kwenye melt ya wa-China.
ntakuja nkupige kutuuliza ilo swaliSi mtaichagua CCM Tena 2020?