Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Napendekeza kuongezwa tozo ya shilingi kumi (10) kwa kila lita moja ya mafuta (petrol) na fedha hizi zitumike kusaidia sekta ya afya (matibabu). Najua itaongeza gharama za maisha, tufanye kwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Leo nimeaibika, niko na mama mkwe tangazo la Salama kondomu hata lilipotokea sijui wapi. Kuna dada anamsifia Boyfriend wake anaitwa Amani okay lilipita lakini. Kabla foleni haijaisha limerudi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mwalimu Israel Mlowasa (40) wa Shule ya Sekondari Nkuhungu katika Manispaa ya Dodoma, amekutwa ameuawa nyumbani kwake na kiganja chake cha mkono wa kulia kukatwa na kuondoka na wauaji hao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Redirect
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amezindua jumba jipya makao makuu ya Umoja wa Afrika ambalo limepewa jina la rais mwanzilishi wa taifa la Tanzania, Julius Nyerere. Jumba hilo ambalo jina lake...
0 Reactions
Replies
Views
Habarini wanadamu! Ifuatayo ni moja ya tafakuri yangu, hivyo nikiwa kama mwanadamu huru katika ulimwengu unaoonekana, nimeona niwashirikishe mambo ambayo hata hivyo mtu yeyote huweza kufikiri...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Nimekuwa nikitafuta sana kwa miezi hii ya karibuni maeneo ambayo ningeweza kupata kuona Viatu vikining'inizwa kambani tena katika nyaya za Umeme ili nivipige picha na niweke kama kumbukumbu yangu...
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Habar wadau, Nimetafakari kwa ukatili wa scorpion mtoboa macho aliokuwa nao napendekeza hukumu ikitoka huyu muuwaji nashauri apelekwe kwenye magereza yafuatayo:- 1.KITENGULE-KAGERA...
2 Reactions
148 Replies
21K Views
Habari za wakati huu Wadau, Imepita siku nne tangu niwe 'popo' mitaa ya kigamboni na kukutana na tukio la ajabu sana, kwangu mimi; waporaji kuvamia upande wa kivuko upande wa kigamboni na kupora...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Jamani, sisi wanafunzi wa St. Joseph tulioamishiwa RUCU kupitia Marian tumesumbuka sana toka mwezi wa nne hadi leo, hatujapata mkopo. Tuna vigezo vyote na tumekua tukihangaika kuja Dar kufatilia...
0 Reactions
3 Replies
900 Views
My fellow parents ...read this Copied From_The_Emergency_Room. As a Casualty Medical Officer in the Children Emergency Room, I have seen beautiful promising babies lose their lives because of...
1 Reactions
1 Replies
645 Views
Hakika nimeamini Tanzania inaongoza kwa Unafiki Duniani na Mbinguni. Siungi mkono tukio la yule mwanafunzi wa Mbeya kula kichapo lakini nashangazwa sana na matamko yasiyoisha. Kinachoonekana pale...
15 Reactions
75 Replies
8K Views
Magonjwa ya akili yapo ya aina nyingi na mengi huwa hayatambuliki kwa urahisi kwa jamii na hata kwa watoa huduma wa afya na hivyo wagonjwa wengi huchelewa kupata matibabu stahiki. Aidha wagonjwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ujumbe wa simu unavyokwenda kama ulivyo haswa Visimu vya kitochi kunaniachaga hoi kabisaaa Ukiandika kijita, kikuria, sijui kiparee unaupata ujumbe kama kawa na kwa aekunde tu Mwenye maelezo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Redirect
Gazeti la Jambo leo limeripoti kuwa Waziri wa afya, maendeleo ya jamii, jinsia, watoto na wazee, Ummy Mwalimu amesema utafiti unaonesha kuwa kwa kila watu wanne duniani , mmoja ana matatizo ya...
0 Reactions
Replies
Views
Siku hizi trafic wanapiga picture kwa nyuma je hii ni halali?
0 Reactions
3 Replies
953 Views
Kijitonyama, Sinza na Mikocheni: Mitaa ya Sayansi, Makumbusho na Maeneo ya Mikocheni Rose Garden ni hatari sana kwa kina dada na kina kaka ambao huninginiza mabegi ya laptop na mapochi makwapani...
9 Reactions
55 Replies
8K Views
Polisi Mkoani Rukwa linawasaka wanafunzi waliofunga ndoa miezi mitatu iliyopita. Habari kamili ya ndoa hiyo iliyofungwa kanisani ipo hivi….. Binti wa miaka 15 ambaye ni mwanafunzi wa darasa la...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Zoezi la uhakiki na vitambulisho vya taifa limekua gumu sana. Je, litawafikia na wafungwa magerezani? Wagonjwa mahospitalini na walio nje ya nchi masomoni watarudi kuhakikiwa? Wazee kwenye...
0 Reactions
2 Replies
861 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…