mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
Habarini wanajamvini wakazi Wa Dodoma.
Aisee kuna hii sehemu nzuri Sana ya kula bata, vinywaji na starehe za hotel, swiming etc
Ni sehemu nzuri ya kukaa na kutulia, tatizo lao ni moja tu wahudumu Wa pale ni wezi Sana, yani ukienda we mgeni na hujui bei unachomekewa bei iliyojuu. Kuanzia kaunta mpaka wahudumu.
Chakushangaza wahudumu huwa wanajisifia wakikaa wao kwa wao kuwa, Leo nimeingiza laki mbili, Leo kuna mtu nimempiga kvant 20000 badala ya 13000.
Sasa wananchi kuweni makini, ikibidi mkienda pale muulizie mpewe menu iliyokuwa signed na mkurugenzi inayoonesha bei halisi ya kila kinywaji.
Nawashauri hawa wahudumu hasa wadada wafanye mkakati Wa kumwibia boss wao, na sio raia wema.
Bosi wao si tajiri, tena ndugu yake ni mbunge hapa dodoma na tajari anaemiliki mabasi na mahoteli, waibieni hao, sio sisi
Aisee kuna hii sehemu nzuri Sana ya kula bata, vinywaji na starehe za hotel, swiming etc
Ni sehemu nzuri ya kukaa na kutulia, tatizo lao ni moja tu wahudumu Wa pale ni wezi Sana, yani ukienda we mgeni na hujui bei unachomekewa bei iliyojuu. Kuanzia kaunta mpaka wahudumu.
Chakushangaza wahudumu huwa wanajisifia wakikaa wao kwa wao kuwa, Leo nimeingiza laki mbili, Leo kuna mtu nimempiga kvant 20000 badala ya 13000.
Sasa wananchi kuweni makini, ikibidi mkienda pale muulizie mpewe menu iliyokuwa signed na mkurugenzi inayoonesha bei halisi ya kila kinywaji.
Nawashauri hawa wahudumu hasa wadada wafanye mkakati Wa kumwibia boss wao, na sio raia wema.
Bosi wao si tajiri, tena ndugu yake ni mbunge hapa dodoma na tajari anaemiliki mabasi na mahoteli, waibieni hao, sio sisi