Kwa wenzetu mliotembea je uko kwingine majeshi ni mali ya wananchi au ni mali ya serikali na hata hapa tanyania nikweli JWTZ ni mali ya wananchi au mali ya serikali?
Kaya 67 zinazoishi kwenye eneo la maarufu la Maisha Plus la Kitongoji cha Bago, Kijiji cha Msakangoto na Kata ya Kigombe Wilayani Muheza wamekubali kulihama eneo hilo, kumpisha mwekezaji wake...
1)Elewa ukomo wa fikra,
Ni mambo mengi yanajiri katika maisha yetu, Si yote tunauwezo wa kuyadhibiti tupendavyo katika uhalisia.
Lakini fikra zetu zimebeba vita kubwa ambazo mikono yetu haiwezi...
KUHUSU MCHEZAJI ANAYELIPWA ZAIDI TANZANIA: MIUNDO NA MIKAKATI YA MSHAHARA
Feisal Salum (Fei Toto) analipwa mshahara mkubwa zaidi kwa sasa nchini akipokea kiasi cha Shilingi milioni 100 kwa...
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu akiwa Bungeni leo Septemba 2, 2026 amehoji kuhusu ujenzi wa soko la kisasa na la kimkakati katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru ambalo ameeleza kuwa Soko...
Askofu wa Kanisa la Evangeliki la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza, amewataka viongozi kuheshimu na kuwajali watu wanaowaongoza badala ya kulewa madaraka. Akizungumza...
Ipi hivi wakuu kuna kuanzi mimi mwenyewe au mtu mwingine, kutakua na watu wawili watasaidiana katika kutekeleza unyama/ukatili dhidi ya haki ya binadamu kuishi.
Mtu huyo kimuonekano ni anaafya...
Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,akizungumza na Viongozi baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa ya Mbeya,Geita,Pwani,Mwanza pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa...
Shahidi MBABE kuliko WAKILI 🤣
Wakili: Una Akili timamu?
Shahidi: Nina akili timamu kuliko wewe na bosi wako
Wakili: Unajua asiye na akili anatabia ya kuijiona ana akili kuliko wenzie?
Shahidi...
Mimi ni mdau wa JamiiForums ninayeishi Zanzibar, Mkoa wa Mjini Magharibi, Wilaya ya Magharibi B. Nimekuwa mtumiaji wa mtandao wa Halotel kwa takribani miaka minane sasa, lakini kwa muda mrefu...
Mmbwa ni best nimemfuga sana kimara na kisasa dom tunawapenda na wanasaidia sana kwenye security na ni raha akikuzoea.Lakini ukweli mmbwa ni fucken sana ukiitwa mmbwa jua wewe addition yako bi...
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kuandika kuwa baadhi ya Wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule ya Msingi Mitundu B katika Halmashauri ya Itigi DC wanasoma hadi usiku bila kula, hali inayoweza...
Hivi jamani, mzazi mzima mwenye akili zako timamu, unajua kabisa binti yako anatoka nyumbani saa nne ya usiku amepigilia pamba za kikahaba, amejifunga kanga yake juu kuzuia macho ya majirani na...
Huu siyo unabii ila ni uhalisia, ni jambo ambalo limeshafanyika katika mawanda ya kiroho. Mtumishi wa Mungu Askofu Zachary Kakobe atakuwa na nafasi ya kipekee sana katika uamsho huu.
Sina shaka...
Mawakili wa familia ya marehemu Askofu Dr. Gertrude Pangalile Rwakatare na Kampuni ya St. Mary’s International Academy Limited, wakiongozwa na Wakili Derick Paschal, wamejitokeza na kukanusha...
Mkuu wa Idara ya Chapa na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Yvonne Maruma akizungumza katika Wiki ya Ubunifu Tanzania 2026 ambapo alizungumzia namna ya Vodacom inavyounganisha Watanzania na kuleta...
🔺Ni ili Mwaka wa Fedha 2028/2029 kila kaya iwe na bima
🔸Maoni ya wadau tayari, kifuatacho kubadili sheria NHIF
🔹Hakuna ubaguzi, kaya masikini nchi nzima kugharamiwa
Kazi Na Utu Tunasongambele
Je ulishawahi kuliona ama kulitafakari hili kama alivyofanya Manyanza !?
Ofisi kubwa na za kisasa huweka maua ya asili kama mkakati wa kisayansi wa kusafisha hewa maeneo ya kazi.
Mimea hii...