figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Watu wawili raia wakigeni wamenusurika kifo katika ajali ya ndege ndogo aina ya ACQUILLA-MICROLIGHT 912 iliyoanguka katika eneo la shule ya sekondari Chambo halmashauri ya Ushetu Kahama na kusababisha taharuki kwa wakazi wa eneo hilo wakihofia usalama wao.