Nimeona UTT inajadiliwa sana kuna mmoja amesema ukiwekeza mil 50 kila mwezi utapata faida ya 400k,
Nataka nikope mil 50 NIWEKEZE UTT ili zile faida za 400k
Kila mwezi nirejeshe benki mwisho wa...
Wasukuma tunasema;
MWAMPA(mwamba) huyu hapa.!!!
Maashiiine!!!😅
Kwa vile mwanangu anarusha sana mateke leo huko tumboni hence moyo kunienda mbio nitaandika kwa kifupi sana ujumbe huu ambao roho...
Katika harakati za CHAMA, nafahamu ugumu wake Kuna muda una kaa kuanzia asubuhi Hadi jioni bila kula, mfano Mimi sijawahi NUFAIKA na pesa yoyote chamani labda Kwa sababu sio mtu wakujishusha sana...
Sory naomba kujua kwa kuwa makamu ameshatangaza kujiudhulu na Rais akapokes barua yake ya kujiudhulu akadhibitisha.alafu hapo hapo au siku kadhaa kabla Rais hajateua Makamu wake ghalfa...
Hivi kweli akili zenu zimefungwa na kufuli la Wazungu mpaka mmeshindwa kuona ukweli ulio wazi? Yaani hapa duniani hakuna kitu kinachochanganya na kuvuruga akili za watu kama hiki kitabu cha...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti na kutimiza wajibu wao kwa taifa, akisisitiza kuwa haki na...
Usikute huyu abuduli ni vice president kivuli sisi wananchi hatujui.
Maana si mara moja si mara mbili anamuwakilisha Samia huko nje ya nchi licha ya kutotambulika serikalini.
Sasa je kama jamaa...
Wayebusi ni Jamii ambayo imekuwepo miaka na miaka ila halitambuliki sana kwa watu wengi na Serikali halikubaliani kabisa na hii Jamii ya Wayebusi.
Ila kwa sasa inazidi bakiwa na watu wachache...
Binadamu tunahangaika sana na utafutaji na dunia.Tunafikia nafasi za kufanikiwa kisha tunasahau kuishi.
Katika pitapita zangu huko INSTAGRAM nimekutana na hii project "BOYS MENTORSHIP SURVIVAL...
Kuna vitabu viliondolewa kwenye Biblia tunayoitumia leo wakati wa mchakato wa kukusanya maandiko karne nyingi zilizopita. Kati ya hivyo, Kitabu cha Henoko (The Book of Enoch) ndicho chenye siri...
Rafiki yangu mmoja aliniuzia kifaa cha kieletronic wakati nanua hicho kifaa kwanza nilivyokipokea sikukielewa kwa sababu sijawai kukiona watu wengi wakikitumia, pili muonekano wake haukuwa kama...
Nimeshtushwa na ulinzi wa namna ile tena kwa Daktari anayekutana na watu kila uchwao.
Kuonana na Profesa Janabi ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya Moyo Muhimbili - Jakaya Kikwete Cardiac Institute...
Nini maana ya Shukrani?
Kumekuwa na maswali mengi kwa watu juu ya kumshukuru Mungu na kila mmoja anasema yake
Kumshukuru Mungu ni zaidi ya kutoa sadaka, ingawa kumshukuru Mungu kunaambatana na...