Habari wana JF,
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa mtandao wa Vodacom kwa zaidi ya miaka kadhaa sasa,hawakuwa na tabia ya kutuma meseji ovyo ovyo kila mara hasa za matangazo,sikatai meseji kwasababu ni...
Point yangu ni kwamba, kwakuwa Udart inaendeshwa na kampuni binafsi, hakuna sababu kwanini na wamiliki wengine wa daladala wasiombe na kupewa vibali vya kutumia njia ya mwendokasi. Hivyo abiria...
Ni kwa muda mrefu sana nimekuwa nikijiuliza hivi mababu zetu waliokuwepo kabla ya dini zetu kuu yaani ukristo na uislamu haujaingia nchini wataenda mbinguni?
Maana kwa asilimia kubwa walikuwa...
Liu Ruopeng mwanafunzi wa PHD katika chuo kikuu cha duke 2006-2009.
Liu inasemekana na alituhumiw kuwa aliiba teknolojia ya prof. Smith katika chuo kikuu cha Duke ambacho kimejikita ktk 'Meta...
Ili kupunguza ajali zitokanazo na uchakavu
Ili kupunguza athari za kimazingira
Ili kwenda na thamani ya miji yetu na afya zetu
Ili kuongeza uwezekano wa uwekezaji ktk viwanda vya kuunganisha...
Mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Mwabasabi Mkoani Simiyu Susana Shija (9) amekutwa amekufa kwenye nyumba ambayo haijaisha huku baadhi ya viungo vya mwili wake vikiwa vimeondolewa.
Biashara ya mabasi na/au malori ni ngumu na haiyumkiniki katika hali za kawaida haiwezekaniki kuwa na tija yoyote katika nchi kama za kwetu (hasa Tanzania).
Mabasi au malori yanahitaji kuwapo kwa...
Dear President.
I am extremely grateful to your government. It has been doing well, to say for many.
I recall that some years ago I wrote a letter to you [through this media] that me and my...
Habarini wakuu,
Ifuatayo ni orodha fupi ya malipo ya walimu wa elimu ya juu ya sekondari (High school teachers) katika majimbo mbali mbali nchini Marekani (USA) kwa mwaka
.1 Alaska
Annual mean...
Kwa nini guest tunaachia chumba saa 4 asubuhi na sio mchana saa 6 au saa 2 asubuhi. Naona guest zote utaratibu ndio huo,ukizidisha muda hapo unahesabika umelala na siku hiyo.
Napenda kujua hii...
Miezi miwili iliyopita niliota ndoto ila sikuilewa hadi sasa,mwenye uelewa wa kutafsiri ndoto naomba anisaidie,
Baba angu amefariki miaka kumi iliyopita,alinitokea kwenye ndoto nikiwa nimelala na...
Kuna mzigo bahasha nataka kutuma kwenda Korea ya Kusini. Kama kuna mtu ana mpango wa kusafiri kabla ya tarehe 17/10/2018. Naomba msaada, tuwasiliane. Natanguliza shukurani zangu.
Marwa Itembe (28), mkazi wa kijiji cha Mbalimbali wilayani Serengeti Mkoa wa Mara amefikishwa mahakamani kwa makosa matatu ya uhujumu uchumi.
Mbele ya Hakimu mkazi mfawidhi wilaya ya Serengeti...
Nimefuatilia uteuzi wa mawaziri wapya,lakini pia nimefuatilia mawaizri wa mh Jk ambao amekuwa anawateua kushika wizara mbali mbali tangu awe rais wa inchi hii.Je mh mwanri ana tatizo gani na mh jk...
Ndugu wanajf, hivi sasa baada ya wimbi la wale matapeli wa mitandoni wa "ile pesa tuma kwenye namba hii" kuenea na hatimae watu kuerevuka na kuwapuuza, ni kwamba kuna utapeli mwingine umeibuka...
Wanaume wakamatwa wakinunua Makahaba
JUMANNE , 9TH OCT , 2018
NA ELBOGAST MYALUKO
Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia wanaume watano, kwa kosa la kujihusisha na kununua wanawake...
Hakika hospital ya wilaya ya kahama kuna rushwa na uzembe wa hali ya juu mgonjwa anaweza kukufia ilihali watumishi wakitazama,wanakejeli na maneno ya dharau mbali na hilo mbaya zaidi kuna wizi wa...
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ameonyesha masikitiko yake kwa namna mradi wa mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) namna unavyoendeshwa na kuwataka watendaji wote kukutana naye Kimara...
Sehemu ya Kwanza
Na Muhammad bin Yusuf
[Chapa ya mara ya kwanza - Mwezi wa Ramadhan, 1415 Hijria -1995]
Swahili ni Taifa la makabila yaliopo katika Pwani ya Afrika ya Mashariki na visiwa vyake...
Mm huwa napeleka gari yangu aina ya CRV New Model car wash ya mtaani kijana anaiosha ! Na wengineo.
Muda wote huwa safiiii mle ndani. Nani huiosha mle ndani na wakati gani ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.