Heshima kwa wazee wa jukwaa.
Tukiwa kunaikaribia tarehe 1 June ambapo ndio sheria itaanza kufuatwa kwa wote watakaokutwa na hii bangi mpya kama sio madawa ya kulevya, kuna baadhi ya mambo...
“ Naiomba Serikali kupitia Wizara husika isipoteze muda kabisa Kununua na Kusambaza tena hizi Condoms nchini bali waache tu ziadimike ili Watu na hasa wale Wazinzi Wafe kabisa kwani huko Kufa kwa...
Wakuu naomba msaada wa ratiba ya treni ya deluxe kutoka Dar kuelekea Kigoma, ipo lini na ratiba ya kukata ticket iko vipi maana nime jaribu kuingia kwenye website ya TRL hawako updated kabisa...
Binafsi, ni mtumiaji mzuri sana wa mitandao ya kijamii. Kwa muda mrefu toka 2012 nilipoanza kutumia sim zenye uwezo wa internet hata ya 2G tu, nimejikuta kwenye ulevi mkubwa.
Hayapiti masaa...
Naibu waziri wa ujenzi, mawasiliano na uchukuzi katoa amri mabasi yote yanayoenda mikoani yaanze safari saa 11 alfajiri.
Chanzo TBC1 habari
------
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na...
Habari ,
Ni na ndoto ya muda mrefu ya kumiliki makazi ya ujenzi wa muda mfupi, ya kipekee na nafuu kidogo ila yenye ubora.
Nimekuwa nikichunguza ujenzi wa wooden house kibongo bongo nimeona ni...
Salamu na heshima kubwa kwenu ndugu zangu wahandisi!
Kwenye Syllabus ya Engineering hii hasa upande wa Geotechnical kuna hii ishu ya Barabara!
Wahandisi kama tujuavyo kuna basic types Mbili za...
Habar wana Jf
Katika harakat zangu za maisha nimekutana na viroja vingi sana ndani ya mabasi ya mkoani ambayo ni
1.Kukaa siti moja na mtu anayekula njia nzima kila anachokiona ananunua anakula...
Salaam
Wadau leo nimefika kituo cha mabasi ubungo...na kukutana na changamoto kubwa sana ya usafiri,ambayo imenisukuma kuanzisha huu uzi hapa JF Jukwaa huru... kwa nia ya kuiambia serikali...
Heshima kwenu wakuu.....
Ningependa kuzifahamu bank ambazo hutoa mikopo yenye riba nafuu kwa wafanyakazi.
Kwa wanaojua tafadhali naomba ushirikiano wenu.
Natanguliza shukrani.
Habar wanajamvi?
Ni muda sasa nimekuwa nikitafakari jambo hili lakini nimeona siombaya kama tukishirikiana kwa pamoja hapa.
Kwa sasa tuna wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa,wizara...
Tuienzi lugha yetu ya Kiswahili,
Andika methali, nahau au kitendawili Chochote hapa wengine watakupa jibu.
--Mgaa gaa na upwa................
--samaki mkunje...............
--simba mwenda...
Mkuu wa Wilaya ya Karagwe ameliagiza Jeshi la Polisi kuwaweka chini ya ulinzi Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Bukoba, Josephat Kyebyera na Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Bukoba, Siima Kyamani kwa...
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu ya Vodacom Hisham Hendi amerejea kazini wiki hii baada ya kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa inamkabili kuisha kwa kukiri kosa na kukubali kulipa. Ikumbukwe...
Kuna hii tabia ya kusahau hela kwenye suruali ki ukweli nimejitahidi kuiacha ila kila nikijaribu ntaacha kwa siku mbili au tatu ila siku nikija kufua ni lazima nikutane na buku au ka jero kila...
IDADI ya watalii walioingia nchini imeongezeka kutoka 1,327, 143 mwaka 2017 hadi kufi ka watalii 1,505, 702 mwaka 2018 na ongezeko hilo limechangia kuongezeka kwa mapato yatokanayo na utalii...
Wakuu wa mikoa acheni kutisha watu.
Unasema wasiokuwa na vitambulisho utawafikisha mahakamani ati kwa kukaidi agizo la Serikali?
Wanapelekwa mahakamani kwa sheria na kuvunja au kutenda kosa gani...
Ni njia gani hiliyo bora itatusaidia kuondokana na hii tabia ya watu wanao jiusisha na mapenzi ya jinsia moja?
Tunaitaji jamii bora Mwanamke abaki mwanamke na mwanamme abaki mwanaume inapotokea...
UDHAIFU WAKO NDIYO MAFANIKIO YAKO.
Miaka mingi kabla ya kuwa maarufu katika ulimwengu huu kwa kutumia uwezo wake wa kuburudisha na kuchekesha umati wa watu kama muhusika mkuu katika mfululizo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.