Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ujasiri wa mtoto Anthony Petro, sasa umezaa matunda na kuleta mabadiliko katika familia yake. Anthony, mtoto wa miaka 10, mkazi wa Ngara alisimama kidete kumzuia baba yake Petro Magogwa asiuze...
16 Reactions
54 Replies
11K Views
IGIZO Angalia mchezo wa kuigiza Kwenye huu wa kuigiza tumeona ambavyo mwanafunzi ambaye hakufanya vizuri kwenye masomo yake na kuhitaji msaada Zaidi kimasomo lakini mwalimu wake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
IGIZO Angalia Mchezo huu wa kuigiza Kwenye mchezo huu wa kuigiza tumeona jinsi ambavyo binti akitaka kumuhoji kiongozi(Mbunge) kuhusu mambo kadhaa kuhusu maswala ya Bunge lakini...
0 Reactions
1 Replies
818 Views
Utasikia Vijana Wa Kitanzania Vile Wanaitana Boss, Chief, Mtaalamu, Doctor, Fundi, Mkuu, Professor, Muheshimiwa, Kiongizi, Captain Yaani Unaweza Kusema Nchi Haina Tatizo La...
8 Reactions
64 Replies
5K Views
Mimi hupendelea kumuita Iron Lady wa media zetu za kibongo. Ni Makamu Mkurugenzi Mtendaji wa makamapuni ya IPP. Ni mama mwenye misimamo yake haswa linapokuja suala la kuilinda image ya IPP. Baada...
33 Reactions
122 Replies
25K Views
  • Redirect
Wengi nadhani mtakua mshawahi kumsikia huyu dogo Anthony Petrol aliemshtaki mzee wake kwa kutaka kuuza kiwanja huko mkoani Kagera. Je yupo wapi sasa?
0 Reactions
Replies
Views
Hivi usafi wa hivyo vyombo huwa unafanyika vizuri kweli hasa mida ya jioni au usiku bar zinapokuwa zimechangamka?
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Huku Peru kuanzia watoto hufundishwa shuleni umuhimu wa kutunza mazingira. Hii mifuko ya plastic hawaitaki lakini wanajuasolution ni step by step; 2014 ilikuja policy ya kusema dukani unanunua...
8 Reactions
40 Replies
5K Views
Kwa nini kila kitu Tanzania lazima tununue kwa pesa taslimu? Gari, nyumba, simu, thamani za ndani, sijui kitu gani, kwa nini? Nchi nyingine vitu kama simu unaweza kununua kwa contract ukawa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
MWANAFUNZI wa Chuo cha Uuguzi Chimala wilayani Mbarali, Mkoa wa Mbeya, Vena Mtati (27) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai mazito ya kumuua mtoto wake kwa kumnyonga...
0 Reactions
65 Replies
44K Views
Mlipuko wa bomu unatokea katika sherehe ya kumpongeza Kamishina wa Jeshi la Polisi, Ibrahim Miraji baada ya kuteuliwa na rais kuchukua nafasi hiyo. Hapo nyumbani kwake kwenye sherehe hiyo kuna...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Big house but small family.. More education, degrees but less common sense.. Advanced medicine but poor health.. Touched moon but neighbours unknown.. High income but less peace of mind.. Lots of...
0 Reactions
1 Replies
442 Views
Zoezi la kuwakamata wahamiaji haramu Dar limemkwepa Askofu Mkombo ambaye licha ya kwamaba ni mhamiaji haramu lakini amefoji cheti cha kuzaliwa na kufijo passpoti mda mfupi baada ya kumuoa...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Korosho mbichi kwenye Supermarket ni 18000 hadi 22,000 Tshs kwa kilo Hii ni Korosho iliyo banguliwa Waziri alitoa ushauri Mzuri kuwa Watanzania wale Korosho maana zina Afya, Tatizo lipo kwenye...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu wana JF nawasalimu na baada ya salama nijielekeze moja kwa moja kwenye mada yenyewe najua watu wengi hawafahamu kuhusiana na sheria mpya ya mambo ya mifuko ya lambo au plastic tiririka nayo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
MDOMO : 1. Ukipiga domo vizuri ukawa mwanasiasa mzuri , unashika nafasi ya juu na kupata pesa ndani ya muda mfupi.Huhitaji GPA or misuli ; 2. Ukiongea na mtu mwenye fursa vzr , unapiga hela...
1 Reactions
2 Replies
811 Views
Mmiliki wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi ameeleza jinsi alivyokutana na mlimbwende wa Tanzania mwaka 2001, Jacqueline Ntuyabaliwe maarufu K-Lynn kwa mara ya kwanza jijini London, Uingereza...
37 Reactions
338 Replies
64K Views
Habari ! Kwa waliowahi kufika au kuishi Zanzibar kipindi cha mwezi wa Ramadhani, almaarufu kama mwezi mtukufu wamewahi kuona sheria kali zilizotungwa na mamlaka ndogo Ila zina nguvu kubwa kwakuwa...
7 Reactions
150 Replies
10K Views
Kuna kitu hapa wanaume au kina baba hawatakiwi kukichukulia poa, nilelewa na kukulia kwenye familia ya wazazi wote wawili lkn mama ndio alikuwa kila kitu pale home namshukuru Mungu na mzee yeye...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu hivi hawa jamaa (Rwanda)wanahitaji yellow fever vaccine kama unatokea Tanzania?
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Back
Top Bottom