Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,879
- 4,881
Wakuu naomba msaada wa ratiba ya treni ya deluxe kutoka Dar kuelekea Kigoma, ipo lini na ratiba ya kukata ticket iko vipi maana nime jaribu kuingia kwenye website ya TRL hawako updated kabisa, yani website haina taarifa muhimu kama hizi ni mambo mengine ya ajabu kwa kampuni kubwa kama hii.
Msaada tafadhari
Msaada tafadhari