Maisha nje ya internet/ off line life yana raha sana

Vitalis Msungwite

JF-Expert Member
May 11, 2014
3,269
7,771
Binafsi, ni mtumiaji mzuri sana wa mitandao ya kijamii. Kwa muda mrefu toka 2012 nilipoanza kutumia sim zenye uwezo wa internet hata ya 2G tu, nimejikuta kwenye ulevi mkubwa.

Hayapiti masaa kadhaa bila kuchungulia chungulia ili kujua Dunia inaendaje. Lakini, kuna kipindi nilitingwa na shughuli fulani na ilinilazimu kutumia sim ndogo kwa muda wa wiki moja.

Ndani ya hiyo wiki, nilihisi kukosa mengi yanayoendelea Nchini na Duniani kwa ujumla. Nje ya hilo niliishi maisha ya raha mustarehe, huku kichwa kikiwa huru kabisa.

Unajua ukiwa offline, unapata wasaa wa kuwa na marafiki na mnapiga stori zinaeleweka. Vile vile unashiriki kwenye makundi katika michezo mbali mbli, Mimi ni draft tu. Wananchi wanapiga kazi kama kawaida tu na life linasonga.

Sasa ukiwasha data sasa!!, unaweza kuhisi tofauti. Huyu, "uchumi unaporomoka kwa kasi ya kimbunga Kenneth", mwingine anajibu "uchumi unapanda kwa kasi ya Catrina". Mara Manji aliuawa, wapinzani wamekamatwa, gwajima hivi, Wasiojulikana wajulikana, magufuli aongezwe muda wa kuongoza, korosho zimehujumiwa, CAG na spika wanamgogoro, Masele kaitwa kule, waziri ajivue, Biashara zimekufa, Biashara zimeimarika, Mabeberu yamesanda kwa Anko, kuna mkuu katenguliwa uteuzi n.k.

Hata Mange na wafuasi wake walipowasha data waliona maandamano yanatekelezeka, lakini walipozima data na kuingia mtaani walikuta watu wapo na hamsini zao.

Makolokolo kibao unakutana nayo mpaka unahisi tumefika mwisho wa Dunia. Lakini hakuna kipindi kizuri kama ukizima data, trust me utaona maisha yalivyo ya raha.
 
Kuna muda huwa nakua offline hata kwa miez mitatu

Am not controlled by social networks ....

Or anything else ....

Hata nkija huku i act so funny ani ....
 
Binafsi, ni mtumiaji mzuri sana wa mitandao ya kijamii. Kwa muda mrefu toka 2012 nilipoanza kutumia sim zenye uwezo wa internet hata ya 2G tu, nimejikuta kwenye ulevi mkubwa.

Hayapiti masaa kadhaa bila kuchungulia chungulia ili kujua Dunia inaendaje. Lakini, kuna kipindi nilitingwa na shughuli fulani na ilinilazimu kutumia sim ndogo kwa muda wa wiki moja.

Ndani ya hiyo wiki, nilihisi kukosa mengi yanayoendelea Nchini na Duniani kwa ujumla. Nje ya hilo niliishi maisha ya raha mustarehe, huku kichwa kikiwa huru kabisa.

Unajua ukiwa offline, unapata wasaa wa kuwa na marafiki na mnapiga stori zinaeleweka. Vile vile unashiriki kwenye makundi katika michezo mbali mbli, Mimi ni draft tu. Wananchi wanapiga kazi kama kawaida tu na life linasonga.

Sasa ukiwasha data sasa!!, unaweza kuhisi tofauti. Huyu, "uchumi unaporomoka kwa kasi ya kimbunga Kenneth", mwingine anajibu "uchumi unapanda kwa kasi ya Catrina". Mara Manji aliuawa, wapinzani wamekamatwa, gwajima hivi, Wasiojulikana wajulikana, magufuli aongezwe muda wa kuongoza, korosho zimehujumiwa, CAG na spika wanamgogoro, Masele kaitwa kule, waziri ajivue, Biashara zimekufa, Biashara zimeimarika, Mabeberu yamesanda kwa Anko, kuna mkuu katenguliwa uteuzi n.k.

Makolokolo kibao unakutana nayo mpaka unahisi tumefika mwisho wa Dunia. Lakini hakuna kipindi kizuri kama ukizima data, trust me utaona maisha yalivyo ya raha.
Chakufanya ni kumiliki computer yako bnafsi..simu itumie kwa mawasiliano then computer kwa ajili ya mambo ya kuhabarika kama huko,inasaidia sana kutokukuchanganya na utakua na uhakika notification yeyote inayotokea kwenye simu yako itakua ni ya ujumbe wa msg au mtu kapiga au jambo la muhimu.

lakini saivi kutumia simu kwenye kila kitu unaskia ki kengele triiing kuangalia kumbe ni Mtu kapost JF jinsi ya kupika mandazi..una slide pembeni unatulia..mara tena triiing unashika simu kuangalia ni Playstore inadai update,unaslide pembeni unatulia Mara tena Triiing kuangalia ni simu chaji 15%...

Shida yote ya nini...nunua smart/simu ya kawaida na PC yako ukiwa kazini una deal na kazi..ukirudi home una deal na habari,kama kazi yyako inakuhitaji kutumia NET muda wote basi nunua COMPUTER ya ofisini.,.UMEMALIZA.
 
nilikwa offline kam miez mi2 ivi maisha ni mazur san aisee mkuu yupo sahii na siku iz nachaji cm ofisn tu nikifka nyumbn ikiisha bas natumia cm ndg napata muda wa kuwa na mtoto wang nalala mapema kuchaj cm mpk kesho yake ofcn
 
Nimecheka sana, eti mtu kapost jinsi ya kupika maandazi.
Chakufanya ni kumiliki computer yako bnafsi..simu itumie kwa mawasiliano then computer kwa ajili ya mambo ya kuhabarika kama huko,inasaidia sana kutokukuchanganya na utakua na uhakika notification yeyote inayotokea kwenye simu yako itakua ni ya ujumbe wa msg au mtu kapiga au jambo la muhimu.

lakini saivi kutumia simu kwenye kila kitu unaskia ki kengele triiing kuangalia kumbe ni Mtu kapost JF jinsi ya kupika mandazi..una slide pembeni unatulia..mara tena triiing unashika simu kuangalia ni Playstore inadai update,unaslide pembeni unatulia Mara tena Triiing kuangalia ni simu chaji 15%...

Shida yote ya nini...nunua smart/simu ya kawaida na PC yako ukiwa kazini una deal na kazi..ukirudi home una deal na habari,kama kazi yyako inakuhitaji kutumia NET muda wote basi nunua COMPUTER ya ofisini.,.UMEMALIZA.
 
Ikiwa na chaji, unaweza kuongeleshwa na wife unajibu mmhh, mhh na huelewi unachoulizwa. Au mkiwa na jamaa wote mnasmart inaweza kupita nusu SAA no stori kila mtu bize.
nilikwa offline kam miez mi2 ivi maisha ni mazur san aisee mkuu yupo sahii na siku iz nachaji cm ofisn tu nikifka nyumbn ikiisha bas natumia cm ndg napata muda wa kuwa na mtoto wang nalala mapema kuchaj cm mpk kesho yake ofcn
 
Chakufanya ni kumiliki computer yako bnafsi..simu itumie kwa mawasiliano then computer kwa ajili ya mambo ya kuhabarika kama huko,inasaidia sana kutokukuchanganya na utakua na uhakika notification yeyote inayotokea kwenye simu yako itakua ni ya ujumbe wa msg au mtu kapiga au jambo la muhimu.
lakini saivi kutumia simu kwenye kila kitu unaskia ki kengele triiing kuangalia kumbe ni Mtu kapost JF jinsi ya kupika mandazi..una slide pembeni unatulia..mara tena triiing unashika simu kuangalia ni Playstore inadai update,unaslide pembeni unatulia Mara tena Triiing kuangalia ni simu chaji 15%...
Shida yote ya nini...nunua smart/simu ya kawaida na PC yako ukiwa kazini una deal na kazi..ukirudi home una deal na habari,kama kazi yyako inakuhitaji kutumia NET muda wote basi nunua COMPUTER ya ofisini.,.UMEMALIZA.
Mambo yangu yote nayafanya kwenye simu. Nortification ziseti ziingie zile muhimu tuu.
Mfano msg call. Private za wasap.....kwangu zinatosha.

Hizi app za nortification za mpekuzi blog...millard.....sijui si nani.....achana nazo.

Itawale simu usijiwekee barrier itakuwa umeshindwa kuitawala
 
Chakufanya ni kumiliki computer yako bnafsi..simu itumie kwa mawasiliano then computer kwa ajili ya mambo ya kuhabarika kama huko,inasaidia sana kutokukuchanganya na utakua na uhakika notification yeyote inayotokea kwenye simu yako itakua ni ya ujumbe wa msg au mtu kapiga au jambo la muhimu.
lakini saivi kutumia simu kwenye kila kitu unaskia ki kengele triiing kuangalia kumbe ni Mtu kapost JF jinsi ya kupika mandazi..una slide pembeni unatulia..mara tena triiing unashika simu kuangalia ni Playstore inadai update,unaslide pembeni unatulia Mara tena Triiing kuangalia ni simu chaji 15%...
Shida yote ya nini...nunua smart/simu ya kawaida na PC yako ukiwa kazini una deal na kazi..ukirudi home una deal na habari,kama kazi yyako inakuhitaji kutumia NET muda wote basi nunua COMPUTER ya ofisini.,.UMEMALIZA.
Mambo yangu yote nayafanya kwenye simu. Nortification ziseti ziingie zile muhimu tuu.
Mfano msg call. Private za wasap.....kwangu zinatosha.

Hizi app za nortification za mpekuzi blog...millard.....sijui si nani.....achana nazo.

Itawale simu usijiwekee barrier itakuwa umeshindwa kuitawala
 
Kwa sisi mabachelor smartphone ni muhimu na bando. Mfano Mimi siwezi kutoka kwenda kupiga umbea na majirani hivyo baada ya kazi zangu, biblia na maombi muda unaobaki wote natumia kwenye internet hasa jamii forum, instagram na whatsap
 
Maisha bila kua online hasa miaka hii ni kurudi zama za ujima..hua napoteza furaha hata nikipotea online ndani ya lisaa mana ndio sehemu pekee inayokua update na maisha tuliyonayo katika jamii mbalimbali za ulimwengu.
 
Lakini inakupunguzia ukribu na jamii inayokuzunguka, hasa mtaani kwako.
Maisha bila kua online hasa miaka hii ni kurudi zama za ujima..hua napoteza furaha hata nikipotea online ndani ya lisaa mana ndio sehemu pekee inayokua update na maisha tuliyonayo katika jamii mbalimbali za ulimwengu.
 
Kitu nilichojifunza, ni kutojaribu kucontrol kitu chochote kwenye maisha ndipo utajikuta unaenjoy sana. Vinavyohitajika uwa vinachukua center stage na visivyo hitajika automatically vina fall off.....
 
Binafsi, ni mtumiaji mzuri sana wa mitandao ya kijamii. Kwa muda mrefu toka 2012 nilipoanza kutumia sim zenye uwezo wa internet hata ya 2G tu, nimejikuta kwenye ulevi mkubwa.

Hayapiti masaa kadhaa bila kuchungulia chungulia ili kujua Dunia inaendaje. Lakini, kuna kipindi nilitingwa na shughuli fulani na ilinilazimu kutumia sim ndogo kwa muda wa wiki moja.

Ndani ya hiyo wiki, nilihisi kukosa mengi yanayoendelea Nchini na Duniani kwa ujumla. Nje ya hilo niliishi maisha ya raha mustarehe, huku kichwa kikiwa huru kabisa.

Unajua ukiwa offline, unapata wasaa wa kuwa na marafiki na mnapiga stori zinaeleweka. Vile vile unashiriki kwenye makundi katika michezo mbali mbli, Mimi ni draft tu. Wananchi wanapiga kazi kama kawaida tu na life linasonga.

Sasa ukiwasha data sasa!!, unaweza kuhisi tofauti. Huyu, "uchumi unaporomoka kwa kasi ya kimbunga Kenneth", mwingine anajibu "uchumi unapanda kwa kasi ya Catrina". Mara Manji aliuawa, wapinzani wamekamatwa, gwajima hivi, Wasiojulikana wajulikana, magufuli aongezwe muda wa kuongoza, korosho zimehujumiwa, CAG na spika wanamgogoro, Masele kaitwa kule, waziri ajivue, Biashara zimekufa, Biashara zimeimarika, Mabeberu yamesanda kwa Anko, kuna mkuu katenguliwa uteuzi n.k.

Hata Mange na wafuasi wake walipowasha data waliona maandamano yanatekelezeka, lakini walipozima data na kuingia mtaani walikuta watu wapo na hamsini zao.

Makolokolo kibao unakutana nayo mpaka unahisi tumefika mwisho wa Dunia. Lakini hakuna kipindi kizuri kama ukizima data, trust me utaona maisha yalivyo ya raha.
Online haiepukiki kinacho hitajika ni self control na discipline.....kuna vitu muhimu kwenye mitandao kwenye maisha ya kila siku
 
Back
Top Bottom