Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Katika hali isyokuwa ya kawaida kabisa kwa zaidi ya wiki tatu sasa Pwani ya Mkoa wa Dar es Salaam hasa Baharini imekuwa si sehemu salama tena kwani kumekuwa kukionekana sana Maiti zikielea mara...
15 Reactions
227 Replies
28K Views
Habari wakuu, Kuna maiti zimeokotwa kando ya reli dar es salaam. Bado haijajulikana maiti hizo zimetokea wapi. Hata hivyo sijajua kama Polisi wameshazungumzia hilo swala. Ni vizuri Bunge liunde...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu, Katika Msitu wa Chamazi shamba la Muhimbili eneo lilipo Kata ya Chamazi mtaa wa Dovya leo mnamo saa tatu asubuhi imeokotwa miili 3 ambayo imeanza kaharibuka karibu na tank la maji la...
10 Reactions
54 Replies
12K Views
Kasumba hii inaathiri sana uwezo wa watu wetu wa kufikiri kwa kina, hasa katika bara letu la Afrika. Akili za Waafrika wengi zimekuwa kama sifongo zinazofyonza taarifa bila kuchuja wala kutafakari...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
MAITI tatu zimeokotwa kwenye fukwe mbalimbali za Zanzibar katika siku tatu zilizopita zikiwa zimeharibika vibaya, kuwa na majeraha ya kukatwa na kitu chenye makali zikiwa zimefungwa kwenye viroba...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wavuvi na wafanyabiashara katika masoko na minada ya samaki ya Kunduchi, Ununio na Feri jijini Dar es salaam wanaishi kwa hofu baada ya kuwepo kwa taarifa za kuopolewa miili 15 ya watu baharini...
2 Reactions
90 Replies
11K Views
CHANGAMOTO KUU ZINAZOWAKABILI VIJANA NA MABINTI WA KIZAZI HIKI NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Utazifahamu changamoto kuu zilizombele yako. Utajua chanzo au vyanzo...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Hata mimi naungana na bwana Musk, binafsi inaenda miaka 2 sasa nimeshasahau kitu inaitwa redio, runinga kutizama ni mara moja moja sana, tena siyo taarifa ya habari, natazama vipindi vingine kama...
1 Reactions
9 Replies
602 Views
Hivi ni kwanini jinsia hii ya kike inajiweka mbali sana na mambo yanayoumiza akili ? Mfano hata fani mbalimbali zenye matumizi makubwa ya akili kuna asilimia ndogo sana ya wanawake katika maeneo...
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Sote au wengi tunajua kwamba kuna mfumo unatumika kuficha maneno ambayo ni matusi mara nyingi kwa kugeuza herufi zote au baadhi ya herufi za tusi hilo kuwa nyota. Mfano mzuri ni kwenye subtitles...
0 Reactions
4 Replies
783 Views
Hivi kweli Taifa hili litajengwa kwa wananchi kuwasikiliza watu kama akina Gerald Hando, Zembwela, Kitenge, Baba levo, Diva, Akina Dauda, Lwambano seriously? Ule weledi wa tasnia habari umeenda...
16 Reactions
84 Replies
3K Views
Mimi nawashangaa sana wanaume wenzangu ambao wanapata hela kwa tabu unabeba zege,unachimba msingi,unabeba tofali,unakuwa saidia fundi halafu ukipata hela unajinyima hata kula mlo mmoja ili...
2 Reactions
3 Replies
357 Views
Ukiwa kwenye jamiii ya kiafrika Then , ukawa unajua kuongea na kuandika English nzuri sana , automatically unaonekana wewe ni msomi na unaakili sana kuliko wengine , mbali zaidi unaweza...
0 Reactions
2 Replies
303 Views
Hizi hapa ndiyo sifa kuu za wanaomuunga mkono Freeman mbowe. machawa wanaotegemea kula na kuendeleza harakati zao kwa mgongo wa mbowe (posho za harakati) Wanachama wenye maono madogo yaliyobebwa...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Asee sio poa , nipo kiwanja Nimelewa sio poa , Sasa nawaza haka ka Vits na drive vipi mpka ghetto? Kigamboni Njia yenyewe ya huku mbezi beach Kwa Zena
0 Reactions
13 Replies
578 Views
Pata kujua kuhusu zao la kiungo cha kukumaga katika bara la Zanzibar (Unguja) Kisiwa cha Unguja kinajihusisha na kilimo cha viungo hali maarufu kama (spices)ambapo kimefanyika kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Hapa ushauri unahitajika maana nimeshauri mpaka nimechoka. Kuna binti kaja kuniomba ushauri kuna biashara anatamani kufungua ila wifi yake yaani mke wa kaka yake anatamani kufanya naye...
3 Reactions
15 Replies
763 Views
Wana jamii nadhani mko poa. Leo kuna nataka kusema maneno machache sana yenye faida kubwa sana. Ndugu zangu kama tunatafuta furaha za kweli hapa duniani ebu tujaribu kusaidia wasio jiweza kwa...
21 Reactions
24 Replies
2K Views
Mwezi septemba maka jana Umoja wa wanafunzi wa jumuiya ya Afrika mashariki walikuwa na mkutano mkuu katika chuo cha Nelson Mandela Institute of Science and technology ambapo uchaguzi ulifanyika...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi nchi kama Uingereza, Marekani and the rest of the western world, bidhaa zao wanauza wapi? Kwanini nauliza hivyo: Hapa tanzania sioni kitu chochote MADE IN UK, USA, SWEDEN NORWAY DENMARK ETC...
4 Reactions
77 Replies
7K Views
Back
Top Bottom