Filamu za bongo movie zimekosa mvuto kabisa hii ni kutokana na kutawaliwa na watu wanaoona kipaji ndo kila kitu.
In fact kipaji bila maarifa ni kazi bure, Huwezi kuwa na idea za kuteka maskio na...
Heshima kwenu wadau wa jukwaa hili,
Najitokeza kuulizia wimbo wa zamani kidogo jina lake limenitoka ila nakumbuka baadhi ya mistari yake ilikuwa 'samahani mama usiitoe mimba yangu naomba uinusuru...
MY BOSS MY LOVE [emoji3589] NO:01
MTUNZI....... RITHA STORIES
WHATSAPP.........0763836152
Kwa majina natwa Lilian Adrian jina la tatu mliache nitawatajia siku nyingine
Mimi ni Binti wa miaka...
Nimechek series nyingi sana za mablack America ila mpaka sasa sijakutana na series kali kama hii kuanzia stori mpaka wahusika wake ni balaa.
Itafute kama hujaichek
Ambwene Mwasongwe anafanya kazi nzuri za nyimbo za gospel.
Uimbaji wake unakonga moyo wangu natumahi pia kundi kubwa la watu kama mimi huvutiwi na uimbaji wake.
Ombi langu
Ni nyimbo gani za...
Hii ni list ya movies ambazo watu wenye uelewa fulani ndio wanavutiwa nazo zaidi
1. SHERLOCK HOLMES
2. INFERNO
3. INCEPTION
4. TENET
5. THE EXAM
6. THE BIG SHORT
7. INTERSTELLAR
8. THE...
Tazama video hii ukaone kadada kenyewe. Aisee nimekaelewa kinoma noma. Kwa sababu ndio aina ya mademu ninao tokaga nao. Unaposikia Likud kaenda sijui Lindi, Mtwara, wherever kutafuta mademu...
Habarini wakuu!
Nina App yangu nahitaji kuitangaza hivyo wale ambao wameshatumia ma influencer wa tz, nilikua naomba mnisanue bei zao nijipange. sihitaji wabashiriji🤣. Naanza mimi kusanua "Mr...
Vipi ndugu zangu.
Vitu vitamu kama hivi hapo chini ni vigumu sana kuvipata kwa msanii mungine yoyote zaidi ya marehem Banza Stone:
1. Kisa cha mpemba.
2. Mwenye kwenu kwaheri.
3. Mtu pesa.
4...
Kundi la waruka sarakasi kutoka Tanzania liitwalo 'Hakuna Matata Acrobats' wanaendelea kufuata nyayo za 'Ramadhan Brothers', hii ni baada ya kutua kwa kishindo katika hatua inayofuata kwa kupewa...
Hili jambo nimekuwa nikijiuliza muda mrefu. Ila kabla ya kwenda mbele, tupate maana ya 'Mfalme wa Muziki' fulani.
Tuanze na mifano hii, ili kuweka mambo kwenye muktadha. James Brown ni Mfalme wa...
SUPPORT YA MSANII
SOGGY DOGGY ANTER KWA WASANII WA MUZIKI WA BONGO FLEVA MKOANI MWANZA..
____________________
✍🏾 Bila shaka jina la Msanii Anselm Tryphone Ngaiza a.k.a soggy doggy anter sio...
THE BOYS drama ya kimarekani inayohusisha masuperheros au (Mashujaa kwa waswahili). Drama hii inaelezea Superheroes wenye ushawishi kwa umma waliyejiwekeza katika (siasa) wanasiasa, na wakati...
NARINGA- ZUCHU
Mh-mmh
Nani Roney?
Ah, Roney (he-hey, yoh Tron)
Sing, mmh, eeh
Let sing, come on, eeh
Sioni aibu
Kwa kila linalo nifika
Maana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguki, mimi...
Kuna mnigeria mmoja kwenye mtandaoni anaposti kuzikejeli movie za kihindi wenyewe badala ya kukubali makosa wanamshsmbulia na kutukana Waafrika.
Angalia kama hii hapa chini full utoto, sound na...