Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wana JF, msaada Kwa anayeifahamu jina la movie Fulani ya zamani sana, watu wanaliwa na kuvamiwa na simba nyumbani kwao. Siikumbuki jina coz niliona miaka ya nyuma sana. Kwa anayeikumbuka au...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Nilivyomuona mwaka juzi au mwaka jana mwanzoni na nilivyoona alivyo sasa si tu nimesikitika bali nimechozika pia. Naomba Bendi zote za Dansi nchini Tanzania ziandae Tamasha kisha Kiingilio chote...
1 Reactions
9 Replies
709 Views
Mwaka huu umeweka alama nyingine muhimu kwa muziki wa Afrika baada ya Tyla kushinda tuzo ya "Best Afrobeats" kupitia wimbo wake maarufu "Water." Tyla, wa Afrika Kusini ameshinda tuzo hiyo katika...
1 Reactions
2 Replies
815 Views
Hapa naangalia Wasafi TV. Naona wanaplay nyimbo ya HAKUNAGA ya Suma Lee ambaye kwa sasa ni mfia dini alisilimu muda mrefu sana. Imekuaje wamepiga hii nyimbo wakati mwenyewe alizuia hili suala...
6 Reactions
7 Replies
688 Views
Disclaimer: hii ni hadithi ya kufikirika, ukikutana na typing errors skip hata mimi ni binadamu nakosea Tiririka....... SEHEMU YA KWANZA (01) NGRIIIIIIIII, NGRIIIIIIIIIIIIIII...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Steven Charles Kanumba is my name, i was born in a Christian family of 2 girls and i happen to be the last born and the only boy to Mr. & Mrs. Charles Meshark Kanumba. I was given birth on...
1 Reactions
80 Replies
28K Views
Kama wewe ni shabiki wa dj mack jumakhan Murphy Nk basi kuna chimbo lenu lakujipakulia mizigo kama yote...Mchawi bando lako tu.Ingia google tafuta SIZONI COM humo nikujichotea tu. Pia kuna huduma...
2 Reactions
4 Replies
827 Views
Habarini za mchana, Ijumaa nilipokea mwaliko wa kuhudhuria MAHAFALI ya kidato Cha NNE huku nyanda za juu, kiukweli nimekumbuka mengi sana. 1.KWAYA "Haikuwa rahisi kuifikia siku hii yenye...
0 Reactions
1 Replies
348 Views
Katika tamasha la kipekee la DSTV Delicious Festival, wasanii nyota Diamond Platnumz, Chley, na Khalil walipiga show ya kali, wakitumbuiza pamoja na Jason Derulo. Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa...
0 Reactions
1 Replies
510 Views
“STARTER the EP” Officially Out now Worldwide, Stream on All Music Streaming Platforms, Enjoy!!! Bongo Flava Ndio Fahari Yetu, “STARTER The Ep” iko Hewani Kete ziko saba chaguo ni lako. Enjoy As...
4 Reactions
13 Replies
896 Views
WHEN YOU DON'T KNOW WHERE YOUR FROM YOU CAN'T KNOW WHERE YOUR GOING "PRODUCER & DJ BONNIE LUV.... (PRODUCER & DJ MAWINGU STUDIO).. Historia ya " Mawingu studio" na Band ya Mawingu " Mawingu Band"...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii nyimbo kwa wanao ifahamu ilikuwa nyimbo ya maana sana. Anasema Bado ni kiza na marashi ya dunia hayasikii anajihisi yupo kuzimu anaishangaa sayali hii, iliyojawa wanasiasa, Vicheche na...
1 Reactions
2 Replies
431 Views
Hadithi fupi! SITOSAHAU ALICHONIFANYA DAKTARI WA SARATANI YA MATITI SEHEMU YA KWANZA Muwasho na maumivu vilizidi katika maziwa yangu siku hadi siku, nilivumilia nikajikuta nashindwa ndipo nikaomba...
16 Reactions
456 Replies
132K Views
MFUMO WA UUZAJI WA ALBUM AMA KAZI ZA WASANII.. Wasanii wa Tanzania wana sababu nyingi sana za kwanini hawatoi album. Baadhi ya sababu kama kufa kwa mfumo wa uuzaji wa album uliokuwa ukifanywa na...
0 Reactions
0 Replies
450 Views
MAMA NDIO CHANZO CHA WIMBO WANGU ( KIBANDA CHA SIMU )BY SOGGY DOGGY Soggy Doggy amesema chanzo cha yeye kuandika wimbo huo ni baada ya mama yake kupenda kufungia simu yao ya mezani ili kuogopa...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
SOGGY DOGGY ANTER. Jamvi la Ukwaju wa Kitambo lilibahatika kupiga stori na Msanii mkongwe katika Game ya Bongo fleva soggy doggy. Tulibahatika kuzungumza mengi ila kwa faida ya wafuatiliaji wa...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Nguli Wa Muziki Ya Bongoflava Professor Jay Amekutana Na Alikiba Hii Ikiashiria Kuwa Kolabo Yao Iko Jikoni . Wiki Jana Nilipata Nafasi Ya Kuongea Na Professor Jay Akaniambia Kuna Kazi Wanawachilia...
0 Reactions
1 Replies
433 Views
Malalamiko dhidi ya Miley Cyrus yanadai kwamba wimbo 'Flowers' usingekuwepo bila wimbo wa 'When I was Your Man' wa Bruno Mars na kutaka uzalishaji na usambazaji wa wimbo huo Aidha, kesi hii...
0 Reactions
1 Replies
728 Views
Una Safari ya takriban saa 10, ni Msanii gani utamsikiliza mwanzo hadi mwisho wa Safari? Mimi nitamskiliza Nicki Minaj non stop. Am her biggest fan
6 Reactions
97 Replies
4K Views
Skin head, dead head Everybody gone bad Situation, aggravation Everybody, allegation In the suit, on the news Everybody, dog food Bang bang, shock dead Everybody's gone mad All I wanna say is...
2 Reactions
4 Replies
503 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…