KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika
Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...
Wadau especially wapenzi wa stand up comedies pamoja na Black Americans comedy movies; nani mkali kati ya hawa manguli wa kutuvunja mbavu kwa vicheko ;
Eddie Murphy
Martin Laurence
Chris Turker...
31/1/2014 pale pale nyumbani lounge, 3 anniversary and re open party ya kufa mtu na burudani Kali kutoka machozi band ikiongozwa na commando jide mwenyewe, njoo upate bahati ya kuniona live pale...
Hamjambo waku ndugu zangu? Wakati wa utoto wetu hasa tuliokulia au kuzaliwa vijijini tulikutana na burudani ya bangobango ambapo kwa sauti ya kuvutia walikonga nyonyo zetu. Nimewahi kusikiliza...
mambo vip wadau wa jf kama kichwa cha thread kinavyojieleza nahitaji msaada wapi nitaipata nyimbo ya mirro inayoitwa nibembeleze my boo,mashairi yake inasema nibembeleze kwenye beat ya mazuu jina...
Sikiliza huu wimbo wa Dr Remmy, kuna meseji ya ukweli kabisa kwa maisha ya sa hivi, unakuta mtu umekaa muda mrefu mbali na nyumbani halafu wanataka urudi utarudi vipi mikono tupu.
IMEKUWA nikiandika uchambuzi wa maoni juu ya waimbaji wa muziki wa Injili, ambapo pamoja na kazi nzuri wanayoifanya ya kufikisha ujumbe wa Neno la Mungu kwa njia ya kuburudisha, baadhi yao...
Come and join the FUN!! ↓
→UHURU WALK & TREASURE HUNT 2014.
Febuary 2nd 7A.M 6.5KM
Giving orphans a chance for better tomorrow!!
Take a step forward & contribute from Tsh 5,000/-...
Natafuta chuo chochote nchini Kenya au south Africa kinachofundisha acting,directing and script writing kwa bei nafuu,nataka nilete mabadiliko kwenye tasnia ya filamu nchini...shukrani
Kwa wale wapenzi wa Hip Pop jina hili sio la kuuliza na wale wanaofuatilia kwa ukaribu zaidi watakuwa wanakumbuka mazingira yaliyozunguka mauti yake.
Zimekuwepo fununu nyingi na uzushi lakini...
JUSTIN Bieber has been arrested in Miami Beach for drag racing and driving under the influence, police told local media. NBC Miami said Bieber was in a rented Lamborghini but...
[Ukombozi Africa Urafiki Jazz Band]
Mwenyekitiiiiiii,
Wa nchi tano zilizo mstari wa mbeleeee,
Tunakuomba, Uzidishe mapambano ya kusini,
Mwa Afrika,
Kwani maadui , wa Afrikaaaaaaaaaa...