Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Oiii wadau ivi ile show ya leo ya WCB pale Mwembe Yanga ilikuaje walijaza au ndo doroo
0 Reactions
3 Replies
2K Views
From Football Pitch to YouTube Peak: Cristiano Ronaldo and MrBeast Discuss Fame, Football, and the Future of Content Introduction What happens when a football legend sits down with the king of...
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Mkuu wa Mkoa alikuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi huu. Sisi wananchi wa Jiji la Mwanza tumefurahia sana uzinduzi huu ila ninaomba tuletewe pia nyama pori katika festival hii ya nyama choma. ===...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Hbar ndugu zang! Zifuatazo ni ngoma kali za kale ninazokubali. 1.indemoni 2.kasongo yeye 3.Aarlus mabele . kwa wanaojua tuendeleze idadi,ahsante
1 Reactions
0 Replies
623 Views
Msanii wa muziki kutoka nchini Tanzania, Dizasta Vina ni mmoja wa viongozi katika orodha ya wafalme wa Hip-Hop wa kizazi cha leo. Muziki wake umebeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii...
10 Reactions
10 Replies
7K Views
Shyne "Jamaa ananipa 50k wakati huo ametoka kuspend 500k kwa mpenzi wake" Shyne ambae alikuwa mmoja wa entourage ya diddy wakati mtu mmoja alipopigwa risasi hadi kufa kwenye party, alikataa...
3 Reactions
0 Replies
422 Views
[emoji725]CHOMBEZO: NILIPOFUNGWA GEREZA LA WANAWAKE KIMAKOSA •••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••• SEHEMU YA 01 "Na kesi imehairishwa mpaka tarehe ishirini na...
5 Reactions
58 Replies
27K Views
Rip Bruce Lee, Bolo Yeung, Jimmy Kelly, Angela Mao,robert Wall Kien Shih, John Saxon, Ahna Gapri, Sammon Kam-Bo Hung, Geoffrey Weeks.
0 Reactions
1 Replies
417 Views
Wadau, mie mwenzenu ni mpenzi sana wa movie lkn nikienda ku-burn nakuta movie zote zimetafsiriwa kiswahili Sasa mimi maskio yangu ni mazito sisikii vizur kwahiyo yule mkalimani huwa simsikii...
1 Reactions
10 Replies
749 Views
Huyu Tayla ni binti mdogo lakini ni hatari. Hii nyimbo aliyo toa sasa kaziba midomo ya watu. Mwaacheni abebe tuzo zote nyie endeleeni kuruka hizo amapiano tuzo mtazisikia kwenye bomba...
1 Reactions
9 Replies
715 Views
https://www.youtube.com/watch?v=TD2UdkY-nYI Planet Rizq - Official Movie Trailer In the distant future, humanity's history is forever changed when several colossal pyramid-shaped ships arrive...
0 Reactions
1 Replies
489 Views
Ni mimi wako UWESUTANZANIA, Leo wacha niwape Fursa vijana wenye vipaji na hawajapata mtu wa kuwashika mkono. Ndugu yangu kama wewe ni msanii chipukizi na unahangaika siku zote, una kipaji cha...
0 Reactions
8 Replies
669 Views
NAWAKILISHA - PROFESSOR JAY ( VERSE) BY PROFESOR JAY Swadata..!! Toka utotoni sauti inawika/ nami napiga goti kwa watu nakubarika/ Najenga imani kwa mashabiki wengi ma dingi/ vinapo chekechea na...
3 Reactions
2 Replies
634 Views
Hawa watu walitingisha sana enzi zao. Kati ya hawa mastar waliochuana sana enzi zao, wewe unamkubali nani zaidi weka vigezo 1. Number of awards Won, eg Oscra, BET, Grammy Etc 2. Ngoma zilizoshika...
12 Reactions
56 Replies
7K Views
Wadau wa series na single movie kwa upande wangu Mimi ni mpenzi wa historical series na historical single movies .. Kama kuna unazozifaham za mwaka 2023-2024 unaweza list ili ambao hatuja watch...
2 Reactions
6 Replies
793 Views
Ni movie ipi ambayo uliichukua ukaingalia mara ya kwanza hukuielewa ukarudia mara ya pili ndo ukaelewa, au pengine hata mara ya pili pia hukuelewa ikabidi ulizie kwa watu waliyo iona wakueleweshe...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA KWANZA (01) man Middo +255 655 969 973 Ilikua 2012 nilipata kumaliza kidato cha 4. Nilijijua kuwa nitafeli tu kutokana na sababu ambazo ndugu na mama...
6 Reactions
60 Replies
30K Views
SIMULIZI: SABABU NI KIFO CHAKO BABA! (Kisa cha kweli cha kusisimua) SEHEMU YA KWANZA (01) MTUNZI: Man Middo Tz +255 655 969 973 Hakika kila kukicha shukrani kwa Muumba kwa kukufikisha siku...
2 Reactions
29 Replies
7K Views
Yeah...!! Aaah Aah Aah Dar es salaam stand Up Again.. Kg song Chuma. Aaah Aaah Aaah Verse.. 1. ( chid benz). Najulikana kama Ugali msingi na Secondari/ Boma primary mita chache na usawa wa...
1 Reactions
1 Replies
509 Views
RIWAYA; BAHARIA NA;BAHATI MWAMBA SIMU; 0758573660 VITABU VILIVYOPITA. • MPANGO WA CONGO • DAKIKA ZA MWISHO • URITHI WA GAIDI • OPERESHENI JICHO LA PAKA • SAUTI YA MTUTU • MBWA...
14 Reactions
220 Replies
68K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…