Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wale wapenzi wa vibonzo hebu tujaribu kuwatathmini hawa jamaa katika hii tathnia. Pia ongeza na wengine unaowafahamu 1. Abdul Kingo. Huyu jamaa ana katuni zake kama vile songombingo za...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
nimeusaka sana huu wimbo baomba msaada tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa series this time lets talk kuhusu hii series ya empire na zile nyimbo zinazopatikana kwenye ile series.. Uwanja ni wetu... Team.. #cookie ,, #hakeeem #jamal lets gooooooooo
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Hivi wasanii wetu wanawazaga nini mbona hata ukitafakari hupati jibu la maana ya wanachoimba? Au ndo vina... Yaani katika akili ya kawaida mtu huwezi fikiria kabisa hayo maneno au ndio ukishapiga...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni tarehe 23 mwez huu 2015 Uzinduz wa kampen pale jangwani Kijana nasibu pamoja na wasani kibao watakuwepo Huku upande wa pili Prof j,wagos wa kaya,sugu,nature ,msaga sumu na bongo movie wachache...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ni miziki ya ala tupu..ni ya miaka mingi iliyopita...kasha lake limeandikwa sea of tranquility...nimejaribu you tube...uni lakini sijafanikiwa nimezunguka maduka ya muziki jijini dar..wala hawana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba nijue wadau, Hivi huyu Salama Jabir je anajua kuimba? Au walitumia kigezo gani cha kuwa judge kwenye BSS? Hivi anamwanaume huyu, au ana mtoto? Maana amenikata kwenye usahili wa BSS
1 Reactions
40 Replies
7K Views
SYLI CLASSIC: Nuh Mziwanda - Hadithi (Download New Audio)
0 Reactions
0 Replies
5K Views
SYLI CLASSIC: Christian Bella & Malaika Band - Amerudi (Download New Audio)
0 Reactions
0 Replies
14K Views
Upi ni wimbo Bora zaidi wa Bongoflavour (mapenzi), leo nataka tutafute upi ni wimbo bora zaidi wa Bongo Flavour katika upande wa hizi nyimbo za mapenzi maana zipo nyingi kushinda nyimbo zenye...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Rais yupo live azam 2 na wasanii kwenye final ya mashindano ya Kinondoni Talent Search 2015!! Kipaji chako Ajira yako!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
kwa maana katika album zake zote haipo na kwenye you tube wadau mbali mbali wanaponda na wengine kusifia? https://www.youtube.com/watch?v=GoFdw0owIO8
0 Reactions
3 Replies
2K Views
#Over
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Huu wimbo umepigwa vizuri sana na lyrics zake even better "Ojuelegba" Its legendury beats Yea yea wizzy baba o Na wa oh Dami loun – Answer me o…wizzy Ni ojuelegba – in Ojuelegba They know my...
11 Reactions
68 Replies
13K Views
Huyu dada alikua mtangazaji mzuri sana Clouds Fm kipindi cha Leo Tena. Aliacha mda mrefu bila sababu za msingi sana. Namkubali sana huyu dada namtakia kila la heri huko
0 Reactions
28 Replies
10K Views
Guyz kati ya redio nazo zikubali hapa bongo basi EBONY FM ndo ya kwanza ipo Iringa hii radio inasikika nyanda za juu kusini kote na sasa imefika Dar es salaam a.k.a kumwaaaani (in eddo voice)...
1 Reactions
59 Replies
20K Views
Habari Ninaomba mwenye wimbo wa kuitangaza Tanzania aniwekee hapa ili niweze kuu download. Haswa kuna ambao niliona kwenye video wanamuziki wa kike wamevaa nguo zenye bendera ya Tanzania. Wimbo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naam waswahili husema ukubwa dawa basi ndo hivyo maneno yanatimia kwani msanii mkongwe wa muziki wa bongoflavour hapa nchini king kiba sasa ameamua kuja ni kitu kingne kizuri kwa mashabiki wake...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana katika wasanii wa kiharakati waliopata kuvutia hadhira kubwa kwa nyimbo zao za kimapinduzi, nyimbo zinazokemea maovu kwenye jamii,, sidhani kama kuna wasiowafahamu hawa vijana.... mfano...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…