Huu wimbo umepigwa vizuri sana na lyrics zake even better
"Ojuelegba"
Its legendury beats
Yea yea
wizzy baba o
Na wa oh
Dami loun Answer me
o wizzy
Ni ojuelegba in Ojuelegba
They know my...
Huyu dada alikua mtangazaji mzuri sana Clouds Fm kipindi cha Leo Tena.
Aliacha mda mrefu bila sababu za msingi sana.
Namkubali sana huyu dada namtakia kila la heri huko
Guyz kati ya redio nazo zikubali hapa bongo basi EBONY FM ndo ya kwanza ipo Iringa hii radio inasikika nyanda za juu kusini kote na sasa imefika Dar es salaam a.k.a kumwaaaani (in eddo voice)...
Habari
Ninaomba mwenye wimbo wa kuitangaza Tanzania aniwekee hapa ili niweze kuu download. Haswa kuna ambao niliona kwenye video wanamuziki wa kike wamevaa nguo zenye bendera ya Tanzania.
Wimbo wa...
Naam waswahili husema ukubwa dawa basi ndo hivyo maneno yanatimia kwani msanii mkongwe wa muziki wa bongoflavour hapa nchini king kiba sasa ameamua kuja ni kitu kingne kizuri kwa mashabiki wake...
Waungwana katika wasanii wa kiharakati waliopata kuvutia hadhira kubwa kwa nyimbo zao za kimapinduzi, nyimbo zinazokemea maovu kwenye jamii,, sidhani kama kuna wasiowafahamu hawa vijana.... mfano...
Pengine kile kizazi cha dhahabu cha muziki wetu wa bongo kinaweza kisijuridie kamwe, enzi hizo maproducer walikuwa wachache ila wakali mno, ukija kwa wasanii kila mtu ana flavour yake, ukimkuta...
Imepita miaka 16 since Andre Young almaarufu Dr. Dre alirelease album yake ya Chronic.Sasa baada ya miaka kadhaa ya kusubiri bila matumain album yake ya mwisho aliyoipa jina la Detox, Instead...
Fid Q na Joh Makini Ni miongoni mwa wasanii bora kupata kutokea bongo kwenye Hip hop, kila mmoja anangoma kali nyingi. Ila binafsi ukiniambia nichague wimbo mmoja tu wa Fid Q ambao niliwahi...
Tumesikia na kuona kupitia vyombo vya habari kile alichofanya msanii Shilole a.k.a Shishi baby kwenye onyesha alilofanya nchini Ubelgiji. Baada ya taarifa na picha za tukio Hilo kusambaa BASATA...
Pongezi ziende kwa kingKiba kwa kuendelea kutoboa kimataifa "kavu kavu" bila collabo.
Wimbo huo umeingia kwenye Top ten Raido kubwa zaidi nchini Nigeria "The Beat 99.9
Source: Bongo5,
Kituo cha kimataifa MTV base kesho kitazindua video mpya ya moja Kati ya wasanii mashachari jux ft Joh Makini jina la nimbo ni looking for you.
Ni vizuri mziki wetu kufika international level
Kwa wale wapenzi wa vibonzo hebu tujaribu kuwatathmini hawa jamaa katika hii tathnia. Pia ongeza na wengine unaowafahamu 1. Abdul Kingo. Huyu jamaa ana katuni zake kama vile songombingo za...