Ninaandika nikiwa na masikitiko makubwa kuona maumbile ya wanawake yanatumika kwenye mambo ya kijinga. Miaka ya hivi karibuni tasnia ya uchekeshaji (comedy) imezidi kuchanja mbuga na kufanya...
HADITHI:LUKUNGU(UPANDE WA PILI WA SARAFU)
MTUNZI: RAJONCE JOHN
MWANDISHI: RAJONCE JOHN
WHAT'SAPP:0673049321
UMRI:MIAKA 18+
SEHEMU YA KWANZA.
Usiku mmoja wenye upepo zaidi ya siku nyingine za wiki...
Series zao wanaingiza sana mambo ya WOKE, kutaka kulazimisha mwanamke aonekane anaweza kazi maalum za wanaume, kuingiza sana mambo ya upinde, kuchochea ubaguzi, n.k.
Naombeni series za nchi...
THE LAST VOYAGE OF THE DEMETER(2023)
Chimbuko la hadithi:
Ashukuriwe Mungu kwa kutupatia zawadi ya sanaa hapa duniani. Sanaa ni burudani ya muhimu mno katika maisha yetu ya kila siku. Hebu...
Kukuwa kwa tasnia ya bongo move sio jambo lakumtegemea mtu au taasisi ni kutumiya akili tuu.
Sasa hivi watu wanaotumika kweny uigizaji ni wale waliokwisha kuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii...
Hii tamthilia inafanya vizuri kwa sasa Ina trend sana YouTube visa vyake ni usaliti,maisha ya ndoa,unafki w marafiki,ulevi,uwongo..
Kwa sasa tuko episode ya 70.karibun tujadili tunaoifuatilia.
Tunaendelea tulipoishia ...
Baada ya Crew inayoitwa disabled jay Rapers Group kuvunjika baada ya mtu mfupi ( stacha cool) kuzinguana na wezake "jb" mkuu wa majaji na dj snoks a.k.a zungu la unga...
KUTOKA DISABLED JAY RAPERS GROUP HADI KUJIITA " MABAGA FRESH"..
Katika ulimwengu ambao mara nyingi huhusisha mafanikio na ukamilifu wa kimwili na kiakili, ni muhimu kufahamu kuwa kuna watu wenye...
Teaser Trailer ya series ya House of the Dragon imetoka. Ni Prequel ya Game of thrones. Inaanza tarehe 21 August 2022.
Hii series mpya toka HBO ikielezea kiundani chimbuko na historia ya House...
Tumalize huu ubishi ulioenea mtandaoni. Je, kati ya malkia wa bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby na msanii chipukizi (underground) anayeheshimika Juma Jux nani mkali zaidi?
Kwa wale...
Wakuu inakuaje, nina amini kila mtu yuko vizuri kiafya au sio wakuu.
Sasa leo nawaletea mada muhimu, na yenye kueleweka vizuri kwa kila mtu atakaesoma thread hii. Mada hii inamhusu rapper maarufu...
Tafadhali naomba ukiwa kama mwana Wenge BCBG yake JB Mpiana uniambie ni kwanini Nyimbo hizi Nne zifuatazo haziishi Utamu na wala hazichuji miaka nenda rudi?
1. Champion Kapangala ( Sebene )
2...
Mnaikubuka hii movie ya Ajay davigan inaitwa Vijay path aise Kuna song umo demu alikua anawaza baada ya mshikaji kumualika kunywa chai aise vya kale zahabu zile alaaa zinavyopigwa Yan madogo wa...
Comedy clips huku background kuna vionjo li mtu linasema "i don't want peace, I want problems", au wimbo unaimba "nyash na nyash" au nyingine mtu anacheka mfufulizo kama mwehu huwa zimekaa...
Hii series nimeipendea confor ya Mr President. ila pia malezi yawatoto
mwenye nayo naomba usiku huu huuu
Tyler Perry's The Oval - Season 3 hii link sio rafiki
Ulikua ukipigwa kwenye maredio siku ya ukimwi duniani. Sana sana kwenye Rtd sasa TBC.
Maneno ya wimbo'
Jamani ee
Sikilizeni niwaeleze haya, janga la ukimwi halina dawa wala kinga,.
HOUSE OF GUCCI
Ni mwaka 1978 katika jiji la Milan nchini Italia, nchi ya fasheni na mitindo mbalimbali ya mavazi.
Palikuwepo familia kubwa,
Familia ya Gucci.
Ilikuwa familia tajiri,yenye nguvu...
Movie Kali sana 🔥🔥🔥
Ungekua wewe Peter unachagua upande Gani Jini au Wazazi 😉kigongo kikali sana 👇🏾👇🏾
https://www.instagram.com/reel/DIt-YfGtmar/?igsh=cG9lYmtnMjRmcGZl
Wana jamvi kama inavyosomeka hapo juu nina shida ya huu wimbo wa Kassim Mganga, aliuimbaga kitambo kidogo na nimejaribu kuutafuta katika sites mbali mbali lkn nimeukosa, aliyekuwa nao naomba...