Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Sikilizia mkwaju namba 11
0 Reactions
1 Replies
524 Views
  • Poll Poll
Sura ya Kwanza: Dar es Salaam ilikuwa ni jiji liliojaa uhai. Kila kona ilikuwa na harufu ya bahari, kelele za magari, na kelele za biashara za mtaa. Mtaa wa Majengo ulikuwa ni jiji ndogo...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Naona Mzungu kaamua kutupoza na machungu, kaamua kuweka option ya 1up, wahini mapema kabla hajatoa hii option....odds zipo mlima sasa tushindwe wenyewe.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama channel za movie ni chache Sana, Cinema zetu yenyewe kuna kipindi ilikua nzuri walikua wanaweka single movie nzuri kuanzia asubuhi Hadi usiku, usiku ndio walikua wanaweka tamthilia za...
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Masanja mmoja ni sawa na Kitenge, Hando na Zembwela. Masanja kaziba pengo mpaka mwanya na kashawafunika, ze comedy show yote kahamishia pale unacheka mwanzo mwisho. Big up Majizo kwa kuwa...
13 Reactions
87 Replies
5K Views
Unaweza kusikiliza muziki ukiwa offline backup Pia unaweza kudownload miziki aina yote ukija wewe ni kusikiliza tu bila bando Na pia kwa wanafunzi wa chuo unaweza kulipia elfu 3500 tu Kila...
3 Reactions
15 Replies
857 Views
Kamwene wakuu. Wale wadau wa simulizi na riwaya napenda niwakaribishe kufuatilia riwaya hii ya kusisimua inayoitwa 'Mkono wa Chuma', mtunzi wake akiwa ni ALEX KILEO. Karibuni wote... the Legend☆
17 Reactions
933 Replies
215K Views
Niaje wakuu??? Isivyo bahati mimi naenjoy zaidi mziki kwa mafungu kwaio Albums na EPs ndio mambo yangu, kibongo bongo ii ndio listi yangu ya Albums na EPs ninazopenda kuskiliza; 1. MBUZI -...
0 Reactions
0 Replies
255 Views
Hii ni EP yangu Mimi Itakiamo AKA Dj Tamil nimeifanya kwa Artificial intelligence. Walioimba kwenye hizi nyimbo nitawapa majina ya kufikirika. List ya nyimbo 1. Kila Saa Dj Tamil ft Reygirl...
2 Reactions
18 Replies
793 Views
SHAMBA LA HELA Imetungwa na Godlove Kabati. WhatsApp 0763204351. SEHEMU YA KWANZA; FEROOUZ HAIR CUTS Bukoba, Kagera Jumamosi, saa kumi jioni. KITENDO cha kukatika kwa umeme kiliuzika...
3 Reactions
90 Replies
14K Views
https://www.tiktok.com/@lyndermatiko3/video/7120911507046534406
1 Reactions
20 Replies
580 Views
Q CHIEF NI CHORUS KILLER WA TAIFA. kupiga debe kwangu ilikuwa poa, Fani katika maisha ikaja kuniokoa Kwa radhi ya wazazi kijijini nikaoa Mke nilimshusha hadhi kuwa na machangudoa Mzimuni Family...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamii forum Leo naomba niwaletee kisa cha ukweli kilichotokea miaka kama 9-10 iliyopita wakati wa kuhangaika na Maisha, naomba nikiri mimi sio mtu wa kupost sana mara Nyingi ni...
38 Reactions
201 Replies
34K Views
Kuna nyimbo ukiplay in an intimate setting zina amplify the mood mara dufu. And one of the artists ambae anazipatia sana ni the weeknd. Na one of the best song ni: The Weeknd - Wicked Games
7 Reactions
86 Replies
17K Views
SEHEMU YA KWANZA MTUNZI: The Last Joker Mwanzo wake haukuwa na kelele nyingi. Saa tano za mchana, jua lilipokua limeyumba pembezoni mwa msitu wa Mtende, kulikuwa na ukimya wa ajabu. Kimya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Salam wakuu, Habbari za asubuhi n the starting weekend? Kama ewe ni mpenzi wa black American movies perhaps you might've come across movies which were directed by this marvelous guys Tyler Perry...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Nimejikuta hapa .. nikamkumbuka. Yuko Wapi now Lodi Music?
1 Reactions
0 Replies
297 Views
Binafsi namkubali sana Gregory Isaacs na lile kundi la UB40
7 Reactions
108 Replies
7K Views
Hizi hapa baadhi ya Movie ambazo hutakiwi kuangalia na watoto, au kama upo na mwenza wako unataka movie Colour Of Night The Dreamers Intimacy Nymphomaniac In The Realm Of The Senses Kiss And...
12 Reactions
39 Replies
59K Views
Ni miaka sasa natafuta huu wimbo sijui bali huu mlio ndio nautambua naomba sana anayejua Ninaamini mtanisaidia. Ni kumbukumb yangu kubwa sana.
0 Reactions
5 Replies
565 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…