Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama sio kosa kidini kutumia maneno yasiyo rasmi, ninatamani mziki wa kileo/bongo flavor itumike kueneza neno la Mungu. Nimesikiliza wimbo wa PITA HUKU wa Dulla Makabila wimbo umeyasema yale...
0 Reactions
3 Replies
414 Views
Hii ngoma ni kali kila sekta wakuu. Huyu dogo ni next big thing.
7 Reactions
30 Replies
4K Views
Nadhani ifikie mahali kila msanii anapotaka kuweka maneno au Vionjo vinavyo husu Imani za Kidini ndani ya Wimbo au video yake. Msanii huyo azingatie Dini yake kama ni Mkristo afanye kulingana na...
12 Reactions
61 Replies
5K Views
Wale wapenzi wa rhumba hasa wa fally Ipupa ,album yake yenye nyimbo zaidi 30 inapatikana kwenye disc 3 Baada ya kuisikiliza hakuna ata wimbo wa kuskip Hizi hapa ni nyimbo zinazopatikana kwenye...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na rafiki zangu walevi wakakomaa twende kijiwe kimoja cha pombe. Kilikuwa ni kigrocery kidogo lakini kimechangamka hivi, japokuwa pombe nishaacha lakini...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Jipatie simulizi za kijasusi 《The last chapter Ukurasa wa mwisho》《Mwamba》《Scandal kashfa》《Ambola》BY Patrick c.k kwa mfumo wa soft copy PDF mwanzo mpaka mwisho kwa bei nafuu TSH 2000 WhatsApp...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Marekani na South Korea zinaendelea kuiteka dunia kwenye soko la filamu. Kwa sasa sijaona nchi ya Asia ya kuisumbua Korea ya Kusini kwenye sekta hii. January, mwaka huu 2022 Wakorea wameachia...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Baada ya mafanikio makubwa ya commando kwenye chati za nchi tofauti duniani na kutumiwa kwenye video zinazohusiaha watu maarufu akiwemo DJ Khaked, remix ya commando kwa jina la mapopo imetoka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
- Humo hakuna hoja (maudhui) ya maana, ni kuhimiza kuinama na kuonyesha namna unavyochuma tembele na mchicha tu basi! - Juzi kati hapa niliona video moja ya singeli na hatua ya muziki wao...
31 Reactions
175 Replies
14K Views
Wana JF nawasalimu. Naomba mwenye mapendekezo ya series Kali za kuangalia Netflix anijuze tuenjoy wote. Kumbuka NETFLIX tu kama ipo
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nyimbo Ni nzur sana kwa dini zote mtu yoyote anaweza kuitumiaa katik mapito anayo yapitia hata hasiye na dini pia inamfaha San. Nyimbo inampa mungu SHUKRANI kwa yote aliyokufanyia kwa kipind...
1 Reactions
5 Replies
933 Views
MTUNZI : AKIDA S. RAMBAO Contact : 0658328596 email: akidasiri@gmail.com SEHEMU 1 (A) : JINAMIZI LA SIKITIKO. Kijiji cha kishanje, Makaburini, Bukoba-Kagera. Dodoso: Ni maumivu yanayo ukoroga...
4 Reactions
206 Replies
29K Views
Habari ya Asubuhi Wakuu, Naona Week end ndio imeshaanza. Tupia Song lolote la reggae unalolikubali. Mimi nimeanza na hilo.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Ni lazima kuvaa nguo mpya wakati wa sikukuu? Ni swali linalotawala nyakati za sikukuu za mwisho wa mwaka, ambapo kwa wengine bila kuvaa nguo mpya, mwaka unakuwa haujaisha. Japo...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Wakuu yaani hizi ni lazima niwe nazo kwa ajiki ya kunifariji safari hasa nikiwa naambaa na kona za Iyovi yaani nasikia raha kabisa 1.Werasin-Blandine 2.Tshala Muana-Tshibola 3.Felle gola-100...
4 Reactions
33 Replies
8K Views
Wadau, Mimi ni mpenzi wa movies ambazo mtu inakuwa ngumu kuzielewa wakati unaziangalia, movie itaniboa iwapo nitatabiri mwisho wake mwanzoni mwa movie, najiita napenda movie NGUMU. Kwa mara ya...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Muigizaji Henry Cavill ameondolewa kama Superman na mabosi wapya wa Studio za DC, chini ya miezi miwili baada ya kutangaza kurudi kwenye nafasi hiyo. "Nimekuwa na mkutano na James Gunn na Peter...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Kuna nyimbo nakumbuka mistari yake na kisa chake, sauti ya Saigon pia IPO kwenye hiyo ngoma,kisa cha nyimbo ni washikaji maisha magumu hawana pesa za mavazi wala maradhi...
1 Reactions
0 Replies
535 Views
Kwenye hii clip kuna wimbo unapigwa hapo anayefahamu msanii na jina la wimbo atusaidie tafadhali.
0 Reactions
9 Replies
972 Views
Kwanza kabisa nisamehewe kwa mtu yeyote nitakaemkwaza kwa picha hii.huu ni wimbo wa injili uliojulikana kwa jina la NAKULILIA JEHOVAH.nimekua nikiutazama wimbo huu bila kuuchoka toka enzi za miaka...
2 Reactions
29 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…