Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Wakuu yaani hizi ni lazima niwe nazo kwa ajiki ya kunifariji safari hasa nikiwa naambaa na kona za Iyovi yaani nasikia raha kabisa
1.Werasin-Blandine
2.Tshala Muana-Tshibola
3.Felle gola-100 kilos
4.Madilu system - frere edward
5.Fally Ipupa -canne sucre
6.Mbilia belle - Nadina
7.Super Mazembe - Shauri yako
8.JB Mpiana - Mohamed kanyiansi
9.Nyiboma -Double Double
10. Franco-Massu
Dah! Yaani bila hizo nyimbo safari hakuna unaweza kujazia na nyingine zipo kibao
1.Werasin-Blandine
2.Tshala Muana-Tshibola
3.Felle gola-100 kilos
4.Madilu system - frere edward
5.Fally Ipupa -canne sucre
6.Mbilia belle - Nadina
7.Super Mazembe - Shauri yako
8.JB Mpiana - Mohamed kanyiansi
9.Nyiboma -Double Double
10. Franco-Massu
Dah! Yaani bila hizo nyimbo safari hakuna unaweza kujazia na nyingine zipo kibao