Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau nilikuwa Moshi Jumamosi ya week iliyopita; niliingia night club moja kama sikosei inaitwa Mlandege nili-enjoy sana watu wanavyoimba karaoke; nilitamani kujua na hapa Dar kama kuna hizo bar...
9 Reactions
80 Replies
16K Views
Night of scary: USIKU WA KUTISHA hi stoly nimetunga kwa umalidadi na ufasaha kabisa ni uzuni kidogo Ukuapo maijila ya saa 7 usiku mkoa shinyanga kijijin cha tambukareli kulikua na familia moja ya...
0 Reactions
8 Replies
716 Views
Kwa wapenzi wa hiphop hivi mmepata na nafasi ya kusikiliza hii nyimbo mpya dizasta vina hatia V aisee kuna ubunifu mkubwa umetumika sana humo hata akifa leo nyimbo zake zitasikilzwa milele jamaa...
5 Reactions
54 Replies
6K Views
KWANZA UNIT CREW - MSAFIRI.. Ubeti1 Hii Ndo Picha Kabla Pazia la Udongo Ndani Futi sita/ Vita, Kila Watu 9 Kati ya 10 Dhidi ya Hali duni/ Naelekea Nchi ya Ughaibuni/ Nimezunguukwa na Dhoruba/...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ni kwamba natafuta sinema ambazo zinahuzunisha kiasi cha kumtoa mtu machozi. Nawasilisha.
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Anachotaka Christine ni kupanda cheo hapa benki toka kuwa afisa mikopo mpaka kuwa meneja wa tawi. Anaamini akikaa hapo, wazazi matajiri wa 'boyfriend' wake watamheshimu na kumwona anafaa kuolewa...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Watu wengine hatupendi kuangalia horror movie sio tu inatisha pekee Bali tunataka iwe ndani yake Ina mvuto (idea nzuri) na unique ndo dhumuni kubwa ya Huu Uzi mfano mzuri ni "Final destination"...
5 Reactions
116 Replies
17K Views
Pengine atakua kaambiwa na majirani wa kijiji hichi.. akijisema maneno hayo justin Orenda,”sawa kijana wangu ukiwa na uhitaji wowote usi sisite kuniambia Justin. Sawa mzee wangu una una itwa...
0 Reactions
2 Replies
426 Views
Kuna wimbo mpya umetoka. Si mwingine ni kijana wetu, Roma Mkatoliki. Wimbo unaitwa "Nipeni Maua Yangu" humo ndani kuna madini ya kutosha. Roma Mkatoliki kama kawaida yake katoa ya moyoni...
48 Reactions
371 Replies
44K Views
Muziki wa Tanzania una wanamuziki wenye uwezo mkubwa lakini muziki wetu hauendelei mbele kwenye mataifa mengine kwa sabau hakuna ushirikiano baina ya wasanii. Naamini wasanii wa kishirikiana...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Utafanya nini kama umefiwa, umeupeleka mwili wa mpendwa wako kuhifadhiwa alafu unapigiwa simu kwamba mwili hauonekani? Umepotea? Haujulikani ulipo? Tafuta popcorn, ambaa na kisa hiki.. Baada ya...
11 Reactions
59 Replies
4K Views
Hii ngoma Rayvany ametuonyesha unafiki upo mwingi sana kwenye mapenzi ya kisasa. [emoji444]Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi,na kukupamba kwenye simu.[emoji23][emoji445] Wanaume huwa tunakamatwa...
2 Reactions
9 Replies
737 Views
K-Lyinn Noorah Aha CHORUS Kama ni penzi labda utapata ukimwacha (niambie nani huyo?) Maybe chochote utapa unachokitaka (ndio nachotaka hicho) Nasema penzi labda utapa ukimwacha (niambie basi nani...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Ngoma imeachiwa jana iko katika platforms isikilize baadhi ya mistari nimeikubali anakwambia Boss hana neno ila wapambe wana nguvu Moyo una amani karume and my soul is free Nawapoteza fasta kama...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
P diddy alikuwa ana marafiki wengi sana ambao alikuwa nao au alionekana nao kwenye party ambazo alikuwa akiziandaa kwenye nyumba zake za kifahari. Wengine alikuwa nao karibu sana mfano Jay Z...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
MWANGWI wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar, uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya...
5 Reactions
3 Replies
3K Views
| Origin and Workflow Electro Dance Music ni muziki unaochakatwa Kidigitali ukitegemea mfumo wa kimekanika "Mechanical". Muziki huu utayarishwa kwa kutumia Digital Audio Workstation, MIDI, Power...
8 Reactions
91 Replies
9K Views
Wakuu hivi karibuni natarajia 'kumuozesha dada', naombeni mnisaidie mikwaju ya kisasa itayoleta vibe la kutosha ukumbini niiwasilishe kwa Dj. Ahsante!
1 Reactions
9 Replies
928 Views
Heshima kwenu wakuu. Samahani wakuu, naomba msaada namna ya kuipata hadithi au mwandishi wa hadithi fulani iliyopata kuchapishwa hapa jukwaani. Hadithi hii nilipata kusoma hapa jukwaani hapo...
0 Reactions
2 Replies
501 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…