Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Watanzania ni watu wazarendo sana kwa vitu vilivyo vya kwao! Lakini inafikia mahali wawasilishaji wanaviwasiliaha kimakosa!
Uwanja pekee ambao kwa sasa umefifia na uko karibu kufa ni katika tathnia ya filamu za kitanzania (maigizo), walibaki wakina mama kuwa watazamaji na mashabiki wao! Lakini kwa sasa na wao wamehamia kwenye series za kikorea!
Huwezi amini kuwa makosa kwenye tathnia hii yalikuwepo hata kipindi cha uigizaji wa Steven Kanumba! Japo kwa asilimia ndogo sana!
Twende kwenye kiini
Tufahamishe uongo wowote uliokutana nao kwenye bongo movie ambao ulikukata stimu za kuendelea kuzifuatilia!
Kwa kuanzia, mtu kuflash back na kukumbuka matukio yaliyofanyika ambapo yeye hakuwepo! Mtu anakumbuka, halafu kwenye tukio hayupo!
Uwanja pekee ambao kwa sasa umefifia na uko karibu kufa ni katika tathnia ya filamu za kitanzania (maigizo), walibaki wakina mama kuwa watazamaji na mashabiki wao! Lakini kwa sasa na wao wamehamia kwenye series za kikorea!
Huwezi amini kuwa makosa kwenye tathnia hii yalikuwepo hata kipindi cha uigizaji wa Steven Kanumba! Japo kwa asilimia ndogo sana!
Twende kwenye kiini
Tufahamishe uongo wowote uliokutana nao kwenye bongo movie ambao ulikukata stimu za kuendelea kuzifuatilia!
Kwa kuanzia, mtu kuflash back na kukumbuka matukio yaliyofanyika ambapo yeye hakuwepo! Mtu anakumbuka, halafu kwenye tukio hayupo!