Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwanamziki kutoka kenya anayefanya vizurianayejulikana kama Jackson Makini kwa jina maarafu kama Prezzo hivi karibu ametinga Tanzania na kukutana na mashemeji zake kwa ajili ya kuandaa ndoa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
ZILE tambo, mbwembwe na majigambo ya Miss Tanzania 2006/07, aliye pia msanii wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu, zimefika mwisho kufuatia kunyang'anywa samani za ofisi yake ya Endless Fame Film...
0 Reactions
40 Replies
8K Views
Kupitia kwa muhariri wa magazeti ya makorokocho, inasemekana eti ALI RAMTULLAH aliandaliwa keki na marafiki wake wa karibu kusherehekea sukukuu yake ya kuzaliwa . keki hiyo ilitengenezwa kwa umbo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Crazy In Love couple Beyonce & Jay-Z will perform at the Grammy Awards on Sunday
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Lile penzi la mkali kutoka Kenya Prezzo na mdada kutoka uchagani Chagga Barbie limeota mbawa na hatimaye kilichofata ni matusi kuwekeana mambo hadharani bila hata aibu, Mdada ameamua kumwaga...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Lupita Nyong'o, staa wa Hollywood ambaye mizizi yake ni mkenya siku ya Alhamisi aliweza kushinda tuzo la best supporting actess katika critics choice awards. Staa huyu wa filamu ya 12 Years A...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Staa wa zamani Emma Thomson hakupata nafasi za kuchakuliwa kuwania tuzo lolote lakini hilo halijamzuia yeye kuonekana mara kadhaa katika awards zinazoendelea. Ameonekana akiwa mlevi na mcheshi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
When your parents are the highest paid celebrity couple in the world, you come to expect a bit more than chocolate cake and a few balloons for your birthday. Yes, even if you're 1. Blue Ivy...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
katika gemu la muziki wa Bongo Fleva, Mwasiti Almas amefunguka ‘exclusive’ kuhusiana na maisha yake kwa jumla ambapo kwenye masuala ya uhusiano amebainisha kuwa alimjua mwanaume mara baada ya...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kim Kardashian & Kanye West pays a private visit to Paris to check out Palace Of Versailles and other Nearby Hotel ahead of their marriage plans. The bride and the groom considers Palace Of...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Khloe Kardashian may be dealing with drama in her personal life, but she continues to put on a brave face and that’s exactly what she did when she shared an adorable shot with Scott Disick on...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
MSANII filamu na muziki wa kizazi kipya wa Tanzania Baby Joseph Madaha maarufu kwa jina la (Baby Madaha) amesema kwamba msanii mwenzake wa muziki nchini,Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond...
1 Reactions
30 Replies
11K Views
Kuna ule msemo wa zamani unaosema kuwa chema chajiuza, kibaya chajitembeza, lakini huu msemo hautafanya kazi hapa. Kulingana na model huyu kutoka Ghana, anendelea kueneza kuwa yeye ndiye mwenye...
0 Reactions
33 Replies
29K Views
Tangu Diamond na Wema Sepetu kurudiana kwa mara nyingine sasa imekuwa gumzo la mtaa lisilotaka kuisha hivi karibuni. Kila anaewashabikia mastaa hawa kurudiana amekuwa na mtindo wake wa kuonyesha...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
MARTINI KADINDA AUKANA UJUMBE UNAODAIWA ALITUMIWA NA JACK CLIFF BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA SOMA ALICHOKISEMA Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda anayedaiwa kuwa meneja wa zamani wa...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Bongo Voice: HII NDO HISTORIA YA MAISHA YA MTANGAZAJI MILLARD AYO, KAMA UIKUA HUIJUI KARIBU KUISOMA
0 Reactions
15 Replies
26K Views
Na laani mtindo huu watu wanao fahamika fahamika hapa bongo kubuni vitu ambavyo wakati mwingine ni vya kijinga kwa lengo la kujiongezea umaarufu. Uvumi ya kwamba clouds fm imewatimua vijana...
4 Reactions
28 Replies
9K Views
Bila shaka msanii huyu anayetamba sahizi kwa nyimbo yake mpya ya My Number One remix ni staa wa kulengwa kwa manati. Diamond Platinumz kwa sasa yupo na anazidi kuendelea kuwepo kila uchao. Staa...
0 Reactions
31 Replies
19K Views
Back
Top Bottom