Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Tofauti na akina Johari,Ray,marehemu Kanumba (RIP), Cathy,Mainda na wengine kibao ambao waliingia kwenye fani ya uigizaji kwa mapenzi yao, hali hiyo ipo tofauti kwa baadhi ya mastaa ambao wapo...
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Maria Boschi waziri wa mabadiliko ya katiba nchini Italia alipata fedhea ya mwaka alipopigwa picha ya namna hii wakati wa kusaini mkataba..
0 Reactions
7 Replies
4K Views
jamani hizi ni tetesi ..kuna madon yapo tayari kutumia mipesa yao kibao ili haka katoto kasiende kuwa chakura ya askari magereza Kuna wakili toka sauzi anakuja kuweka ishu sawa....
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Ndugu zangu, Jana amemezikwa Steven Kanumba , kipenzi cha wengi. Mauti ya Steven Kanumba yanatukumbusha wanadamu ukweli huu; kuwa maisha yetu hapa duniani ni mafupi sana. Hivyo, lililo...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Jason Derulo Jason Derulo does up to 400 push-ups a day. Jason Derulo does up to 400 push-ups a day and admits dancing during his world tour is also hard work. The 24-year-old star, who...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kanye West wants Mary J. Blige to perform her 1997 hit 'Everything' at his wedding to Kim Kardashian Mary J. Blige Kanye West wants Mary J. Blige to sing at his wedding to Kim Kardashian...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Masanja Mkandamizaji ambae anatajwa kuwa miongoni mwa wachekeshaji wachache wa Tanzania waliofanikiwa kimaisha, amesema ‘Mungu wangu ni mzuri, asante Mungu kwa kunipendelea… usafiri huu kwangu...
2 Reactions
48 Replies
24K Views
Ni msanii ambaye anaweza kuwa ametajwa zaidi kwenye tuzo za KTMA 2014 lakini Diamond Platnumz hajaliacha Baraza la Sanaa Tanzania likae kwa amani kwa uonevu ilioufanya kwa Jux, Madee na Snura...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Mahaba nipige makonde...Mahaba nikaushe damu...Diamond akiwa amevaa Wigi la Wema....Mapenzi matamu sana.
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Audio: Jay Z amtaja Lupita Nyong'o kwenye verse yake "Im on my Lupita Nyong'o..." Lupita Nyong’o, muigizaji wa kike toka Kenya anaendelea kung’aa na kuwa mada ya kuzungumziwa hata na watu...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
ILE gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 alilokuwa akitanua nalo staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ liko sokoni linapigwa bei. Diamond akiwa ndani ya Toyota Land Cruiser V8...
0 Reactions
5 Replies
57K Views
P. Diddy wants to be known as Puff Daddy again and claims he has "always" used his original stage moniker. P. Diddy P. Diddy wants to be known as Puff Daddy again. The rap mogul - real...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Vyombo vyake vya habari kwa miaka 20 vimetoa wana habaro ambao karibia wote leo ni watu wenye hali nzuri kimaisha Kuna wengine wameshatangulia mbele za haki RIP lakini wameondoka kwa heshima...
3 Reactions
52 Replies
7K Views
Inasemekana ule mjengo wa kijitonyama aliokuwa akiishi super star wema sepetu ilikuwa siyo ya kupangisha kama inavyojulikana, Bali mjengo ule ni mali halali ya bwana clement , ambayo alinunua kwa...
1 Reactions
31 Replies
11K Views
Nimevutiwa sana na uvaaji wa msanii huyu Pharrell sio mbaya wanaJF tukatoka mara moja moja kwa stail hii!!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Duh wewe jux sio mtu mzuri, ndio nini kutupa presha kipindi kile?, ukajifanya wewe ndo Jackie ukaingia kwenye account ya instagram ya jack na kujifanya jack ukapost utumbo unaoujua wewe, au ndo...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Naye mrembo na videoqueen mashuhuri tanzania AGNESS GERALD “masogange” naye hivi majuzi ameonesha picha za tattoo alizojichora na picha nyingine akichorwa kupitia mtandao huohuo wa instagram...
0 Reactions
61 Replies
38K Views
Haya ndio aliyoshushiwa na team husika. Mie sikujua kama na kipozeo cha mheshimiwa ni mtoto wa mjini...! mengine tumuachie mheshimiwa mwenyewe.
0 Reactions
102 Replies
15K Views
Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto kwani wote...
0 Reactions
38 Replies
11K Views
Hakika Diamond si Mwenzetu Sasa hivi Baada ya Video yake ya Number 1 Remix kufanya vizuri na kufikia kukamata namba moja katika kituo kikubwa cha Tv Trace sasa amekuwa kama lulu, Unaambiwa...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…