Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wastara anahojiwa na FNL right now
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Prizenta wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa na Radio Times FM , Hadija Shaibu ' Dida' ameonesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua magari mengine mawili kwa mpigo . Dida...
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Kumekuwa Na Mijadala Mingi Sana Inayojaribu Kuzungumzia Maisha Binafsi Ya Freeman A. Mbowe, Kubwa Ni Kuwa Amekuwa Akidaiwa Kumsaliti Mke Wake Aliyezaa Naye{lilian} Na Ikajengwa Hoja Kuwa Kama...
7 Reactions
96 Replies
26K Views
napenda kufahamu historia japo kwa ufupi tu ya huyu mtangazaji wa tbc taifa anaendesha kipindi cha ujumbe na mziki. Ni moja kati watangazaji ninaowakubali sana kwa uwezo wa kuwasilisha na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wenye maduka ya nguo na saluni za kike wamewalalamikia Wolper na Lulu kwamba ni wakopaji maarufu na wasiopenda kulipa madeni yao. Nasikia hata matengenezo ya kucha wanakopa. Hizi habari zimenza...
3 Reactions
124 Replies
16K Views
TASNIA ya filamu Bongo imepata pigo tena baada ya msanii aliyekuwa akichipukia kwa kasi, Patrick August ‘Bryton' kufariki dunia kwa ajali mbaya ya pikipiki.Akizungumza na paparazi wetu...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
TAARIFA KATIKA PICHA : AFYA YA BAHATI BUKUKU YAZIDI KUIMARIKA NA WALA HAJAVUNJIKA MGONGO Hali ya mwimbaji wa nyimbo za injili Bahati Bukuku inazidi kuimarika na kuendelea vizuri kama GK...
0 Reactions
25 Replies
20K Views
Huyu ni msanii wa kike maarufu tu, na jina lake lilianza kukua zamani kidogo na alishaandikwa sana kwenye magazeti kwa scandal za kutoka na wanaume tofauti, ni mfupi mwenye rangi ya kunga'aa na ni...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Leo nlikuwa nmeenda mapinga kutizama vipolti japo nitafute pakuweka mgongo ila kuna sehemu nimeonyeshwa kiwanja kina ekari zinakaribia 44 naambiwa na madalali kuwa ni mali ya Yule msani wa wasafi...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Juzi ijumaa Mpoto alinusurika kuporwa kiasi kikubwa cha pesa wakati akitoka bank ya CRDB Mbagala kwenda kigamboni kupitia kongowe Kwa mujibu wa maelezo yake nwenyewe alikuwa anaenda kununua nyumba...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
MISS Tanzania 2006 /07 Wema Sepetu amesema ugonjwa wa ngozi ulioshambulia sehemu ya shavu lake la kushoto umeharibu urembo wake na kumfanya ashindwe kutoka . Akizungumza kwa huzuni , Wema alisema...
1 Reactions
73 Replies
14K Views
Wakati bimkumbwa Wema Sepetu akijiaminisha kua ni mke mtarajiwa wa msanii Diamond platnum Platnum kafunguka na kusema hafikiriii kuoa, Mama ubaya tumbo jotroooo na pete yake ya ndoa aliyojivisha...
1 Reactions
69 Replies
11K Views
Hizi ni tetesi ambazo wadau wa sheria wamenikonyeza na mimi kuamua kuziweka hapa,haijulikani atarudisha jina la baba yake au ataweka la mchungaji mmoja maarufu, inasemekana jina hilo litaonekana...
0 Reactions
47 Replies
9K Views
Wazungu walimshangaa sana kwa muonekano wake wa kisupastaa na bei ya mbwa huyo ilivyo ghali ambapo inaaminika kwa bongo inaweza kutosha kununua verossa. Big up Dangote platinum...haters...
1 Reactions
107 Replies
19K Views
ANGEKUWA diamond pultnumz MPAKA BIBI YANGU WA MIAKA 89 ANGEJUA. MANINAA!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
PREZZO’S ex fiancee CHAGGA BARBIE claims the RAPPER has infected her with STD and reveals that he has not been using CONDOM since the first day he started having SEX BBA The Chase...
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Namjua kwa kiasi kidogo sana huyu binti lkn niwe muwazi kwamba ninaiona nyota ya Mtangazaji huyu wa Star TV iking'aa kwani anaonesha ana kipaji cha pekee, KILA HERI IVONA
2 Reactions
62 Replies
14K Views
Bee Anderson ndio mpenzi wa Hasheem na amejifungua baby boy wa Thabeet kama miezi miwili iliyopita lakini naona ishu haijawa published kibongo bongo
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Hivi ni sahihi kwa Adam Mchomvu kumwambia msanii kuwa "NYIMBO YAKO NI MBAYA SANA" mpaka msanii huyo kutoa chozi? Je, kulikuwa na maana gani kumwita kwenye KIPINDI?
0 Reactions
30 Replies
9K Views
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…