Acha kabisa ! Baada ya kuachana na aliyekuwa mchumba' ke , Malick Bandawe kisha kurudi kwao , Kigogo jijini Dar , staa grade one wa Bongo Movies , Rose Donatus Ndauka anadaiwa hivi sasa hakamatiki...
Nimebahatika kukutana na Komando Lady Jay Dee leo mchana na amejibu maswali kadha kuhusu Nyumbani Lounge na Binti Mchozi.
Machozi Band
Jide amesema "kwa sasa hakuna Nyumbani Lounge ila...
Mpaka sasa yamefanyika mengi katika muziki wa Tanzania, wafuatao kwa maoni yangu naona wanastahili kupata tuzo kutokana na mchango wao katika muziki ndani mwaka 2014 ambao kimuziki ndo kama...
Kwa mujibu wa MwanaFa akiwa kwenye kipindi Choice fm ni kuwa Davido alilipwa Dolla 40,000 kupiga show Fiesta.
Fa alihoji kwa nini waandaaji wasiwalipe dolla 10,000 wasanii wanne wa Bongo wapige...
Wanajamvi wasalam!
Wema sepetu akihojiwa kwenye kibinti cha Power jams cha East Africa Radio aliulizwa kuhusu picha iliyo onekana akipeana kiss na Aunt Ezekiel na kuhusishwa na Usagaji na Wengi...
Nilikuwa natazama Komedi ya kundi la Orijino Komedi. Naona katika orodha ya washiriki, yupo Joseph Shamba "Vengu" ambaye ni mwaka wa pili sasa hajaonekana hadharani.
Yuko wapi? Tuliambiwa...
Makavu Ya Leo: Masikini Akipata ------ Hulia Mbwata, bwana mdogo Diamond mtoto wa Tandale ambae wakati Wema Sepetu anakuwa miss yeye alikuwa anauza mitumba kule Tandale kapata pesa sasa naona...
Baada ya kuachana na mkewe, Halima Ally, staa wa Nyota ya Chipsi Mayai na Prodyuza wa Sharobaro Records, Raheem Rummy Nanji Bob Junior amenaswa live na mrembo anayejulikana kwa jina la Sabrina...
In the words of Chris Brown, he's the one Rihanna truly loves, not Drake.
That's because he said when they had issues, Rihanna had to date Drake to make him jealous.
Chris was on New York radio...
Oh, this is bad news for Lamar Odom who we thought stood a chance with Khloe Kardashian.
The latest between Khloe and French is that the two might get back together sooner than we expect because...
The new gist in town is that Limpopo master, Kcee just got himself a customised 2014 Cadilac Escalade. That's not all, the most stunning about it is that, it is gold plated...glittering! That's...
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amesema kuwa kwa sasa yupo bize na malezi ya mwanaye hivyo hana mpango wa kuwa na mwanaume yeyote hata awe pedeshee mwenye uwezo wa fedha kiasi gani kwani...
Naamini wengi wamesikia tangazo jipya la mgahawa wa Jaydee unaokwenda kwa jina jipya la MOG na kikolombwezo cha LIFE IS TOUGH na mwishowe anamalizia na YAHAYA UNAISHI WAPIII
Wenye kujua mafumbo...
Kwa kuwa ni wazi kuwa Dada Sitti Mtemvu atavuliwa taji kwa kudanganya umri na kuongoe kifaransa ili kukwepa maswali napendekeza Taji apewe yule mshindi wa tatu.
Nadhani yule ana sifa zote za...
Taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema kuwa msanii wa Bongo movie ameaga dunia.Ila bado habari hizi hazijawa na uhakika.
RIP mzee wetu.
============ Updates ==========
Habari zilizotufukia...
BAADA ya hivi karibuni kumchana laivu Mkurugenzi wa Mwami Foundation, raia wa Kongo, Mwami Rajabu, staa wa Bongo Movies , Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kumwangukia jamaa huyo na kumuomba...
WanaJF sasa ni dhahiri vita ya kummaliza Diamond kisanii ni kubwa sana na peke yake hataiweza kutokana na aina ya watu wanaoiendesha,mmeshuhudia jana kilichofanyika Fiesta.Binafsi sina tatizo na...
WAKATI nyota wa muziki wa Hip Hop , Rashid Makwiro ' Chid Benz ' akikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akiwa na madawa ya kulevya akiwa njiani kuelekea Mbeya, Rehema...