Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nilikuwa nikifuatilia vioja mbalimbali vinavyojitokeza na vinavyoendelea kujitokeza, nikagundua kuwa washiriki wa miss 2006 baadhi yao wanajihusisha na kujitangaza sana kwenye vyombo vya habari...
1 Reactions
79 Replies
36K Views
Ni yule producer matata sana kutoka mwanza alie andika ngoma inayopendwa na wengi na kumpa baracka da prince afanye yake,nazungumzia siachani nawe,Goodluck gozbert a.k.a lollipop ametoa kichupa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nay wa Mitego ni mtu wa maamuzi na mapenzi tofauti na wengine. Ndio maana ukiingia ndani kwake utakutana na sanamu isiyo ya kawaida – ni sanamu ya shetani! Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa...
0 Reactions
141 Replies
32K Views
Weekend iliyopita Escape One kulifanyika show iliyowakutanisha mastar wakubwa ndani na nje ya TZ kama Christian Bella, Ruby, Ali Kiba, Kassim Mganga, Ommy Dimpoz,Msami, na Alicious kutokaKenya...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
06. Ommy Dimpoz Dimpoz anamiliki Mark x yenye thamani ya zaidi ya milioni 30. 05 . Ney wa Mitego Ney wa mitego naye anamiliki gari aina ya Mark X yenye dhamani ya...
2 Reactions
134 Replies
55K Views
jamani K 4 REAL ndio katoka na masong makali ya MWANA na CHEKETUA na leo nilisikia CHANEL .O. wakizungumzia hizi songs na kuna tetesi zitapigwa katika stesheni za nje. so nawataka wasanii wengine...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
hivi davido alivyosema kuwa wanamziki wetu wamekua wakifanya cheating ili kujipatia tuzo mbalimbali za africa alimaanisha nini?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hii ni kauli ya Msanii na Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, ndugu Afande Sele (MB. Mtarajiwa). Afande ametoa kauli hiyo na kuongeza kwamba hatokuwa na budi kunyoa rasta na kubadili...
0 Reactions
55 Replies
8K Views
ELIZABETH Michael ‘Lulu' anayetesa katika filamu za Kibongo, yupo kwenye bifu zito na mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2012, Husna Maulid ambaye anadai amempora bwana'ke. Habari zinaeleza...
1 Reactions
140 Replies
78K Views
Habari wanaJF, Nipo nasikiliza Hot 96 radio ya Kenya namsikia DJ Mafuvu anagonga Bongo Hip Hop za hatari ndani ya kipindi cha Mistari, Je ndio DJ Mafuvu kala shavu kwa mzee Kenyatta!?
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Nimeamka leo nawakumbuka tu hawa jamaa, i had mad love kwao. Walikuwa na vipaji vya pekee na hatari, kizuri zaidi waliwakilisha napotokea. Mara ya mwisho niliwasikia kwenye 'Nenda' waliyofanya na...
5 Reactions
61 Replies
12K Views
Wa Michezo Hapa Nchini Tanzania Maulid Baraka Kitenge Kwa Kuwa Mbunifu Na Kuwa Na Vipaji Vingi. Kwa Sisi Wapenzi Wa Kipindi Cha Michezo Cha E FM 93.7 Habari Ya Mjini Cha Sports Headquarters Kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzanian artiste, Naseeb Abdul, aka Diamond Platnumz, is a popular artist in his home country. He holds eight Kilimanjaro awards. The singer recently did a hit with Nigerian music star...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
KATIKA hali ya kushangaza, muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alizua hofu ya aina yake baada ya kutinga fulana fupi iliyosababisha silaha yake aina ya bastola kuonekana na kuwafanya watu waliomzunguka...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwanamuziki wa kufokafoka wa Marekani, Kanye West ameibadilisha biblia inayotumiwa na Wakristo kwa kuweka jina lake badala ya Mungu. My take: Utajiri ukizidi ni shida ===================...
3 Reactions
113 Replies
31K Views
Hii Interview ilifanyika 2014. DX: A lot of people don’t like Tupac’s character in the Notorious movie. What are your thoughts on it? E.D.I. Mean: I feel like Anthony Mackie was put...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Leo tarehe 21 mwezi wa nne 2015 bwana Said Fella amesikika akihojiwa redioni kwamba wanakuja na utaratibu wa kusimamia mauzo ya muziki hapa nchini kwa kuanzisha kampuni ambayo itasimamia mauzo ya...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Baada ya kusimama kama sio kuporomoka kabisa kwa hii tasnia ya filam Tanzania.Msanii Wema Sepetu a.k.a ex-wa diamond amekuja kwa kasi baada ya kuanza ushiriki katika international movie huku...
2 Reactions
43 Replies
10K Views
Wakuu, Inafahamika kimataifa kuwa hakuna mwanamziki Jembe, anayekamua anayetesa kama King Kiba hapa Bongo. Je, kuna mwanamziki gani mwenye uwezo wa kutisha kama King Kiba? Hakuna bana
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…