Ni nadra sana kukutana na Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi maarufu kama K-Lynn, lakini kupitia Tuzo za Watu tulifanikiwa kupiga story mbili tatu. K-Lynn ameiambia Bongo5 kuwa maisha akiwa kama mama...
This is a love and hate type of sh*t. Wema Sepetu amekiri kuwa upande wa Alikiba lakini bado anazipenda nyimbo za mpenzi wake wa zamani, Diamond. Unakipata kizungumkuti cha kauli hiyo sio? Hivi...
Sielewi jamani ndoa ya boss wetu iliyofungwa kwa mbwe mbwe zote, ambayo ata hivyo kanisa walilofungia na Huyo mume wake mpaka kesho imebaki kuwa tamthilia ya Isidingo.
Mama ubaya vipi? Au bado...
Mtoto wa kike wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson aliyejifungua mwishoni mwa wiki iliyopita na kumpa jina la Cookie (keki ndogo lakini tamu) anaanza kung' aa kwenye vyombo vya...
Kundi maarufu la vichekesho nchini la Olijino Komedi sasa limeamua kuingia kwa nguvu katika biashara ya kilimo.
Wasanii hao wamekabidhiwa Matrekta saba aina ya Sonalika DI 50 RX na Kampuni ya...
Jamani nimepitiwa jana ndo naona beef la Designer wa Augustino na Q boy msafi aliyemtia doa Mondi Kwa skendo ya ku copy and paste Design za watu.
Nimegundua huyu dogo hana Sifa za kuwa designer...
MALKIA anayemiliki Kampuni ya Endless Fame Production , Wema Isaac Sepetu na Mshindi wa Big Brother Africa 2014 /15 , Idris Sultan ambao wamekuwa marafiki wakubwa katika siku za hivi karibuni...
MWANAMUZIKI DIAMOND ADAIWA KUWATELEKEZA WATOTO SHULE, AKWAMA KUWALIPIA ADA, NI WALE WALIOSHINDA KUCHEZA NGOLOLO NA KUAHIDI KUWASOMESHA:
KABANG! Staa anayevuna fedha nyingi kupitia kipaji chake...
We all know kwamba hawa jamaa wa secret societies huwa wanaitumia hollywood kuonyesha plans zao za future
kwa mfano 9/11 ilishaonyeshwa sana kwenye movies years ago hata movie kama tommorow land...
Beautiful Onyinye wa Bongo , Wema Sepetu amefunguka kuwa , anajua siku zote yeye hana bahati ya kuwa na marafiki kwa kuwa hata akiwa nao mwishowe kunatokea mgogoro na kuachana huku kila mmoja...
Super star kiwango anayetikisa East Africa kwa sasa , zarinah hassan aka bossy lady, amefunguka kuhusu scandal ya usagaji iliyomtafuna miezi michache iliyopita, akizungumza kupitia kipindi cha...
KUFUATIA kuibuka kwa habari ya msanii nguli , Blandina Chagula ' Johari ' kubeba mimba na kujifungua kwa siri hadi mtoto kufikisha umri wa miezi 7 na kuripotiwa kwa mara ya kwanza na gazeti...
Bila shaka unamfahamu Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi Sugu. Huyu jamaa ni mmoja kati ya wanamuziki wakongwe nchini, ameanza kuimba nyimbo za Bongo Fleva tangu mwanzoni mwa miaka...
Baada ya kujulikana kwa wengi kuwa hana mtoto na madai ya kutokuwa na uwezo wa kuzaa , mwigizaji wa kitambo Bongo , Blandina William Chagula Johari ameshangaza baada ya siri kuvuja kuwa...
The Tanzanian music superster as he calls himself the Rolls royce musician from East Africa Diamond platnumz has continues prooving that fame and love are seen and not rumored around, Recently...
Mbunifu wa mavazi toka Marekani anaeitwa Roper amelalamika sana kupitia Instagram kwamba Diamond kamuibia design yake... roper anayewavalisha wasanii wakubwa Marekani kama August Alsina, Future...
Mjengo anaoishi mkali wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya Chekecha Cheketua , Ali Saleh Kiba uliopo Kunduchi- Mbezi Beach jijini Dar , unadaiwa kuzua utata mkubwa hivyo kulilazimu kuchimba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.