Drake is going after Meek Mill and this time with a vengeance, ripping on his manhood for being girlfriend Nicki Minaj's opening act.The song -- titled "Back to Back" -- is actually his second...
Umofia kwenu wana JF,
Meneja wa wema sepetu(beautiful onyinye) martin kadinda yupo mbioni kufunga ndoa na mchumba wake! Stay tuned.
~~~~~~~
Mbunifu wa mavazi Bongo, Martin Kadinda, amesema kuwa...
On Instagram:
@Thebestfetty; "Zilitoka mixtape za matusi za ANTI VIRUS vol 1 na 2, BASATA ilikaa kimya na ilitoa kibali cha uzinduzi wa anti virus volume 2, Viwanja vya posta, licha ya...
Jamani ni aibu......... Ben Kinyaiya jana alitaka kupiga picha na Drogba pale uwanja mpya wa taifa.....lakini akivyosukumwa na watu wa security......ni aibu kwa jinsi alivyodondoka...
Uchunguzi uliofanywa hivi majuzi kuhusu mtizamo wa wasanii wa tz towards sera ya usenge, imebainika kwamba, baadhi ya wasanii wa kiume, hasa wale wanaopenda kuvaa heleni, chachandu/shanga...
Leo asubuhi nilikua nasililiza redio Efm, mtangazaji simkumbuki jina zamani alikuwa mtangazaji wa East africa radio kipindi cha Friday night live.
Aliplay ile nyimbo ya Tanzania Tanzania...
Karibu sana Abdul Mohamed mjengoni Clouds FM na nakumbuka sana jinsi Mtangazaji mmoja ambaye sasa amehamia E FM alivyokuwa anakuchukia na kukubania hadi ukapata Shavu BBC London na yeye...
Kama wengi tunavyojua competition imekuwa kali mno kwenye muziki wa Tz kitu kinachofanya kazi za wasanii wetu kufanya kazi kwa ubora zaidi, siku zote kufeli ndio mama wa kufaulu, wasanii wengi...
mchezaji Boateng amekuwa footballer wa kwanza kusign ktk lebo ya roc nation sports. Wanamichezo wengne walio ktk label hiyo ni staa Kelvin Durant, Victor Cruz na Skyler Diggins. Ishu hiyo...
Wadau nawasalimu,
Baada ya kushindwa kwenye uchaguzi wa kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalumu singida, Wema Sepetu anapokelewa muda huu na washabiki wake kwa shamra shamra za kukata na shoka...
Ninaangalia Bongo Star Search majaji ni Master Jay, Salama Na Madam Rita mshiriki mmoja aliingia ambapo mshiriki huyo mwaka jana alitoa nyoka na kinyonga kutoka ndani ya nguo zake, sasa leo...
Yaani kwa leo video za ukweli hata audio anazoachia PHD kamwacha mbali,kuna watu walikuja kumfananisha humu mwaka uliopita,ila kwa sasa TID kafunikwa balaa.
sina upendeleo
Hizi pichaz zimechukua headlines sana Instagram, zinamwonesha Diamond Platnumz akiwa na mpenzi wake, Zari the Bosslady. Zari ana ujauzito na huenda time yoyote tukafikiwa na good news ya...
JAMANI hii imekaa kiudaku zaidi eti kati ya hawa watangazaji wawili nani MKALI? wote Wanafanya vipindi vya aina moja japo redio tofauti GEA HABIBU wa CLOUDS FM na DIDA SHAIBU wa...