Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa wale wapenda mziki mzuri Sauti sol wameachia video ya wimbo wao unaoitwa kuliko Jana,ngoma iko poa sana na video yake iko poa unaweza kuitazama hapo chini nimeiweka!
4 Reactions
42 Replies
11K Views
Kila siku lazima tusikie wasanii wakitajwa kwa kubadili wenza, kutumia madawa ya kulevya, uvutaji wa bangi, na mauza uza mengine mengi tu kama vile kutuhumiana kutumia ushirikina ili kung'arisha...
1 Reactions
1 Replies
938 Views
Baada ya kuruka ruka kwa miaka mingi bila mafanikio,hatimaye mkali wa mapenzi nchini amempata mtu wa kuzeekea naye,mama huyo ameamua kutua kwa nguli la michezo nchini kutoka redio ya mawingu,awali...
12 Reactions
104 Replies
24K Views
WANAMUZIKI WA HIPHOP (10) MATAJIRI ZAIDI DUNIANI. 1.DIDDY Mbali na mziki Diddy ametengeneza fedha nyingi kwa miradi mbalimbali nje ya mziki kama mkataba wa kutengeneza vinywaji vya Diageo's...
1 Reactions
14 Replies
10K Views
Naomba kujunzwa tafadhali, msanii ambaye alikua wa kwanza kuimba mziki wa Bongo fleva.
0 Reactions
37 Replies
34K Views
Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anajitambulisha kama Rais wa Rader Enteternment rapper KR Muller alimuambia msanii mwenzake mkongwe Juma Nature amuache kwanza afanye mambo yake Kisa...
4 Reactions
112 Replies
35K Views
40,000$$ ambayo ni sawa na Tsh. 87,000,000/=.
7 Reactions
156 Replies
18K Views
Unakumbuka fiesta mwanza wasanii wote watakao tumbuiza walitangazwa ila kuna msanii mmoja alitumbuiza kama bonus au surprise Hali hiyo ilijitokeza tena jana mjini mombasa ,mwanzo chama cha odm...
1 Reactions
350 Replies
29K Views
Leo nimehudhuria Fiesta ya Muleba nimeshangaa sana, yule mzee wa amsha popo a.k.a mfalme wa singeli anaperform raia wamekula bati hadi nikamuhurumia. Nikajua labda ikifika zamu ya hit yake...
2 Reactions
110 Replies
13K Views
Nimejaribu kuwaangalia hawa mastaa kwa dhana ya kioo cha jamii,naona wanatofauti kubwa sana..Wakati wengine wakiwa bize na picha za utupu,starehe na mitoko ya shopping..Wengine wako bize na...
1 Reactions
17 Replies
10K Views
Habarini wakuu, Nahitaji kuwajua celebrities wa kike toka Mbeya.
0 Reactions
80 Replies
11K Views
wako wapi hawa? buibui tox star sagna c sir madini cheleman z anto aby skills dr. kumpeneka J.I kigwema d knob hussein machozi sam wa ukweli hafsa kazinja hawa joslin spark pingu p n c berry...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
KUNA MSTARI NIMEUPENDA SANA HAPA. Pretending to be hard, oh my God, check your temperature Some people are actors, don't believe on what you see just go deep! Ndo mkali wangu of all time, Mfalme...
1 Reactions
0 Replies
859 Views
Shilole anfanyaga show zenye utata utata ili kuzua gumzo, na mara hii kama kawaida yake alizua utata kwa show yake ya Fiesta hukoooooo
1 Reactions
20 Replies
5K Views
[emoji121] SASA ONENI HADI KAKA'ANGU #CRAZY_G.K NA KIGUGUMIZI CHAKE KILICHOMPA BONGE LA PUSH NA IDENTITY KWENYE HIPHOP LEO ANAKUJA KUIMBA SIJUI MIONDOKO YA *ZUKU*, SIJUI *ZUMBUKUKU*, SIJUI NINI...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Leo hii chama cha CORD kinachoongozwa na kinara Raila Odinga kinaadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa. Sherehe hii inayokwenda kwa jina la #ODM10at10Mombasa inatazamiwa kuisha kwa mbembwe za...
12 Reactions
131 Replies
39K Views
Msanii wa maigizo na mziki Snura Mushi amedai kuwa katika maisha yake kamwe hawezi kutoka na mwanaume aliye mzidi umri hata siku moja kama wasanii wenzake wa kike wanavyofanya Snura ameelezea...
4 Reactions
36 Replies
11K Views
tupeane taarifa wakuu mitaani mwetu kuna wasanii wanaishi maisha ya shida sana lakin media zinatuaminisha kuwa wanaishi maisha ya juu kuna wasanii wamekufa na tulikuwa tunawapenda hakuna...
3 Reactions
160 Replies
19K Views
Diamond Platnumz ,Chibu dangote , Simba adhihirisha usimba wake kwa kufanya show kali sana ambayo haijawahi kutokea nchini kenya tangu ipate uhuru
5 Reactions
38 Replies
7K Views
Kuna msemo unasambaa sana mitandaoni unasema eti Tanzania imebarikiwa sana coz kwenye hivi vitengo vya kimataifa zaidi. Mpira: Mbwana Samatta Mziki: Diamond Platnumz Majungu: Ali Kiba Je, kuna...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…