Maneno mengi sana yamesemwa kuhusu kiasi cha fedha alichonacho Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz na vile vile unaweza kumuita Chibu Dangote au Baba Tiffah, na wengine kufikia hatua ya kusema...
Wakuu niaje.....
Tupi huku Mombasa......Kenya.....
Leo tupo huku Mombasa kwanye shoo ya kihistoria......
Chris brow kutoka Usa amekuja kufanya show ya kihistoria .....
Kikubwa zaid atapanda...
Leo Oktoba 7 ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete. Alizaliwa Oktoba 7, 1950. Amekuwa madarakani kuanzia tarehe 21 Disemba 2005 hadi tarehe 5...
1. Nikki wa Pili amejinadi kuwa hajawahi kufeli toka aanze kusoma
2. Nikki wa Pili anasema yeye anasoma sana vitabu
SASA
-Alikuwa anafaulu vipi mtu ambaye hajui hata kuandika spelling za neno...
MSANII WA MIONDOKO YA HIPHOP TANZANIA ONETHEINCREDIBLE AWAKALIBISHA KWENYE BIRTHDAY YAKE KWA FREESTYLE MATATA....
FREE STYLE NYENGINE AKAWADISI NA WEUSI BUMKUBA
Wadau wa muziki wa Bongofleva,
Nadhani wote mnaelewa kuhusu ushindani unaoendelea kati ya wanamuziki machachari kabisa nchini..
Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nimeona meneja...
Yaani video za Ally wala hazivutii kuna kuwa na mrundikano wa picha kibao....ambazo hazina maana wala logic ,hua najiuliza sana huyu brother why? Kwanini video zisiwe na flow nzuri unarundika...
Waungwana leo kwenye pita pita yangu nilikutana na miongoni mwa washiriki wa BSS aliyekuwa miongoni mwa waliofanya vizuri (jina kapuni) akiwa kachoka sana mpaka nikamuonea huruma, sasa nikawa...
Saida Karoli anaogopa kugusa hata jani, akidhani
ni nyoka anayetaka kumng’ata
Ni kwasababu licha ya kufanya vizuri kimuziki miaka kadhaa iliyopita, hakupata chochote na bado anaishi katika...
Nimeona kidogo tu kwenye tangazo la EATV....Kr Mullah ana perfom 'kamua'
yuko na TID kwenye Friday night live....
kwa kweli hawa jamaa sasa ni 'burudani tosha'
natamani kuona mwenye full clip...
Akiongea kwenye kituo cha radio cha magic fm mziki wa hip hop bongo ni mgumu hasa kwenye maslahi ndo maana anamueshimu sana joh makini
Diamond" wakati mimi sijatoka nauza mafuta sheli nilikuwa...
Diamond platnumz ameendelea kukuza mziki wake baada ya kupata shavu kubwa la kutumbuiza kwenye majukuu makubwa nnchi uingereza akiwa na mkali kutoka marekani Neyo.
Mtandao wa Revolt Africa umetoa...
Yule msemaji mkuu wa Yanga African hatimaye amerudi tena kwenye kazi yake ya utangazaji aliyokuwa akifanya hapo awali katika television ya Taifa.
Chanzo: TBC
Huenda Jux akawa amemfuta kabisa Trey Songz
kwenye orodha ya ma-role model wake tangu
ashiriki kwenye wimbo mmoja na Vanessa Mdee
na kutengeneza ukaribu usio wa kawaida!
Japo ameiongea kwa utani...
Mziki wa bongo fleva umepata umaarufu mkubwa sana Barani Afrika na Duniani kwa ujumla.
Kitendo hiki cha mziki wetu kuvuka border kimesaidia sana kuongeza Ajira kwa vijana na kukuza vipato vya...
Habari za kuwepo kwa bifu kati ya Mama mzazi wa Nassib Abduli aka Diamond Platnumz na Zari ambayeni mpenzi wa msanii huyo na Mama wa mtoto wake wa kwanza zilichukua sura mpya.
Mwezi uliopita...