Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nilianza kumfahamu msanii Khaleed Mohammed au Top in Dar (TID) alipotoa wimbo pendwa wa Zeze miaka ile ya 2000s akiwa na Jay Moe.. Jina lake likakua na kukubalika ndani na nje ya mipaka ya...
11 Reactions
49 Replies
9K Views
Wakuu nadhan leo ndiyo fainali zinaonyeshwa TV gani nyingine tofauti na clouds tv, Hawa watu hovyo kabisa
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Msanii Ali Kiba amekataa nyumba inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikuhusishwa na yeye na kusema bado anaishi kwenye nyumba ya kupanga na hata kama alikuwa amejenga nyumba hawezi kufanya...
10 Reactions
97 Replies
27K Views
Ndugu zangu kina joti mnaangalia lakini ?sio zile parody zenu za uongouongo...dah Omondi ni bad news kwa kweli
6 Reactions
22 Replies
5K Views
Aunty ezekiel kweli ka move on past wema.. Pamoja na wema kujikomba kote kumuwish happy birthday aunt na kumpost mapicha kibao insta, aunty ezekiel kamkaushia mikausho mikali na hata hajamualika...
6 Reactions
49 Replies
9K Views
Habari zilizo chini ya carpet kuhusu nyumba mpya ya mwanamuziki Diamond iliyopo South Africa zinasema kuwa mjengo huo bado haujalipiwa na uko sokoni. Hivyo si Diamond wala Zari wana umiliki halali...
11 Reactions
170 Replies
25K Views
Msanii Juma Kassim maarufu kama Juma Nature amesema baada ya kustaafu mziki ataingia kwenye siasa kwa kuwa yupo karibu sana na jamii
2 Reactions
13 Replies
3K Views
MTV (MAMA)- Bonyeza link hii 2016 MTV Africa Music Awards Bonyeza tu vote halafu X halafu vote... Kuna tuzo mbili kama pichani juu. 1. Best Male 2. Artist Of The Year...
6 Reactions
34 Replies
6K Views
Habari! samahani sana ningependa jua background ya huyu lesbian "Malkia Said a.k.a Malkies." imean kuanzia primary mpaka sasa na realname yake .
1 Reactions
5 Replies
2K Views
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Hii ni nyimbo mpya ya Ali Kiba inaitwa "Risabela" inayotofautisha kabisa bongo flavor na Nigerian music.. Hongera Kiba, naona sasa zile radha halisi za bongo zinaanza kurudi na nafikiri wengine...
1 Reactions
55 Replies
9K Views
Asa kama mabilionea pia wanashindwa ku handle mizinga.....kunakuchekana kweli hapa, dharau, kubezana...tunayo yashuhudia humu kwenye jamii yetu. Eti kuambiwa kama huna hela kaa pembeni. Hata...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Fiesta not reachable, duuuuh.....!! Kumedia kunsi kukupirika, chanii chikukutile njooomba? #966# kuduuuu ku mchikioooo pa video mkombe..! Longa nasi msaani wetu Ney wa mitego, nini kimekukuta...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Kuna interview last week iliyoendeshwa na BBC UK kwa ajiri ya Kufanya promotion ya mziki wa kizazi kipya .... Kwenye interview kulikuwa na wasanii kama 1: professor jay 2: Sugu 3: Vanessa 4...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
H baba amemponda Diamond kwa kupost nyumba kisa eti Ali Kiba katuma, amesema kama yeye ni mkweli ana nyumba aposti hati ya nyumba, sio mwenzake akipost nyumba naye anapost
2 Reactions
69 Replies
13K Views
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifatilia shows mbalimbali za redio zinazoendeshwa mchana,lakini mpaka sasa xxl ya cloudsfm imebaki kuwa show bora zaidi za zote angalia mpangilio wa kipindi b dozen...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
NOWADAYS THINGS HAVE CHANGE AND AM GOING CRAZY YOU SEE THE PRECHERS WHO CHANGED TO BECOME GAYSSSS ..... HAHAH
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salamu. Inasemekana PJ wamerudi tena Clouds fm. Waliondoka kwa mbwembwe sana kwenda Efm japo kwa maoni yangu hawakufanikiwa kufanya kile nilichotarajia! Lakini leo asubihi katika nyapia...
6 Reactions
201 Replies
54K Views
Wakati msanii Rich Mavoko akifikisha umri wa miaka 21 na hivyo kumfanya kuwa moja ya madogo wachache wanaocontrol industry,uongozi wa WCB umeamua kufanya kitu tofauti kabisa kwa kuporomosha bonge...
6 Reactions
64 Replies
10K Views
Back
Top Bottom