Ma bibi na bwana nawalika kuja kuangalia video ya mziki mzuri na mtamu toka Asley uitwao Pusha. Hii ndo bongo fleva kuanzia uimbaji hadi beat.
Sent using Jamii Forums mobile app
MSAAD KIDOGO. HIZI NYIMBO ZIKITOKA MWAKA GANI.
DIAMOND FT GEEZ MABOVU NGWAIR...JISACHI.
GODZILLA FT DIAMOND...MTOTO WA KIUME.
TOPBAND FT BLUE...NILIKATAA
GODZILLA FT ALIKIBA..MILELE
Aise hii ngoma ni hatari sana maana ina ubunifu wa hari ya Juu sana.
Aise hii ngoma nimeicheki muda huu kwa TV ni moto wa kuotea mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilivyo ada kuwa upatapo mtoto ni lazima umpatie jina, lakini wengi wamekuwa wakiwapa watoto wao majina pasi na kuwa na sababu ya kwanini wanafanya hivyo.
Lakini hii ni tofauti kwa msanii...
Kama wengi tunavyojua competition imekuwa kali mno kwenye muziki wa Tz kitu kinachofanya kazi za wasanii wetu kufanya kazi kwa ubora zaidi, siku zote kufeli ndio mama wa kufaulu, wasanii wengi...
Rejea kichwa cha habari hapo juu kuhusiana na Dr. Slaa:
Mcha Mungu.
Anayewajali na kuwastahi watu.
Anapenda haki na kuwajali wanyonge.
Mkweli wa maneno na matendo.
Ana uwezo wa kuongoza na upeo...
Wimbo mpya wa kaka mkubwa kwenye gemu AY zigo remix iliotoka jana video yake, nimeona mabadiliko kwa Diamond amerap kidogo na nyimbo ameinogesha.
Kazi nzuri kwa vijana wetu.
Kampuni ya Studio Space Pictures ya South Africa imepost picha ya ay na diomond wakionyesha wamefanya video ya zigo remix.
wameandika zigo remix AYTanzania x diamondplatnumz
Michael Kalinda aka Ziggy Wine who died at Mulago National Referral Hospital in Uganda. PHOTO | COURTESY
Yet another close associate of Ugandan opposition politician, Robert Kyagulanyi aka Bobi...
Refer the heading above
Kama mnavyojua Bob Marley alikuwa na vipaji viwili hit maker(hakuna atakaye kuja kama yeye mpaka yesu arudi) and footballer na watoto wake 12 wameingia kwenye hivyo vipaji...
Hivi karibuni Diamond Platnumz
alilazimika kuahirisha ziara yake ya
barani Ulaya baada ya waandaaji
kushindwa kukamilisha kumlipa
hela yake ya advance katika muda
muafaka.
Inadaiwa kuwa katika...
Mke wa Rais, mama Salma amekuwa akifanya ziara katika mikoa mbalimbali hapa nchini na kupokelewa na viongozi wakiwemo wakuu wa mikoa. Je, ana cheo gani kitaifa hadi kupokelewa rasmi hivyo. Je...
Habari wadau wa Celebrities !!.
Leo nataka nimzumgumzie huyu msanii ambaye amekuwa akipewa sifa nyiiingi kwamba ana uwezo mkubwa, kwa kumsikiliza leo Ngoma zake zote ukiacha KWETU ni mbovu balaa...
ILIKUWA LEO ASUBUHI MUDA WA SAA NNE HIVI KWENYE KIPINDI CHAO CHA SUPER MIX. MARA WAKAWEKA BONGO FLAVA YA MSANII ALIYEIMBA MUHOGO WAKO MTAMU NA ANDAZI WEEE KWA HAMIRA. WIMBO ULIPOISHA WAKAANZA...
Ebana huyu mchizi anaweza sana hiki kipindi cha Uswazi, Zembwela we mbaya. Big up Zembwela.
----------------
Mtangazaji wa kipindi cha redio HOTMIX na television USWAZI vinavyorusha na EATV...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.