Habari zenu wanajukwaa. Mada hapo juu yajieleza. Kuna wanadada wenye sauti nyororo wa Clouds FM, yaani Mami na DJ Endy ambaye sijamsikia muda mrefu. Mwenye picha zao tafadhali tuwekee humu...
Hua nashangaa sana ni kwamba Tanzania kwenye upande wa burudani watu ni wapenzi sana wa mziki wa magharibi kuliko wa kiafrika...muda sana sijasikia wasanii haswa wa kongo wakija kupiga show za...
Wakati bi mkubwa yeye akihangaika na Kuuza sura mlimani City, bi Mdogo ameshavamia soko LA kimataifa na siku za hivi karibuni atatokelezea katika filamu iliypigwa South Afrika na Tanzania in show...
Diamond ndugu yangu. Hongera kwa kazi nzuri unazopata na network ya kimuziki unayoipata huko duniani Mungu akubariki sana.
Katika chenji zako unazopata kumbuka kuwekeza miradi mingine ya kiuchumi...
Kwenye party ya Mtoto Wa Hamissa Mobeto walionekana mabaunsa wawili wakiwa wako makini kabisa kuhakikisha usalama Wa Hamissa Mobetto! Je wale walinzi nani anilipia gharama zao kama siyo Mond...
Kwa kweli huyu mama anahitaji washauri maana navoona hana mshauri mzuri, ni mama mtu mzima but mambo anayofanya na kupost kwny acc yake ya IG haya aksi kabisa umri wake. Amekuwa mtu wa vijembe na...
Tufurahie warembo wa makabila yetu ili kutunza utamaduni wa MTANZANIA
jambo ambalo naimani hata hao wazungu watalifurahia kama tunavyo furahia na kuinga warembo wao.
Hivi jamani, Mama terry, yule mama muelimishaji/Muhamasishaji wa kujikinga dhidi ya madhira ya gonjwa Ukimwi yu wapi?????
Nimemkumbuka gafula!!!!!!!
Mwenye taarifa tafadhali!!!!!
producer mkali, Dj mkali, na pia ni mwandishi mzuri wa mashairi ya muziki hapa namzungumzia dj khaleed (Daverneius Jaimes) kwa upande wa hukoo, ughaibuni nchini marekani.
ni miongoni mwa ma-dj...
/ebu nicheki ninavyong'araa/
/akipendacho binti,lazima mwanaume atanunua/
Ninaposkia hiyo mistari namkumbuka gwiji wa michano kutokea Morogoro ambaye alikuwa hasimu wa Afande selle. Pia ni moja...
siwezi kumsahau huyu jamaa mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000;
ruff ryders anthem
what's my name
party up
i miss u
here we go again
we right here n.k.
hakika tulipagawa na...
Kwanza kabisa napenda niwatakie Sabbatical njema, pili leo ni Nyerere day, nitamuenzi baba wa Taifa kwa njia hii.
Kwanza naomba nikiri huyu Zari mimi namsikia jina tu sijawahi kujuwa hasa kwa...
Tanzanian showbiz couple Diamond Platnumz and Zari Hassan have reportedly broken up.
This is after the Ugandan socialite deleted all the photos she had taken with Diamond.
Diamond had over the...
Inatia moyo Kuona Mnyamwezi Big Celeb worlwide kutoka State anatia Like kwenye post ya mtotobwa Tandale dooh hii ni dalili njema...kama Davido alipiga kelele tu kwa kuwa Followed by Cr7,basi hii...
Wakubwa hiki kitu naona imenifika kohon sababu ya hawa jamaa wa Eatv radio kuwa na kuhelehele cha kumhoji na kumpost nshu za calisah kila siku yaan kila wakipost huko twitter ni kuhsu calisah tu...
Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi...