Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Habari zenu wanajukwaa. Mada hapo juu yajieleza. Kuna wanadada wenye sauti nyororo wa Clouds FM, yaani Mami na DJ Endy ambaye sijamsikia muda mrefu. Mwenye picha zao tafadhali tuwekee humu...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Hua nashangaa sana ni kwamba Tanzania kwenye upande wa burudani watu ni wapenzi sana wa mziki wa magharibi kuliko wa kiafrika...muda sana sijasikia wasanii haswa wa kongo wakija kupiga show za...
0 Reactions
55 Replies
8K Views
Wakati bi mkubwa yeye akihangaika na Kuuza sura mlimani City, bi Mdogo ameshavamia soko LA kimataifa na siku za hivi karibuni atatokelezea katika filamu iliypigwa South Afrika na Tanzania in show...
2 Reactions
68 Replies
7K Views
Diamond ndugu yangu. Hongera kwa kazi nzuri unazopata na network ya kimuziki unayoipata huko duniani Mungu akubariki sana. Katika chenji zako unazopata kumbuka kuwekeza miradi mingine ya kiuchumi...
5 Reactions
62 Replies
8K Views
Kwenye party ya Mtoto Wa Hamissa Mobeto walionekana mabaunsa wawili wakiwa wako makini kabisa kuhakikisha usalama Wa Hamissa Mobetto! Je wale walinzi nani anilipia gharama zao kama siyo Mond...
2 Reactions
74 Replies
9K Views
Kwa kweli huyu mama anahitaji washauri maana navoona hana mshauri mzuri, ni mama mtu mzima but mambo anayofanya na kupost kwny acc yake ya IG haya aksi kabisa umri wake. Amekuwa mtu wa vijembe na...
12 Reactions
189 Replies
19K Views
Tufurahie warembo wa makabila yetu ili kutunza utamaduni wa MTANZANIA jambo ambalo naimani hata hao wazungu watalifurahia kama tunavyo furahia na kuinga warembo wao.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi jamani, Mama terry, yule mama muelimishaji/Muhamasishaji wa kujikinga dhidi ya madhira ya gonjwa Ukimwi yu wapi????? Nimemkumbuka gafula!!!!!!! Mwenye taarifa tafadhali!!!!!
0 Reactions
24 Replies
9K Views
producer mkali, Dj mkali, na pia ni mwandishi mzuri wa mashairi ya muziki hapa namzungumzia dj khaleed (Daverneius Jaimes) kwa upande wa hukoo, ughaibuni nchini marekani. ni miongoni mwa ma-dj...
4 Reactions
39 Replies
7K Views
/ebu nicheki ninavyong'araa/ /akipendacho binti,lazima mwanaume atanunua/ Ninaposkia hiyo mistari namkumbuka gwiji wa michano kutokea Morogoro ambaye alikuwa hasimu wa Afande selle. Pia ni moja...
14 Reactions
155 Replies
32K Views
Wasanii Wanaosikika Sikikaa Kwenye Miondoko ya Hip Hop Kipindi Hichi ni Kama : Tammy The Baddest Rosa Ree Chemical Miss Kiki Pink
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Mwanamitindo asieisha vituko "calisah" amesema 'amekusudia kufungua duka la kuwapachika mimba wanawake wanaopendabkuzaa watoto wazuriwazuri kama yeye' Bongo bwana bila kiki hapaendi anyway wishing...
1 Reactions
42 Replies
8K Views
siwezi kumsahau huyu jamaa mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000; ruff ryders anthem what's my name party up i miss u here we go again we right here n.k. hakika tulipagawa na...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwanza kabisa napenda niwatakie Sabbatical njema, pili leo ni Nyerere day, nitamuenzi baba wa Taifa kwa njia hii. Kwanza naomba nikiri huyu Zari mimi namsikia jina tu sijawahi kujuwa hasa kwa...
20 Reactions
267 Replies
24K Views
Tanzanian showbiz couple Diamond Platnumz and Zari Hassan have reportedly broken up. This is after the Ugandan socialite deleted all the photos she had taken with Diamond. Diamond had over the...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Inatia moyo Kuona Mnyamwezi Big Celeb worlwide kutoka State anatia Like kwenye post ya mtotobwa Tandale dooh hii ni dalili njema...kama Davido alipiga kelele tu kwa kuwa Followed by Cr7,basi hii...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Karibu nyimbo zote za huyu kijana nilizozisikia ametumia neno MOYO kwenye mistari yake. Kuna wimbo ambao hajatumia hili neno kweli??
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wakubwa hiki kitu naona imenifika kohon sababu ya hawa jamaa wa Eatv radio kuwa na kuhelehele cha kumhoji na kumpost nshu za calisah kila siku yaan kila wakipost huko twitter ni kuhsu calisah tu...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
  • Closed
Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi...
1 Reactions
196 Replies
33K Views
Binafsi nimeipenda hii video binti akichukua Karanga kidigital
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…