Kati ya watanzania walionifurahisha ni vijana wa bongo fleva na bongo movie ingawaje kazi zao sizipendi.
Wamethubutu, wamepambana, wameweza na wanasonga mbele.
Naona Diamond anawekeza kwenya tv...
Salam.
Wako wapi maproducer wa bongo flava wa miaka ya hivi karbuni.
Wapi Marco Chali, Ramaa, Bob Jr na Sharobaro records, AM records, Man walker, jamaa mwingine wa Tetemesha records ya mwanza...
'Hey-Why' na mchumba ake wali chumbiana kwa mbwembwe kwa matumaini ya kuishi happily ever after baada ya kuvuta mkwanja mrefu toka TIGO.
Lakini hadi leo mwaka umepita tangu uchumba utangazwe na...
Mwimbaji staa tokea nchini Colombia, Shakira anaweza kufungwa jela kutokana na kosa ambalo limekuwa likiwapeleka mastaa wengi Mahakamani nchini Hispania la kushindwa kulipa kodi.
Mamlaka ya...
Mi naona kama wanashabihana for some character huwa siwaelewi hawa ndugu zetu
Any wayz.
Najua wana bodi mna mengi kuhusu hawa watu
Hasa ki mienendo yao.
Mkali wa muziki wa Chakacha na Mduara AT ambaye jana tu ameachia wimbo wake mpya wa 'Kazi yao', ametoa ushauri mzito kwa Babu Seya akimtahadharisha kuhusu kiki.
Ikiwa ni muda mfupi tu tangu atoke...
Mastaa wetu wa Kibongo mmelewa nini na jina "Lulu" mnatuchanganya wadau wenu. Ona hapa
1. Lulu Maiko
2. Lulu Diva
3. Lulu Semango
4. Amber Lulu
5. Aunty Lulu nk nk
Wataalam wa "Brand Name"...
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa tangu amtongoze mzazi mwenzie, Zari mwaka 2014 ndio ilikuwa mara yake ya mwisho kufanya hivyo hajawahi tena kutongoza mwanamke...
Msanii wa filamu, Wema Sepetu ameibuka na kudai kwamba yeye si mwanamke ayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza.
“Mimi napenda mwanaume anayejielewa,mwenye upendo...
The lendary and only one trumpeter wa Afrika Kusini,Hugh Masekela amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78.
Kwa vijana wa kileo itakuwa vigumu kumfahamu huyu gwiji wa jazz toka Sauzi.
Lakini kwa...
Hello guys
Kwa mnaofuatilia vizur patrick ngowi alivokuwa na miaka 27 aliingia kwenye forbes africa under 30 list huku kampuni zake za solar ikiwa na revenue ya 2million usd kwa mwaka, akaitwa...
Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa jina la "I'M SORRY MAMA" mwanadada Chemical, amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi...
Mama mzazi wa muigizaji wa filamu hapa nchini, Irene Uwoya amefunguka na kueleza kuwa hamtambui mume wa sasa wa mwanaye, Dogo Janja na anachokijua yeye ni kuwa mume wa ndoa wa mwanaye amefariki...
Habari wanabodi,
Jana majira ya saa nne nilipokea simu kutoka mtu wa karibu kunifahamisha vifo vya members wa team ya Diamond online,Platnumzmond na Nevvo Msafi ,walipata ajali maeneo ya...
BARUA KWA MAMA.
Jina langu ni Aslay Isihack, jina hili alinipa Mama yangu mwenyewe Bi. Mozza kutokana na maisha niliyopita ya Muziki wengi wananifahamu kwa jina la Aslay.
Barua kwa Mama yangu...
Habari za uhakika ni kwamba wadhamini wa kipindi cha wanawake laivu wameacha kukidhamini kipindi hicho
Katika hali yakubabaika mwanadada huyo kageukia chama cha mapinduzi ili kimsaidie na kama...