Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa wale wa zamani kidogo wanafahamu hawa ni moja wa madansa wenye heshima kubwa. Leo ndani ya Isumba lounge zamani Jolly Club patakuwa na mpambano kati ya wakongwe hawa wa disko. Kamakawa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi huwa nawashangaa sana , kuna vijana wanakunja mpunga huko Youtube tusiwachukulie poa. Mwaka uliopita Diamond kakunja zaidi ya bilion 6 youtube kwa nyimbo yake Diamond Platnumz earns over...
7 Reactions
85 Replies
6K Views
TAARIFA KWA UMMA Ndugu MTEGANDA HUSSEIN almaarufu "MTEGANDA", pichani, ametoweka jijini Mbeya tangu tarehe 25 December,2024 majira ya saa saba usiku. MTEGANDA alikuwa jijini Mbeya kwaajili ya...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Sultan Tamba na kundi lake la Tamba Arts group ambapo humo ndani unakutana na waigizaji kama Riyama Ally, Mwajabu Kazimili (Bi Nyamisi),Rehema Msangule (Doreen Nsyuka),Sanjo,Ringo,Chilisosi, nk...
19 Reactions
148 Replies
9K Views
Je umeshawai kuiona movie ya Titanic ya mwaka 1997 ?? Bila shaka baada yakuiona hiyo picha hapo juu,, jibu ni ndiyo na kama bado unaweza kuitafuta sasa kwenye site mbalimbali na kuitazama...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Tuliohudhuria mtoko wa pasaka huyu muimbaji Christina shusho hana ndugu? Mbona wasanii wakiwa na tafrija wakiitwa ndugu hujitokeza kwa wingi sana ...vipi kwa huyu dada yetu na mbona siasa ni...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Roman Abramovich, the billionaire owner of Chelsea Football Club, has abandoned an attempt to conquer Mount Kilimanjaro after collapsing more than 4,000ft from the summit. The 43-year-old was...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Yaani kila nikimtazama labda nitaona kitu spesho juu yake lakini wapi. Najiuliza maswali mengi hizi pesa zilizomwagwa hapa mbona haziendani na mwomekano yani apiarensi ya shem wetu? Kwakweli...
13 Reactions
90 Replies
5K Views
Hivi karibuni Mwijaku kalizua baada ya video kusambaa ikionyesha watoto wa chuo wakimgombania. Kwenye malumbano Yao inaonekana mara mwisho Mwijaku alizini na mmoja kati Yao mwanzoni mwa mwezi huu...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Alipofikia huyu bwana, anatakiwa azibitiwe na Serikali moja kwa moja, naona basata wanamuogopa. Sipendi kunadili haya mambo yao ila naona ni too much. Sina chuki na maendeleo yake ila.. Anaimba...
9 Reactions
55 Replies
4K Views
wana jamii! nilikuwa naomba kujuzwa kama kuna uhusiano wowote kati ya Mwanasiasa Tundu Lissu na mwimbaji wa nyimbo za injili John Lissu.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hata ukipress hio trend unaona vyombo vikubwa vya nigeria vikmzunguzia yeye. Tangia mwamba amepata jiko kutoka nigeria, amekuwa talk of town karibia. Africa Magharibi nzima. Sasa aitumie kama...
5 Reactions
4 Replies
744 Views
Habari wadau. Jana juma jux alikuwa anafunga ndoa ya kimila na binti maarufu nigeria . Ndoa hiyo ina faida kubwa sana kwa jux kibiashara. Nigeria ina zaidi ya watu milioni 200. Na wengi wao...
26 Reactions
140 Replies
8K Views
Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili kutoka Nigeria aitwaye Sis Osinachi Nwachukwu maarufu kwa wimbo wake “Ekwueme” amefariki dunia. Osinachi alishirikishwa na Prospa Ochimana katika wimbo huo...
20 Reactions
84 Replies
13K Views
"Mwanamke yeyote ndoto yake kubwa kuwa na Mume, katika maombi yangu yote hilo naliomba sana lakini siwezi kumpangia Mungu atayajibu lini". "Mkisikia natangaza harusi mjue maombi yamejibu, nipate...
14 Reactions
111 Replies
6K Views
Wadada wengi ndio maana mnashindwa kupata real love kwa mambo mafupi sana. Kuna kipindi fulani nilimsikia baba levo kuachana na mke wake ni kwa sababu ya dini ila walizaa. Sasa baba levo Mpunga...
5 Reactions
53 Replies
6K Views
Mratibu wa zamani wa Miss Tanzania Hashim Lundega, amefariki dunia leo katika Hospitali ya Kitengule - Tegeta, Jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mshirika wa karibu wa Marehemu Lundenga, Bosco...
24 Reactions
185 Replies
15K Views
Rapa kutoka marekani Kendrick Lamar amevunja rekodi iliyowekwa na marehemu Tupac kupitia wimbo wake wa (not like us) . wimbo wa Tupac Shakur (Hit em up) ulikua ndio wimbo bora wa DISS TRACK kwa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Huyu Dada sikuhuzi sijui amekuwaje dakika 2 anaitukuana familia ya msanii Diamond platnumz baada ya muda kidogo anasema anamtaka Diamond kimapenzi yaani anaonekana Yuko obsessed na Diamond Either...
17 Reactions
216 Replies
21K Views
Naskiliza hapa kazi Ya Diamond Platnumz Wonder naona kijana anajua sana ana mziki mzuri kwa kweli, sijui wanaosema hajui kuimba wao wanaimba nini Mcheki hapo akiimba live maana naona kijana...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…