Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nidhahili huyu kijana mwenzetu anatisha balaa ukizungumzia makamilifu yake unaweza vimba vidole kwa kutype ukianzia humble beggining,hustle ,unyenyekevu,uvumilivu wa dharau ,kupambana na wivu (bob...
5 Reactions
41 Replies
5K Views
Hakika hata siku moja huwezi kuuficha moto, kwani moshi lazima utakuumbua tu. Baada ya kuumizwa na aliekuwa mpenzi wake Millard Ayo baada ya kumfumania live jiki Mwanza, Millard aliamua kukaa...
2 Reactions
131 Replies
41K Views
1. Said Fella 2. Babu Tale 3. Asha Baraka 4.Sallam A.K.A Mendez 5. Seven Mosha
3 Reactions
38 Replies
9K Views
Jamani hivi nani anajua alipo huyu DJ maarufu John Dilinga? Alikuwa DJ mzuri sana na mtangazaji wa Radio one early 2000
2 Reactions
128 Replies
28K Views
Ndugu wanajamvi msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mimi binafsi nimesikitishwa sana na kifo cha msanii Sam wa ukweli. Kutokana na kifo hiki nimejifunza jambo moja tu ambalo ni kifo hakina huruma na...
0 Reactions
67 Replies
16K Views
1. Alikiba na Diamond 2. Joh makini na fid q 3. Nikki wa II na nikki mbishi 4. Harmonize na harmorapa 5. Godzilla na billnass 6. Q chilla na diamond 7. Mr blue na diamond 8. Izzo buzness na...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Tangu nimeanza kusikiliza Emcee kutoka Mwanza Farid Kubanda hajawahi kunichosha kumsikiliza kutokana na uwezo wake wa hali ya juu katika uchenguaji (kufoka) Tukija kwenye swala la uandishi jamaa...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Msanii wa Bongo Fleva na muuza nyago kwenye video za wasanii, Amber Lulu, ametoboa siri ya Malkia wa filamu Bongo, Wema Sepetu na Mbongo Fleva, Aslay akidai kuwa waliwahi kuishi pamoja kinyumba...
1 Reactions
100 Replies
18K Views
Yuko wapi huyu jamaa. Na mwenzake huyu TopC na Pasha wako wapi? Kweli naelekea kuzeeka. Maisha yanaenda kasi sana.
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Leo nimeamka na mood, ya kusikiliza mziki mzuri, basi katika kusikiliza kwangu nikajikuta namsikiliza huyu gwiji wa Bongo fleva Q Chillah {Q Chief] jamani jamaa anajua, hachoshi masikioni mwako...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Rapa wa kike wa bongo Chemical 'mwana wa Lubao' amefunguka na kudai hawezi kujutia kutokuolewa na mwanaume ambae ametoa usichana wake 'bikra' kwa kuwa anawajua wanaume waliokuwa wengi hawana...
1 Reactions
57 Replies
15K Views
Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamemjia juu producer wa muziki ambaye alikuwa wa kwanza usiku wa jana kutoa taarifa za kifo cha ndugu yao kinyume na taratibu huku akitangaza kuwa marehemu alikuwa...
7 Reactions
104 Replies
23K Views
Tangu Clouds waamue kumchunia Diamond miezi minne iliyopita ndio kwaanza Diamond anazidi kusumbua kila kukicha na scandal ndio zinaongezeka kila kukicha Sasa hawa kaka zangu Soudy brown na Kwisa...
2 Reactions
30 Replies
8K Views
Habati za majukumu wanajamvi nmeona simu anayotumia Msukuma(mbunge wa Geita vijijini)nikasema ngoja tuone kwa pamoja na tujue maoni ya wengine... Namnukuu “Simu yangu naipenda sana maana ina...
2 Reactions
76 Replies
11K Views
Baada ya Uzalendo kumshinda Mama ake Hamisa, amevunja ukimya nakumuombea Msamaha mtoto wake Huyo Wa pekee .Kama kuna popote mwanae kakosea yeye Kama mzazi hafurahishwi kinachoendelea Kwa mwanae...
6 Reactions
560 Replies
26K Views
Habari wanajamvi..hapa bongo kuna wasanii ambao ukiwaangalia na kuwafikiria,unaweza ukajiuliza "hivi huyu asingekuwa msanii angekuwa anafanya kazi gani"??.sasa mimi binafsi ninao wasanii kadhaa...
6 Reactions
70 Replies
11K Views
Iko poa sana na Roma kavunja sana
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ningependa kupata historia fupi ya huyu dada hadi hapo alipofikia. CC:@warumi;@dinazarde nifah@evelynsalt geniveros
0 Reactions
92 Replies
25K Views
Ni hivi unapofanya ibada kama kusaidia yatima then unakwenda na makamera ili uonekane na public kimsingi dini yoyote ile haikubalini na sadaka za aina hii na ukweli hupati swawabu yoyote kwa...
4 Reactions
65 Replies
7K Views
Wasafi TV kupitia instagram account yao wamepost picha ya kwanza ikumuonesha Diamond Platinumz akiwa South Africa na wanae. Bila shaka hii ni habari njema mno kwa team Diamond na team Zari, na...
5 Reactions
35 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…