Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,761
Wasafi TV kupitia instagram account yao wamepost picha ya kwanza ikumuonesha Diamond Platinumz akiwa South Africa na wanae. Bila shaka hii ni habari njema mno kwa team Diamond na team Zari, na wale wote ambao walikuwa wanaiombea hii couple imalize tofauti zao.
Nikiwa kama mmoja wa shabiki mkubwa wa Diamond nawapongeza yeye na mzazi mwezie kuanza kupunguza tofauti zao, ila Diamond ajitahidi kukaza zipu, aache kufunguafungua kila apoona sketi.
Nikiwa kama mmoja wa shabiki mkubwa wa Diamond nawapongeza yeye na mzazi mwezie kuanza kupunguza tofauti zao, ila Diamond ajitahidi kukaza zipu, aache kufunguafungua kila apoona sketi.