Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Habati za majukumu wanajamvi nmeona simu anayotumia Msukuma(mbunge wa Geita vijijini)nikasema ngoja tuone kwa pamoja na tujue maoni ya wengine...
Namnukuu
“Simu yangu naipenda sana maana ina historia kubwa sana na ikitokea imeharibika nitaiweka nitaiweka kwenye makumbusho" - Musukuma
Toa maoni yako
Namnukuu
“Simu yangu naipenda sana maana ina historia kubwa sana na ikitokea imeharibika nitaiweka nitaiweka kwenye makumbusho" - Musukuma
Toa maoni yako