JULAI 28, mwaka huu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli alimteua aliyekuwa mshindi wa pili wa mashindano ya ulimbwende Tanzania (Miss Tanzania 2006), Jokate Mwegelo...
Heri na siku ya kuzaliwa kitoto Cha Taifa na kitoto cha msaniii mkubwa Africa na East Africa kwa ujumla nchini Tanzania Diamond platnum aka chibudee ,baby Dee tulikupigania hadharani mpaka leo...
Malia Obama(20) na mpenzi wake Rory Farguharson(19) wabamba Mayfair London wakivuta sigara wakati wakienda kula dinner . Malia Obamba ambaye alikuwa first daughter katika ikulu ya Marekani alianza...
Mungu naomba unisamehe ilaa hawa wasanii wawili wa gospel kwakweli kila nikiwangaliaa huwaa siwamalizi na mapozi yao. Yani lips wanapaka lipshine na wanavyozipandishaa hizo nyusi kwenye picha zao...
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limesema halijawaita wala kufungia wimbo wa Parapanda uliombwa na wasanii wa kundi la Rostam, Roma Mkatoliki na Stamina na kusema kuwa labda wameamua kujifungia...
šµš¤š¼š¶šµš¤š¼š¶š¼š¶š¼
š¤ for Roma na
š for Stamina
š¤Karibu mzee kingunge kwenye makazi ya milele Mimi huku ninamji wangu tayari unaitwa nyerere ,nimeshtuka kukuona huku nini chanzo cha msiba..h,
š...
Kuna mtu anaitwa Mzee Tyson pale WCB, yeye ndio anashare nyingi kuliko mtu yeyote kwenye ile kampuni. Tunaweza kusema yeye ndio mmliki halali wa WCB
Je, kuna mtu mwenye cv yake? Huyu mtu ni nani...
Account yake pendwa yenye followers mil 4.2 ya Instagram imehackiwa.
Update :
ni kawaida kwa wanadam kusema lolote lile hasa kupinga...hebu fikilia watu wanapinga hadi uwepo wa mungu na mamlaka...
Katika ari ambayo isiyoelezeka Zamaradi ajikuta akilabwa na Matusi ya Nguoni na Watanzania hii ni baada ya kumuWish Happy birthday@tiffa wa Diamond kwa kumtag@diamondplatnumz pekee bila ya mama...
Angalia hii zawadi ya Miss Kanda ya Ziwa 2018 (Miss Lake Zone) ifike wakati sasa tuache kuwadhalilisha mabinti zetu tunaua morali na vipaji kwa upuuzi kama huu....#WTF
UPDATES
==============
Baada...
Hawo wasanii aslay na harmonize ndio watakae chukua nafasi ya alikiba na Diamond . Alikiba aliwahi kusema hili kuhusu aslay āTamba Mdogo Wangu Unajuaā huku akiambatanisha na kava ya wimbo huo wa...
Huyu mama sijui yupoje mbona ye kaolewa na kibenten tena alijitolea mahali na harusi akajigharamia,, kuolewa na miaka 50 vepeee
We mama tuliza mdomo. Ungepata mkwe kama mim ungenitambua yaan...
Mara ya mwisho kumsikia DJ huyu aliyepata kuwa maarufu sana nyakati hizo alikuwa radio one. Kwa yeyote ajuaye alipo na anafanya nini atujuze tafahali.
Alijua kuyapanga mabuzuki, masebene...
Wimbo kama naliamsha dude na unanifanya nicome kwanini hazijafungiwa?
Weusi wamewapa nini mpaka hamjafungia nyimbo hizo? katika nyimbo ambazo zimefungiwa kuna nyimbo zimefungiwa na hazina maudhui...
Salam Wakuu,
Napenda kutoa Ushauri kwa Wasanii wa Bongo fleva ,Ni Wazi kwa Sasa video zina quality na soko Wamelikamata,Ila Kwenye upande wa Music bado..
Sijui uoga unatoka wapi wakati wana...
Mwishini mwa mwezi wa saba,dunia kama sio Tanzania,tulipata ujumbe kutoka kwa Diamond kwamba kutakua na Birthday party ya mwanae Latifa huko bondeni kwa Madiba!! Party itakua live kupitia channel...
Mchezaji anayekipiga klabu ya Baroka FC ya Afrika Kusini na timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' pia aliyewahi kuzichezea Simba SC na Coastal Union ya Tanga Abdi Banda, alfajiri ya leo Agosti...
Muigizaji mkongwe nchini India, Salman Khan amehukumiwa kwenda jela miaka mitano baada ya kukutwa na hatia ya kuua wanyama jamii ya swala miaka 20 iliyopita.
Salman Khan mwenye miwani akipelekwa...