Sio maneno yangu ni ya Mchungaji Mzee wa Upako
Alipohojiwa na Times Fm
Kwani watu wanapenda kuwa maskini jamaa mbona huyu Baba anajisahau?!
We Mchungaji wewe Mungu anakuoonaa!
Video hapa chini...
Baada ya joh kusikia Fid q anaachia album yake ya kitaaolojia kesho Joh ameamua kuachia ngoma yake mpya inaitwa simwachii mungu halaf atatoa ngoma kila jtatu mpka tarehe 27.
Ikiwa wimbo wa Seduce me ulioimbwa na msanii Alikiba umetimiza mwaka mmoja leo toka uachiwe leo ni vyema tukachambua maudhui ya wimbo huu.
MAPENZI
Mapenzi ndiyo dhamira kuu ya wimbo wa seduce...
Kwema wakuu
Katika pitapita IG nimekutana na post ya bodyguard wa msanii Diamond akiendelea na majukumu yake mengine(kapata boss mpya)
Najua hapa Jf kuna wajuzi,nipeni ronja nini kimemsibu huyu...
Siku ya leo clouds FM kwenye show yao ya xxl walikuwa na mahojiano na Dogo Janja na katika mahojiano waligusia ndoa ya Dogo Janja na Irene Uwoya katika madai yao watangazaji Adam Mchomvu na Dozen...
Msanii wa kizazi kipya, Vanessa mdee amekamatwa na polisi leo mchana, hata hivyo sababu ya kukamatwa kwake bado haijajulikana.
=====
MSANII VANESSA MDEE AKAMATWA NA POLISI JIJINI DAR
Jeshi la...
Mpaka sasa nimeshakula block za watu maarufu wafuatao:
Malisa Godilisten
Huyu ni Kamanda wa CHADEMA ameniblock Facebook toka msiba wa komba. Kipindi hicho cha msiba nilipishana naye pale...
Mwanamitindo Hamissa Mobetto amepata mwaliko wa mwanamitindo kutoka Marekani lira Galore ambaye pia ni ex girlfriend wa msanii Rick Ross
Hata hivyo bado haijafahamika kama safari hiyo itahusisha...
Monica Lewinsky amekasirika kwa kukumbushwa mchepuko wake aitwaye Bill. Bill ni mume wa mgombea urais wa US aliyeshindwa kwa kura za 'turufu'. Mshindwa huyo wa urais anaitwa Hillary Rodham...
Jibu la Diamond Platnumz kwa shabiki aliyemwambia kuwa kwasasa amekua ashikanishikani na wanawake. Diamond kajibu comment hiyo kupitia ukurasa wa Instagram wa @wasafitv ambao shabiki huyo aliacha...
AKILI IMEGOMA KUSHAWISHIKA
Nikimkumbuka vizuri ni msichana mrembo niliyekuwa napenda sana kazi zake za uigizaji, kapata umaarufu mkubwa sana kutokana na uigizaji na hata kuchukua vichwa vya...
Msanii wa muziki Diamond Platnumz amefunguka kuzungumzia sakata la kutaka kurogwa na mzazi mwenzake Hamisa Mobetto ikiwa ni siku chache toka audio inayodaiwa kuwa ya mrembo huyo isambae mtandaoni...
Aliitwa Lucky Philip dube, jina la lucky alipewa jina Hilo na mama yake baada ya mimba zake nyingi kuharibika. Alianza Muziki tangi akiwa mdogo
Mwanamuziki wa reggae nchini Afrika kusini kuwahi...
kumbe ilikuwa ni food fight, kijana mkubwa kaumizwa sana, wakati wa msiba bi mkubwa alikuwa anaagiza special delivery ya wali na "samaki mkubwa ka mkono," hali chakula cha msibani
kijana...