Na Mwandishi Wetu/Ijumaa
NDOA iliyodumu kwa miaka miwili na nusu kati ya mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentzel na Gadna Dibibi imevunjika, Ijumaa lina mkanda kamili.
Mwigizaji wa filamu za...
Ile tabia ya kujifanya unatoa nyimbo mpya kila siku ndio haswa imemponza huyu msanii na kujikuta kuishiwa uwezo wa kutunga nyimbo mpya ili kuweza kukata kiu ya mashabiki wake.
Hili suala la...
Elizabet Michael (Lulu) akiwa kulia
Dar es Salaam. Wacheza filamu, Jackline Wolper, Elizabet Michael (Lulu) na Shamsa Ford wamesema mpango wa kuunganisha vyombo vya kusimamia sanaa nchini vya...
Eti hamornize kamuimba kwa nyimbo yake mpya ,bibie wolper bibi wa viben10 kamwaga mapovu hayaaa [emoji116][emoji116][emoji116]
nyie watu kama mnapendana rudianeni ,,sasa wolper umejuaje...
MBILI sifuri sifuri kenda (2009), aliamua kutugeuza njiwa. Bi mkubwa Patricia Hillary, yeye alimtuma njiwa” apeleke salamu, ila yeye akatutuma sisi, eti tukamwambie jinsi ambavyo bado anampenda...
by 8020fashionsblog
Wema jana mida ya saa nne usiku hivi alipost picha zake akiwa amevaa this dress kutoka kwa Mac Couture akiwa anaiita hii gauni master piece.
The dress is not a master piece ni...
Jumapili njema
Leo nimeamua kuja na hoja kidogo kama nilivyoandika hapo juu asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa hawalitendei haki hilo neno hasa mtandaoni, wamekuwa wakileta tafsiri isiyo sahihi...
Romy Jones, binamu wa mwanamuziki Diamond Platnumz amezua maswali mtandaoni baada ya kusema ndugu yake huyo ana watoto watano badala ya wanne wanaotambulika na maelfu ya mashabiki zake jambo...
Nadhani hii itapelekea watu ambao hata hawakua na mpango wa kusafiri waaanze kutunga safari za uwongo na ukweli ilimradi tu wamiminiwe chai na Hamisa Mobetto, hii ni strategy ya kibiashara, tuache...
Ukisikia mtu anajiharibia basi kiba ni moja wapo, samaki akivuliwa huwa anakunjwa mapema wakati bado mbichi.
Sijui ni kwamba kawa kimya kwasababu amempoteza master mind Ruge, au ni kwavile...
Inasemekana jamaa ana mambo makubwa ila hayaweki wazi sababu Hapendi SHOW OFF ,amemuacha tu mpinzani wake diamond ajishebedue
1.Ana mchumba mombasa ila hataki aweke wazi kwani Hapendi SHOW OFF...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia msanii wa Bongofleva nchini Tanzania, Rosa Ree kutojihusisha na muziki kwa miezi 6 kutokana na video ya wimbo wa Vitamin U aliyoshirikishwa na msanii...
Wakuu leo nataka tumalize ubishi unaoendea kati ya hawa vinyori nyori vigoli watoto wa uswazi /wapenda miguu ya kuku na mihogo ya kukaanga chipsi yai kwao ni haramu[emoji12] [emoji12] [emoji12]...
Habari wanajamii.
Nimekuja na swali hili baada ya kumsikiliza Ali Kiba alipotutangazia anakuja na kitu babukubwa tukamsubiri kwa hamu lakini alipoanza tu ile intro ni kama mtu anaeongea na masela...
Nikiwa nimekaa zangu nacheki game ya simba mara nikamuona Dr. Shika akikatiza huku akionekana yuko kihome-home zaid. Nikaanza kuwaza jinsi ambavyo hawa mastaa wanavyojificha kiasi kwamba anaweza...
Kuna kipindi mwaka 2007 ilitokaga ngoma flani (nmeisahau kidogo) ila Jay Moe alishirikishwa then kwenye punch za MOE aliandika
"AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA// WASHTUE WADOGO ZAKO WAACHE PODA...
Kiwanda cha muziki, lazima tukubali, mara ya mwisho kimetengeneza msanii ambaye kinaweza kikajitutumua na kujisifia kwaajili yake ni kilipomtambulisha "Erick Msodoki" kwa watanzania! Wengi...
Wasanii wengi, si wa maigizo, si waimba nyimbo - uwezo hawana na hawawezi fikia levo ya waigizaji wa Kinigeria au Ghana na nchi kama South Africa.
Kilichobakia ni kujipendekeza CCM wakiamini...
IMEWEZEKANAJE BILA CLOUDS FM?
Kuna nyimbo nyingi mno miaka ya karibuni ambazo ni maarufu kupita kiasi ingawa hazikuwahi kupewa airtime na Clouds FM. Inashangaza mno. Hivi wimbo unawezaje kuwa...
Aisee kama kuna kosa lilifanyika katika tasinia ya muziki wa bongo flavour itakuwa ni uamuzi wa wasanii wa kundi la TMK wanaume kujisambaratisha.
Sina taarifa za uhakika juu ya sababu za...