Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ebana tuongee ukweli hizi type ni noma sana, yani wanavutia ile mbaya. kiukweli mimi kwa upande wangu mwanamke mnene mweusi hata bure sichukui,hata akae uchi hapo kitandani hata sisimamishi...
7 Reactions
138 Replies
26K Views
Huyu jamaa alikuwa ndiye mchoraji wa katuni maarufu ya baba ubaya kwenye Gazeti la Kiu kabla ya kuacha kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine. Sijui kama hili gazeti bado lipo mtaani...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Dizain kama mambo yanakua magumu kwa kijana wetu, ngoma mbili nje ya management yake ya zamani, Uno na Kushoto Kulia, ya kwanza ilikua pushed sana media tour Afrika ya Mashariki, interview kali...
11 Reactions
136 Replies
19K Views
Bobby Brown apoteza Mtoto Mwingine ndani ya Miaka 5 Kijana huyo Bobby Brown Jr amefariki akiwa na miaka 28 Dadake Bobby Kristin alifariki Miaka 5 iliyopita Kwenye ajali yenye utata Taarifa...
5 Reactions
54 Replies
7K Views
Huyu mwamba huwa namwelewa Sana, hasa ngoma zake za kubembeleza , ni fundi haswa , sioni mpinzani Kwa huyu king Leopard , ..... First nilimuapreciate sana Dimond Kwa ngoma zake za hsia lakn tangu...
7 Reactions
59 Replies
6K Views
Gigy Siku hizi anakua mcharo, Naona mambo yake si Haba, halafu na yeye kawa pisi Kali Siku hizi , Tatizo tu uswahili ndo mwingi, ila kwa uzuri mashallah lizur na Naona mganga wake wa sasa hivi...
10 Reactions
32 Replies
9K Views
Looh!!, omba yote duniani lakini sio stress za mapenzi , bibie kakukuruka juu chini afananie na dada ake wa US , ili tu amrudishe kamwambie kwenye himaya yake, unaambiwa bibie karoga kwenye...
14 Reactions
216 Replies
35K Views
1. MSANII BORA WA KIUME AFRIKA MAGHARIBI Adekunle Gold – Nigeria Sidiki Diabate – Mali Davido– Nigeria Kidi – Ghana Burna Boy – Nigeria Kuami Eugene – Ghana Rema – Nigeria — WINNER Ariel Sheney –...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari Wana jamiforums Binadamu tunapenda kukumbushwa kuwa sifa na majikwezo sio Mazuri pia usimdharau mtu kwa kukosa kitu Maneno aliyoongea Diamond na ndugu zake kipindi Wanamuozesha Dada yao...
10 Reactions
34 Replies
7K Views
Mchekeshaji kutoka Nigeria, Emmanuella Mchekeshaji maarufu Nigeria na Afrika, Emmanuella Samuel ambaye sasa ana umri wa miaka 10 amemjengea mama yake nyumba ya kifahari na kumpa kama zawadi ya...
16 Reactions
58 Replies
9K Views
Kuna mtu anaweza kuniambia siku Senzo alipigwa risasi na kufariki? Maana nasikia watu wanadai kuwa alipigwa risasi na kufariki, sijasikia hata ilikuwa mwaka gani! ========= Angalia hii video...
0 Reactions
50 Replies
44K Views
TAZAMA WASANII WENGINE WOTE WALIOCHUKUA TUZO ZA AFRIMMA | AWARDS 2017
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Just imagine unazaliwa unawakuta wakina bush,50 cent,Trump,Celine dion,Jay z,lil Wayne, Timberlake,will Smith, Eminem, John deep, Britney Spears,john cena, Batista na wengineo Wengi wanasiasa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wizkidayo a.k.a StarBoy pamoja na Davido wote wameachia Album zao ambazo kwa sasa zimekuwa gumzo Afrika mpaka Worldwide. Kama umepata fursa ya kuzisikiliza ipi umeielewa zaidi? Wizkid MADE IN...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Mara Paaap nafungua Instagram naambiwa James Bond Amekufa🙆 Uuuuwi jamaani kwanini umekufa weweee Mwanzilishi wa Sinema za James abond Duniani na Owner WA Copy Right ya James Bond Movies, Dead and...
6 Reactions
42 Replies
5K Views
Habari wana JF, Moja kwa moja kwenye mada, kama tujuavyo neno Gospel maana yake ni Habari njema kwa watu wote (kutokana na imani ya kikristo). Na kuna waimbaji wengi (hatuwaiti wasanii maana hamna...
4 Reactions
152 Replies
22K Views
Amesema ndoto hiyo ya ajabu imemfanya avunjike mguu wake. Mwanamuziki huyo Kiongozi wa bendi ya Talent amedai ndoto hiyo siyo ya kawaida kabisa na ameamua kumuachia Allah aliye mjuzi wa mambo...
11 Reactions
52 Replies
7K Views
Hizi nyimbo zao nazisikiliza kila siku mpaka mzungu wangu anaona wivu ukizingatia haelewi lugha hahahahaha. Wimbo wa Belle9 listen, vitamin music, nilipe nisepe, etc. Nyimbo za Pasha Hidaya, Ni...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Huu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na...
15 Reactions
101 Replies
17K Views
Zari the Bosslady kashatua mjini, swali je atafikia Mbezi Beach kwa domo au hotelini?
9 Reactions
320 Replies
34K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…